sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Labda ikulu ya ufipa.Notes ya tatu ilitumwa jana.mchana mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ikulu ya ufipa.Notes ya tatu ilitumwa jana.mchana mwema
Wapuuzi unafikiri unawajibu?? Unawaropokea tu wapate akiliHuwa hajibizani bali anaropoka tu kulingana na alivyoamka.
Uropokaji ni werevu!Wapuuzi unafikiri unawajibu?? Unawaropokea tu wapate akili
Kwa hiyo hata mpuuzi kama wewe ukitoa taarifa ya ikulu tuichukue tu?? Unajua maana ya reliable source we msukule wa ufipa?Wewe ni mjinga tu, kwani press release za Msigwa (Ikulu) zinapoonekana mitandaoni maana yake huwa ni nini we bwege? Wewe unaona barua ziko addressed kwa watu Fulani halafu unaleta utopolo wa Lumumba hapa?
Great ThinkerNimeisoma hii barua mpaka mwisho...
Barua imeandikwa kiweledi haswa na imebeba amri na maelekezo....
Halafu inaeleza mambo ya ndani hasa kiasi cha mtu kujiuliza nani anawataarifu hawa kinachoendelea ktk corridor za usalama za Ikulu ya Magufuli?...
Ukisoma barua hii NENO kwa NENO utagundua kuwa, hawa watu wana dhamira ya kweli kwa njia zozote kumlinda mteja wao....
Na ni kama Amsterdam & Partners LLP ni waanzisha varangati tu, lakini watendaji halisi wako sehemu wala hawajapanua mdomo....
Kwa akina sisi, tumejua hata ambayo tulikuwa hatuyajui kwa kweli katika sakata hili....
Kumbe kesi yake ya "sedition - uchochezi" ya trh 26/8 imepangwa hiyo tarehe kwa makusudi kabisa na ndani yake kukiwa na nia ovu au "collusion" kati ya Ikulu (serikali), Mahakama na NEC...!!
Na kumbe pingamizi la "Ugombea Urais wa Tundu Lissu" tayari lipo, lilikwisha kuandaliwa siku nyingi.....
Na kwamba, siku hiyo hiyo atakayokuwa mahakamani, ndiyo siku hiyo hiyo atatakiwa na NEC kuja kujitetea kwa nini asiondolewe sifa za ugombea Urais kwa sababu watakazokuwa nazo waweka pingamizi wake....
Na huko mahakamani tarh 26/8 kumbe wamepanga kumuweka ndani (under detention) kwa siku kadhaa ili tu ashindwe kwenda kujitetea Dodoma kwenye NEC dhidi ya pingamizi lake, na muda uwe umekwisha kisha wanamwachia...
Baada ya muda kwisha wa kujitetea, NEC hawatakuwa na kizuizi tena kumwondoa ktk orodha ya wagombea kwa sababu watasema "hukuja kujitetea dhidi ya pingamizi lako"....
Loooh, huu ni ujinga na upumbavu wa kiwango cha juu sana ambao mamlaka za serikali ya Tanzania zinafanya eti kwa sbb ya mtu mmoja anayeitwa - Magufuli....
Nyuma ya mpango huu kwa kweli hakuna sababu zozote za kutaka kumzuia Tundu Lissu kutumia haki yake ya kiraia ya kuchaguliwa. Ni kwa sababu tu Magufuli hataki changamoto, hataki ushindani na hususani ushindani wa mtu sampuli ya Lissu....!!
Need we say more?
Absolutely nothing!!
Mimi sina shaka kuwa, hili jaribio nalo tayari limeshashindwa vibaya sana....!!!
London and Washington duh
Sasa unamkasirikia nani?Hiyo barua ni kwa ajili ya mtu kama wewe usioweza kufikiri.
Tatizo lenu serikali ikisema itumie busara na kuachia tu watu wafanye mambo ata kama kinyume na sheria mnaanza kudai mnaogopwa sijui Amsterdam kasaidia etc with nonsense.
Wakichukua hatua mnaonewa ni shida tupu; ni mahakama gani kwa mfano huyo Amsterdam anaweza fungua kesi unadhani?
Tulia mama usipate taabu ,kila wanachopanga kinajulikana soma hapa, Jiwe mwaka huu atawajua wenye dunia.View attachment 1545046
Wewe ni mweupe tu upstair, nani amekwambia uichukue au usiichukue? PR za Ikulu tunazoziona mtandaoni nani huwa anakuambia uichukue au usiichukue? What an argument you are making here you bwege? Nini maana ya "realiabe source" in this context? Unataka hii barua ya Amsterdam iletwe hapa na nani ili tuiamini?Kwa hiyo hata mpuuzi kama wewe ukitoa taarifa ya ikulu tuichukue tu?? Unajua maana ya reliable source we msukule wa ufipa?
TAL sio mjingaLondon and Washington duh
Mande 😀😀London and Washington duh
Jamaa yupo vizuri sana kichwani!TAL sio mjinga
Ndio maana mzee wa phd feki anamuogopa sn.....Jamaa yupo vizuri sana kichwani!
Sana mkuu wana Muogopa maana wana makando kando mengi!Ndio maana mzee wa phd feki anamuogopa sn.....
Lissu ana akili nyingi sana. We kumbuka alivokua anasimamisha bunge hadi mwanasheria mkuu wa serikali alikua anaomba rejea kwa Tundu Lissu...
Lissu ni mpango wa Mungu.....
Lakin inaendeshwa na pesa za msaada kutoka kwa mabeberu, MATAGA bhanaNchi haiendeshwi na barua za mabeberu.
Wewe unajiona upo kisiwani siyo endelea na upumbavu wenu mda si mrefu mtajua hakuna kidonda kinakosa dawa hata kama kitagoma kuponaHiyo barua ni kwa ajili ya mtu kama wewe usioweza kufikiri.
Tatizo lenu serikali ikisema itumie busara na kuachia tu watu wafanye mambo ata kama kinyume na sheria mnaanza kudai mnaogopwa sijui Amsterdam kasaidia etc with nonsense.
Wakichukua hatua mnaonewa ni shida tupu; ni mahakama gani kwa mfano huyo Amsterdam anaweza fungua kesi unadhani?
Sheria za wajinga wa ccm huwa ni tofauti na sheria za NECWataita sherehe ya kuchukua form, Mwinyi, Sharif Hamad, Membe, Lissu na Lipumba wote wamefanya.
Tatizo mmoja anajua sana kaamua kuzunguka nchi nzima. Halafu NEC awajasema lolote mbona anajishtukia.
Ukitaka kuona kanuni ingia kwenye website ya NEC zipo published.