Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Hatutetei hivyo vitendo vya ushoga kwasababu wahanga wakubwa katika jamii ni watoto wetu wenyewe na pia mila zetu na dini zetu haziruhusu. Tunachotetea ni kuwa naye ni binaadamu tuheshimu hisia zake mwisho wa siku kila mtu atahukumiwa kadiri ya matendo yake hapa duniani. Sana ukimuua ndio utakuwa umemaliza tatizo la ushoga kwenye jamii. makaveli10
Haki kupumuliana we ulisikia wapi binafsi naonaga hao sio binadamu kwani wamevuka mipaka ya binadamu na kuingilia ushetani mungu aliumba jinsi mbili tofauti alitambua kua kiume inaenda na kike inakuaje iwe kike na kike kiume na kiume na wawe wanadamu hao hao ni mashetani mtu anae ua hukumu yake ni kifoooo na wanaobadilisha tamaduni za binadamu na kuleta sera zakipuuzi kama hizo kwangu mimi naona kifo ni sawa atuwezi kuishi na ushetani huo waajabu
 
Hatutetei hivyo vitendo vya ushoga kwasababu wahanga wakubwa katika jamii ni watoto wetu wenyewe na pia mila zetu na dini zetu haziruhusu. Tunachotetea ni kuwa naye ni binaadamu tuheshimu hisia zake mwisho wa siku kila mtu atahukumiwa kadiri ya matendo yake hapa duniani. Sana ukimuua ndio utakuwa umemaliza tatizo la ushoga kwenye jamii. makaveli10
Kwanini yeye asiheshimu hisia za baba yake? Baba straight, makodind mako Stamina kisha unakuja na ujuma lokole.. Wewe ndio mkorofi, heshima ianze kwako ndio upewe heshima, mtoto kakosea kwenda choko mwenzie kwa baba yake, kwani siku zote walizokuwa huko aliwabugudhi?
Biology si inatuambia mtu akipanic anaweza fanya lolote, mzee akili ya fasta kaamua kuzima ngoma

Baba hajaufuta uchoko ila kafuta mtoto choko, hana tena mtoto choko.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Safi sana kwangu huyo mzazi ni Shuja
 
Kwanini yeye asiheshimu hisia za baba yake? Baba straight, makodind mako Stamina kisha unakuja na ujuma lokole.. Wewe ndio mkorofi, heshima ianze kwako ndio upewe heshima, mtoto kakosea kwenda choko mwenzie kwa baba yake, kwani siku zote walizokuwa huko aliwabugudhi?
Biology si inatuambia mtu akipanic anaweza fanya lolote, mzee akili ya fasta kaamua kuzima ngoma

Baba hajaufuta uchoko ila kafuta mtoto choko, hana tena mtoto choko.
Mtoto haukuwa na kosa kujitokeza hadharini ili familia yake ijue na mama yake analalamika kwanini baba akatili nafsi ya mtoto bila hata kushirikisha hata viongozi wa dini au wa kimila?
 
Haki kupumuliana we ulisikia wapi binafsi naonaga hao sio binadamu kwani wamevuka mipaka ya binadamu na kuingilia ushetani mungu aliumba jinsi mbili tofauti alitambua kua kiume inaenda na kike inakuaje iwe kike na kike kiume na kiume na wawe wanadamu hao hao ni mashetani mtu anae ua hukumu yake ni kifoooo na wanaobadilisha tamaduni za binadamu na kuleta sera zakipuuzi kama hizo kwangu mimi naona kifo ni sawa atuwezi kuishi na ushetani huo waajabu
Hakuna mtu ambaye anasema ushoga ni mzuri, ila wengi tunapinga vitendo vya kikatili dhidi yao. Kama mtu kaamua kuwa hivyo wewe unaumia nini ni maisha yake na akifa atahukumiwa kadiri ya matendo yake hapa Duniani.
 
Hakuna mtu ambaye anasema ushoga ni mzuri, ila wengi tunapinga vitendo vya kikatili dhidi yao. Kama mtu kaamua kuwa hivyo wewe unaumia nini ni maisha yake na akifa atahukumiwa kadiri ya matendo yake hapa Duniani.
Mtu anaiba unamkamata unampeleka jela akafanye nini muache mungu atamuhukumuu

Ieleweke hivi mtu yeyote anae ubatilisha utamaduni wa mungu kuhusu jinsia kwamba me aende sambamba na me na ke aende sambamba na ke hawa nikushughulika nao tu na akuna adhambu nzuri kwao kama kifo tu

[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Kuua na mapenzi ya jinsia Moja(gay& lesbianism) Ni dhambi machoni pa Mungu.

Sasa baba na mwanae tayari wameshakata tiketi za kuingia jehanamu sema watapishana tu muda wa kuchomwa Moto😂
 
Mtu anaiba unamkamata unampeleka jela akafanye nini muache mungu atamuhukumuu

Ieleweke hivi mtu yeyote anae ubatilisha utamaduni wa mungu kuhusu jinsia kwamba me aende sambamba na me na ke aende sambamba na ke hawa nikushughulika nao tu na akuna adhambu nzuri kwao kama kifo tu

[emoji35][emoji35][emoji35]
Punguza jazba mkuu hatuishi hivo mjali mwenzako ndio maana hata mwizi akiiba si sheria kumuua bali atapelekwa mahakamani na akipatikana na hatia ndio ahukumiwe kwa mujibu wa sheria za nchi husika. Tusihalalishe vifo kwa binaadamu wenzetu. Maana tukihalalisha basi kila mtu atauwawa angalia wanachokifanya al shabab, waangalia m23 au boko haram. Ndio maana tunapinga kuutoa uhai wa binaadamu mwenzako.
 
Ndio sio maadili ya kiafrika wala dini haziruhusu. Sasa niambie kwanini amue mtoto kisa kaleta mpenzi wake nyumbani? Huoni kama kila mtu atajicjukulia sheria mkononi tutafika kweli?
AIseee ,sasa wewe mwanao wa kiume amlete basha wake kumtambulisha kwako unaona sawa? Ilitakiwa apige risasi za kichwa wote wawili.
 
Punguza jazba mkuu hatuishi hivo mjali mwenzako ndio maana hata mwizi akiiba si sheria kumuua bali atapelekwa mahakamani na akipatikana na hatia ndio ahukumiwe kwa mujibu wa sheria za nchi husika. Tusihalalishe vifo kwa binaadamu wenzetu. Maana tukihalalisha basi kila mtu atauwawa angalia wanachokifanya al shabab, waangalia m23 au boko haram. Ndio maana tunapinga kuutoa uhai wa binaadamu mwenzako.
Mahakamani huwa anaenda kufanyaje si kuhukumiwa.. kwanini binadamu ndio amuhukumu binadamu mwenzake huu ni utaratibu ambao hata mungu ametupa kwa jambo la ushoga hili ni kubwa sana yani hapa sio kiimani wala sio kiakili fasaha ya kawaida hapa ni kifo tu mtu wa staili hii kinamfaa unawezaje me na me wanaafunga ndoa na kupumuliana sikubali na sio sawa na wala haiwezi kua sawa je mbona hizo haki za binadamu huwa hamzisemi kwa hao walio zileta katika ujinga wanaoofanya adi leo hii eti kumuacha mwanaume ampumulie mwanaume mwengine kwa uhuru ni haki za binadamuu upumbavuu upumbavu uhayawani full stopp hao watu kifo ni adhabu bora kwao
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Amepata alichokitafuta.. mimi mwenyewe itokeee mwangu a ananiletea huo umende ataichora chini aisee..

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom