Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Amsterdam aomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

ewe kibaraka wa watawala, fahamu kwamba ikiwa hao mabeberu watatusaidia wananchi wazalendo wapenda HAKI tz kuliondoa nyonya damu ccm madarakani...wengi wetu (natambua sio wote) tupo tayari kabisa watusaidie kufanya hivyo bila kuchelewa!!!.
Unataka usaidiwe nini, nenda mwenyewe barabarani hahahah, na huwezi enda najua.. stay calm
 
Amani yenu ni CCM kushinda tu na kusalia Madarakani Milele bila hata ya kujali kuwa imeshinda kwa namna gani huo Uchaguzi.
We chukua hatua mwenyewe, acha kutegemea watu wasio na uzalendo na nchi yako. Ingia barabarani kama vipi
 
Huwa wanajibu hizo barua au wanatekeeza tu?!

Jumuiya hizi hazina msaada wowote, mpaka muanze kuuana.

Hivi kimya kimya mtasubiri sana.
Ndiyo kesho tunataka Siro atuuwe. Kesho Siro atakuwa "mwanakuli-find".
 
Wewe ropoka mapovu tu, mwenyekiti wako sasa hivi anaumiza kichwa akakope wapi amalizie SGR, nyie midoli mna tabu sana.
na kule ufipa njaa kuu inapita awamu hii mwenyekiti atarukwa na akili
 
Wewe ropoka mapovu tu, mwenyekiti wako sasa hivi anaumiza kichwa akakope wapi amalizie SGR, nyie midoli mna tabu sana.
January njoo upande SGR kwenda Morogoro.
 
Asiwasumbue huyo, tumejipanga kumjibu kila atakakokwenda, tutasimama naye kila pahala

Tutamwambia kuwa, mfumo wa siasa za kimagharibi zimetushinda tangu tulipoamua kuwa na siasa za tofauti Kabisa na Dunia yote kwenye tukio la korona
Yani hii ni moja kati ya aibu kubwa zaid kwa wapinzani, walikomalia kulockdown Dar na kutokwenda bungeni, mara tena wanachangamkia fursa ya kampeni zenye mikusanyiko, Magufuli kwa kusolve hilo moja tu la Korona anastahili mitano mingine.
 
Hata jumuia yenyewe tunaweza kutoka haina msaada Wa maana kwetu,
 
Kama wewe mwamba weka id yako orignal hapa muoga kama nguchiro
Nyie ndiyo wavunja sheria kama Jiwe. Hapa umeambiwa siyo pa kupangiwnq nini cha kufanya. Niko huru kuweka ninacho jisikia.

Hivi jiwe kwann qnaogopa hata kujiunga huku tumchane?
 
Wakili wa aliyekuwa mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, Robert Amsterdam ameiandikia barua jumuiya ya madola na kuiambia kuwa kuna ubadhilifu mkubwa umefanyika katika uchaguzi wa Tanzania hivyo ameomba Jumuiya ya Madola kuingilia Uchaguzi huo.
Alikuwa anaisikia tu Tanzania na tulimwambia hapa kagonga mwamba.
 
#UchaguziTanzania: The 2020 Tanzanian general election process is better than the previous since multipartism was re-introduced in 1995 therefore someone with interests eyeing the country's natural resources affilliating with internal & external traitors to exploit shall not hold water. Tanzania has never violated the international treaty/declaratiuons of any cycle. At this stage Tanzanians are now fully aware and realized as to who is the enemy in the country interests with the infiltrated traitors. We stand to protect Tanzania's sovereignty and sustain the core values for the best interests of the current and forthcoming generation.

Umeamua kututukana kwa kimombo??
 
Me nimetoa maoni yangu kama mTanzania, nikiweka amani kama kipaombele cha hoja yangu, shida nini asee, huo uccm, utanga, uwizi unayaongea wewe hayo.

Na mimi nimeweka maoni yangu kama mtanzania nikiweka haki na uhuru kama msingi wa amani. Umuhimu wa haki na uhuru ni kipaumbele cha hoja yangu. Ndiyo maana nikakuasa kuchukua tahadhari kuongea ukiwajumuisha hata wasio kubaluana nawe.

Ndiyo demokrasia hiyo yakhe!
 
Alikuwa anaisikia tu Tanzania na tulimwambia hapa kagonga mwamba.

Usipowajua watanzania watakupa shida sana
Unaweza kudhani ukimya wa watanzania ni sababu ya ujinga kama hujui vile wanaweza kukupuuza hadi ukajuta kuwafahamu. Bobu na Tundu wake wamepuuzwa.... , walisikika wakisema "huyu anatuletea habari za wazungu kila siku wakati sisi rais wetu hajaenda ulaya tangu tumemchagua na maendeleo tunapata, hata hapo kenya sijui kama ameenda"😀 hao ndio watz

Ila John Pombe Magufuli anawajua watu wake na anawapa kile wanachopenda. Watanzania wameamua kwenda na John Pombe Magufuli
 
Usipowajua watanzania watakupa shida sana
Unaweza kudhani ukimya wa watanzania ni sababu ya ujinga kama hujui vile wanaweza kukupuuza hadi ukajuta kuwafahamu. Bobu na Tundu wake wamepuuzwa.... , walisikika wakisema "huyu anatuletea habari za wazungu kila siku wakati sisi rais wetu hajaenda ulaya tangu tumemchagua na maendeleo tunapata, hata hapo kenya sijui kama ameenda"😀 hao ndio watz

Ila John Pombe Magufuli anawajua watu wake na anawapa kile wanachopenda. Watanzania wameamua kwenda na John Pombe Magufuli
Nimewahi kusema hapa mara nyingi sana kuwa Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila Elimu ya Dunia hii ni ZERO. Aliyekuja kuwamaliza Chadema ni Lissu. Kwenye kampeni zake na speech kibao anamkandia JPM eti hajui kiingereza wakati hao raia anaowahutubia 99% hawajui kiingereza. Anadai JPM haendi nje ya nchi wakati wananchi wanataka kiongozi wa kukaa anapita kwenye maeneo yao kutatua shida zao na ndio alichofanya JPM na Majaliwa kwa miaka mitano iliyopita. Kingine ni kuweka wakili mzungu mwenye sifa mbaya sana na zile barua za vitisho kwa serikali na vyombo vya usalama,alidhani ni ujanja kumbe alikuwa anajichimbia kaburi. Kuna video moja YouTube Amsterdam anahojiwa na mtanzania aliyepo USA, Amsterdam nae anamtukana JPM kwenye video nilipoiona tu ndo nikajua naye akili zake Kama za Lissu na Lissu hata akatambike hawezi kuwa Raisi wa JMT. Aliyekuja kuimaliza CHADEMA ni Lissu. Bila Lissu angalau wangeambulia wabunge kadhaa.
 
Back
Top Bottom