Amsterdam and partners LLP wamlima barua Rais Magufuli na Jaji Mkuu, wabainisha njama zote zinazosukwa

Wangeanza na marekani, waje korea kaskazini, kisha wamalizie urusi hao unaowaita dunia.
Hujasikia Hilary clinton akilalamika matokeo yake yaliibiwa na mabosi wa dunia?? Ngoja tuone ngosha ataishia wapi.
 
There are international treaties as a nation we abide to those we have subscribed too.

Lakini ata wao wanajua kila nchi inasheria zake ambazo hawana mipaka nazo sio kwamba awaoni Lissu anavunja taratibu halali za nchi.
Nyimbo za kukaririshwa hizo. Taratibu zipi alizovunja? Sheria zipi kavunja?
 
NEC Website

Link hiyo hapo website yao it’s too slow for my patients

Mkubwa wewe si "wakili upande wa mashtaka?"

Sasa unathibitishaje mashtaka yako kisheria kwa kuwasilisha mbele ya Jaji kitabu kizima cha sheria badala ya ibara au kipengere kilichovunjwa/kiukwa?

Obviously, Hakimu/Jaji hatakuelewa na ataitupilia mbali kesi yako yote...!

Ndivyo unavyofanya wewe hapa. Unasema "....oooh, kuna shida...ooh amekiuka sheria ya uchaguzi na maadilii yake nk nk....."

Ukiulizwa kipengere gani kimevunjwa/kiukwa? Huna jibu specific rather unatoa website ya NEC...

This is ridiculous,........right?
 
Hifadhi maneno, yeye siyo yule wa namwachia Mungu. Maana mmezoea vya kunyonga.
Utofauti wenyewe tayari unawachnganya. Jinsi Lissu anavyoenda na wakati kila tukio linakuwa recovered as soon as it appear to be plotted
 
Kabisa mkuu! You have sum up every thing. Observers tunaangalia tu, kwa kweli ni suala la muda tu.
 
Nyimbo za kukaririshwa hizo. Taratibu zipi alizovunja? Sheria zipi kavunja?
Lissu hajavunja sheria yoyote ya uchaguzi pale alikuwa anatembea na nakala yenye masharti kumi na sita kwa kila mgonmbea.
 
Swala La Deo mwanyika limetia doa uwezo wa kufikiri wa Jpm
 
Mwenye sikio na asikie.
 
Umemaliza kila kitu sina cha kuongeza
 
Hujasikia Hilary clinton akilalamika matokeo yake yaliibiwa na mabosi wa dunia?? Ngoja tuone ngosha ataishia wapi.
Ukisubiri uone utasubiri sana tu mzee..bora uendelee na shughuli zako za kutafuta ugali..mambo ya ngosha dunia yenyewe imenyoosha mikono..muulize balozi wa marekani aliyeondoka na yule balozi wa umoja wa ulaya aliyefungashwa.
 

ACHA KUPOTOSHA. PILI, KWANINI MLIMPELEKA HUKO UBELGIJI ? TATU, HAKI PEKEE HUZAA AMANI. ACHA KUPOTOSHA.
 
Huu sasa ubishi for the sake of ubishi kanuni zipo wazi kasome kuanzia section 40 imeelezewa jinsi campaign zitakavyo simamiwa msimu wa uchaguzi utakapoanza.

Mgombea pekee aliyevunja kanuni mpaka sasa ni Tundu Antipas Lissu.

Quate hiyo section weka hapa, ili tusome wote....

Kwani unashindwa nini kutoa utetezi wako kwa ukamilifu kabisa???

Problem mliyonayo in moja...

Hata ninyi ni "wajinga" tu, hamjui lolote si sheria wala kanuni.....

Hamuielewi sheria wala kanuni zake zinazoongoza mambo haya...

Na mbaya zaidi ni kuwa hata ikitokea kuziona, hamuwezi kuzitafsiri katika muktadha wake na ndiyo maana mnasumbuka kujitetea....

So long as, mmetumwa au mmejituma kuandika na kutetea msichokijua, basi mnafanya blindly tu na ndiyo mnashindwa kutetea hoja zenu....
 
Umeongea point muhimu sana lisu wamuache tu agombee na wampe ulinzi wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…