Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

China ukila rusha adhabu ni kifo na ndicho kinachofanya rushwa kuwa chache mno fanya ndo waseme sasa kula rusha ni demokrasia [emoji1787][emoji1787] uone balaa ni sawa na wapuuzi wanaoaminisha kua me na me ni sawa na ke na ke haina shida ni sawa maana yao ni kueneza hayo mambo ya kishetani mimi naamini na nazidi kuamini kifo ni bora kwao
Unaizungumzia China nchi iliyoendelea kiuchumi na ni wachapa kazi.
Sie tuliozoea misaada kwa masharti fulani fulani ni lazima tukubaliane na wenye dunia yao. Mtabana mwisho mtalegeza
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Unaliwa na ww nn
 
Marehemu alimkosea heshima mzee wake.
 
Mbona una uchungu sana na mikundu ya mashoga?

Hauna hela wewe.

Wenye hela hawakasirikii mikundu.
Ndio maana nazitafuta hela nilianza na kauli pesa aitoshi ili kukutoa ujinga ujue kua kila mtu anatafuta pesa likija swala la kupumuliwa nikikuona shoga mbele yangu nakunyoosha makofii utajutaa kukutana nauso huu mbele yako
 
Haishangazi,
Mnaosapoti ndio mnaoua Albinos, mnaowatelekeza Wake zenu kwa kuzaa watoto walemavu, mnaotoa pesa kwa mabinti wakazichoropoe Mimba mlizowapa,

Kiufupi Mijanaume ya Kiafrika wengi wao ni Makatili, Washenzi na wasio wastaarabu, hii ngozi ilipaswa ipotee mapema, ni aibu kuendelea kua kwenye Dunia iliyostaarabika halafu kuna Watu wana Mawazo ya karne ya tatu.
 
Ndio maana nazitafuta hela nilianza na kauli pesa aitoshi ili kukutoa ujinga ujue kua kila mtu anatafuta pesa likija swala la kupumuliwa nikikuona shoga mbele yangu nakunyoosha makofii utajutaa kukutana nauso huu mbele yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tafuta hela wewe, usije ukawafia watu kwa uchungu.

Wacha watu wapumuliwe.
 
I think the accused was absolutely right for the decision.
 
Siwezi kuruhusu mtoto wangu wa kiume kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Siwezi kuruhusu kuchafuliwa kwa kizazi changu kwa huo uwesternization wa kijinga.
Daima nitasimamia maadili na desturi njema tu katika kizazi changu na watoto wangu.
Wewe @Porker nadhani kwa maneno hayo ushajua hatua ambazo ningechukua kwa wanaointertain such kind of stuffs in my chain of generation.
 
Back
Top Bottom