The indigenous
JF-Expert Member
- May 14, 2018
- 312
- 143
Unaijua sheria?Hiyo barua ni kwa ajili ya mtu kama wewe usioweza kufikiri.
Tatizo lenu serikali ikisema itumie busara na kuachia tu watu wafanye mambo ata kama kinyume na sheria mnaanza kudai mnaogopwa sijui Amsterdam kasaidia etc with nonsense.
Wakichukua hatua mnaonewa ni shida tupu; ni mahakama gani kwa mfano huyo Amsterdam anaweza fungua kesi unadhani?
una elimu ya kiwango gani cha sheria?Barua ya kihuni. Siyo barua ya wanasheria.
Haina rejea Hata moja ya kifungu gani na kimechapishwa wapi.
Fake
umeeleza vizuriNimeisoma hii barua mpaka mwisho...
Barua imeandikwa kiweledi haswa na imebeba amri na maelekezo....
Halafu inaeleza mambo ya ndani hasa kiasi cha mtu kujiuliza nani anawataarifu hawa kinachoendelea ktk corridor za usalama za Ikulu ya Magufuli?...
Ukisoma barua hii NENO kwa NENO utagundua kuwa, hawa watu wana dhamira ya kweli kwa njia zozote kumlinda mteja wao....
Na ni kama Amsterdam & Partners LLP ni waanzisha varangati tu, lakini watendaji halisi wako sehemu wala hawajapanua mdomo....
Kwa akina sisi, tumejua hata ambayo tulikuwa hatuyajui kwa kweli katika sakata hili....
Kumbe kesi yake ya "sedition - uchochezi" ya trh 26/8 imepangwa hiyo tarehe kwa makusudi kabisa na ndani yake kukiwa na nia ovu au "collusion" kati ya Ikulu (serikali), Mahakama na NEC...!!
Na kumbe pingamizi la "Ugombea Urais wa Tundu Lissu" tayari lipo, lilikwisha kuandaliwa siku nyingi.....
Na kwamba, siku hiyo hiyo atakayokuwa mahakamani, ndiyo siku hiyo hiyo atatakiwa na NEC kuja kujitetea kwa nini asiondolewe sifa za ugombea Urais kwa sababu watakazokuwa nazo waweka pingamizi wake....
Na huko mahakamani tarh 26/8 kumbe wamepanga kumuweka ndani (under detention) kwa siku kadhaa ili tu ashindwe kwenda kujitetea Dodoma kwenye NEC dhidi ya pingamizi lake, na muda uwe umekwisha kisha wanamwachia...
Baada ya muda kwisha wa kujitetea, NEC hawatakuwa na kizuizi tena kumwondoa ktk orodha ya wagombea kwa sababu watasema "hukuja kujitetea dhidi ya pingamizi lako"....
Loooh, huu ni ujinga na upumbavu wa kiwango cha juu sana ambao mamlaka za serikali ya Tanzania zinafanya eti kwa sbb ya mtu mmoja anayeitwa - Magufuli....
Nyuma ya mpango huu kwa kweli hakuna sababu zozote za kutaka kumzuia Tundu Lissu kutumia haki yake ya kiraia ya kuchaguliwa. Ni kwa sababu tu Magufuli hataki changamoto, hataki ushindani na hususani ushindani wa mtu sampuli ya Lissu....!!
Need we say more?
Absolutely nothing!!
Mimi sina shaka kuwa, hili jaribio nalo tayari limeshashindwa vibaya sana....!!!
tuwekee moja so mbili alizovunja,maneno yasiwe mengiWataita sherehe ya kuchukua form, Mwinyi, Sharif Hamad, Membe, Lissu na Lipumba wote wamefanya.
Tatizo mmoja anajua sana kaamua kuzunguka nchi nzima. Halafu NEC awajasema lolote mbona anajishtukia.
Ukitaka kuona kanuni ingia kwenye website ya NEC zipo published.
Lisu kuwa Rais wa hii n hii ni ndoto nyevu, mtake msitake, lazima apigwe chini, msingizie ameibiwaUngewashauri wale waliompiga risasi hivi.
Kwamba kwanini walifanya?
Ungukuwa na maana Sana kuliko upumbavu ulioandika.
Rais wako ni Lissu utake usitake October.
Naunga mkono hoja, wamwache uchaguzi upite maana tulishachafuka Sana kimataifa, hakuna haja ya kujichafua tenaICC inafanya kazi kama ofisi za waendesha mashtaka wa serikali sawa sawa na ofisi ya DPP kwa Tanzania.
Kesi zao wanazitafuta wenyewe na wanakushitaki wenyewe hakuna mwanasheria independent anaweza kwenda kufungulia nchi au mtu kesi ICC...
Ndo nani huyu Amsterdmi
"Punguza sauti kidogo"hii ni notes ya tatu. Msije sema hatujawaambia.
Kumbe, sasa kelele za nini? tulia hapo dawa ikuingie mtanyooka mwaka huukumbe fikra pevu aliondoka nazo mw nyerere , why mnajitoa ufahamu kwa kuangalia leona sio kesho yako,eti kama niko utumwani niende nchi jirani , wasema kama vile unayo hatimilki na taifa , ahami mtu hapa na msituletee migogoro isiyo kua na kichwa wala miguu kutualibia taifaifa ,
Hivi hao Amsterdam and partners LLP wanaweza kuwa na power kuliko taifa letu WATANZANIA? Mbona tunajihaibisha sana
Nchi itakuwa nzuri na yenye utaratibu na haki zaidi chini ya Lissu. Udikteta utaoondoka na maiaji hayatakuwepo.Hivi mtu huyu akipewa nchi si atatuuza kwa Amsterdam
Lissu hawezi kuwa rais.... Uchanguzi ukiisha Lisu atapata tabu sana mark my word...
Uchanguzi ukiisha Lisu anaweza kukimbia nchi.. Huu ndiyo ukweli
[/QUOTE
Jiwe ndio atakimbia nchi amefanya maovu mengi sana.
Hawawezi kabisa nchi yako ina power Sana. Wanachofanya ni kuifahamisha dunia kile kinachoendelea. Dunia itajua yote anayofanyiwa Lissu baada ya zoezi la kutaka kuuliwa na Serikali ya Magufuli kushindikana.Hivi hao Amsterdam and partners LLP wanaweza kuwa na power kuliko taifa letu WATANZANIA? Mbona tunajihaibisha sana
Unajua ni nani yuko nyuma ya Amsterdam? Kwa maarifa zaidi jipatie nakala yako ya Kabla ya mtu kulikuwa na mtuICC inafanya kazi kama ofisi za waendesha mashtaka wa serikali sawa sawa na ofisi ya DPP kwa Tanzania.
Kesi zao wanazitafuta wenyewe na wanakushitaki wenyewe hakuna mwanasheria independent anaweza kwenda kufungulia nchi au mtu kesi ICC...
Ushabiki ni upofu.ICC inafanya kazi kama ofisi za waendesha mashtaka wa serikali sawa sawa na ofisi ya DPP kwa Tanzania.
Kesi zao wanazitafuta wenyewe na wanakushitaki wenyewe hakuna mwanasheria independent anaweza kwenda kufungulia nchi au mtu kesi ICC...