Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Kwa mawazo yako umefikiria hatuna watoto that implies We should go with world changes and impartation. Kama huwezi kuwarekebisha na kuwatunza watoto wako au jamii yako ya karibu, hilo ni swala lako binafsi madame.
Pokea yaliyo mazuri na kataa yale mabaya katika jamii yako.
Halafu watu kama wewe huwa mnakuwa mashoga wenye matako makubwa matamu.

Hapa unazuga tu.

Mimi ukinipa nakula mzigo ila sitangazi.
 
Kwa mawazo yako umefikiria hatuna watoto that implies We should go with world changes and impartation. Kama huwezi kuwarekebisha na kuwatunza watoto wako au jamii yako ya karibu, hilo ni swala lako binafsi madame.
Pokea yaliyo mazuri na kataa yale mabaya katika jamii yako.
Tukatae mambo mabaya kwa kuwaua wanao tenda mabaya?
Aliyekwambia ushoga ni jambo baya ni nani? Utasema ni Mungu.
Ni Mungu ndo amewapa go ahead ya kuwaua kama adhabu kwao?
 
Mleta maada umeanza vizuri, ila umekuja kuharibu mwishoni na kutuonesha uhalisia wako
 
Tema mate chini mkuu
Nipo serious mkuu, sisemi kwamba mwanangu hawezi kuwa shoga ila mimi kama mzazi nitamlea kiume ila akiamua kuwa shoga kifo kitamuhusu, siwezi kabisa kuvumilia aibu ya kuwa na mtoto bwabwa..... Mungu mwenyewe mwenye dunia yake aliteketeza mashoga pale sodoma, Mimi ni Nani nishindwe kuua kishoga kimoja?
 
Pia si jambo la kawaida kidume kumpelekea moto mtoto wa kike mkunduni.
Kama tunataka kujifanya tunamjua sana Mungu na hilo pia tulitazame.
Hizi double standards zinatoka wapi?
Bora anayempelekea moto kidume mwenzake (top) kuliko yule anayepelekewa moto na kidume (bottom)
 
Nipo serious mkuu, sisemi kwamba mwanangu hawezi kuwa shoga ila mimi kama mzazi nitamlea kiume ila akiamua kuwa shoga kifo kitamuhusu, siwezi kabisa kuvumilia aibu ya kuwa na mtoto bwabwa..... Mungu mwenyewe mwenye dunia yake aliteketeza mashoga pale sodoma, Mimi ni Nani nishindwe kuua kishoga kimoja?
Unaweza kuua wewe au unajifariji tu hapa?
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Wewe na wenzako wakati mnalaani hicho kitendo cha huyo mzazi kumuwekea sumu huyo mtoto wake na kumuu, mimi namuunga mkono huyo mzazi eti!

Tena nampongeza kwa hiyo hatua. Maana hakuwa na namna nyingine. Haiwezekani wewe kama mtoto wa kiume, halafu umpeleke mwanaume mwenzako nyumbani kwenu, na kumtambulisha kama mchumba wako! Hiyo ni laana.
 
Hayajakukuta na uombe sana Mungu yasikukute wamelezi ya watoto ni mtihani mkubwa sana haswa hiki kipindi cha social media.

Waovu hawakosi kisingizio.
Mtoto akivuka mipaka anatakiwa auawe.
Kisha Baba tafuta mtoto mwingine.

Ushoga ni matokeo ya kufeli Kwa malezi Kwa wazazi hakuna uhusiano wowote na Social media.
Kipindi cha Sodoma na Gomora kulikuwa na mitandao ya kijamii au utandawazi?
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Hyo tabia chafu iacheni Mara moja
 
Back
Top Bottom