Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Ningetegemea uje na hoja za msingi kama ilivyo kawaida yako siku zote bwana ROBERT HERIEL.
Badala yake umekuja na kashfa sijui kahaba sijui nini.
Leo umeishiwa hoja.

Nipe elimu ambayo mimi sina tafadhali. Ni wapi huyo Mungu wenu amewaamuru muwaue mashoga?

Sio Mungu wetu. Bali Mungu Mkuu the almighty God.

Kwa watu wanaoendekeza ushoga huwaga situmii hoja.

Dini zote Duniani, tamaduni zote Duniani mashoga wanauawa.
Ila huyu Shetani ndio ameleta tamaduni mpya ambazo hata Shetani mwenyewe hawezi kuzifanya.

Wewe ni Dini gani ili nikujibu Kwa hoja za Dini yako?

Kama wewe ni mpagani pia ninaweza kukupa hoja za kipagani Kwa nini shoga anatakiwa kuuawa.

Ni vile bado nchi yetu haijapata viongozi makini
 
Kwanini umue binaadamu mwenzako kisa ni shoga? Kwani ukimuache na matendo yake utapungukiwa nini?
Hiv kwanin mahakama huwa inatoa adhabu ya kifo?? Na hii adhabu hupelekea kuondoa uhai wa mtu!! Namaanisha kuwa Kuna makosa ambayo kiumbe yeyote akiyafanya inafaa auawe kwa maslahi ya viumbe wengne, ushoga ni miongoni mwa makosa ambayo mtenda makosa anatakiwa atoweke kwa masrahi ya wengne!! Huwez kumuache aendelee kuambukiza uhalifu kwa wengne
 
Sio Mungu wetu. Bali Mungu Mkuu the almighty God.

Kwa watu wanaoendekeza ushoga huwaga situmii hoja.

Dini zote Duniani, tamaduni zote Duniani mashoga wanauawa.
Ila huyu Shetani ndio ameleta tamaduni mpya ambazo hata Shetani mwenyewe hawezi kuzifanya.

Wewe ni Dini gani ili nikujibu Kwa hoja za Dini yako?

Kama wewe ni mpagani pia ninaweza kukupa hoja za kipagani Kwa nini shoga anatakiwa kuuawa.

Ni vile bado nchi yetu haijapata viongozi makini
Kwanini hautekelezi matakwa ya dini ya kuwaua mashoga?
 
Hiv kwanin mahakama huwa inatoa adhabu ya kifo?? Na hii adhabu hupelekea kuondoa uhai wa mtu!! Namaanisha kuwa Kuna makosa ambayo kiumbe yeyote akiyafanya inafaa auawe kwa maslahi ya viumbe wengne, ushoga ni miongoni mwa makosa ambayo mtenda makosa anatakiwa atoweke kwa masrahi ya wengne!! Huwez kumuache aendelee kuambukiza uhalifu kwa wengne
Hakuna hukumu ya kifo Tanzania hata huko Zambia. Ni kifungo cha maisha, sasa kwa sheria za Tanzania huyo shoga hakuwa na kosa kwasababu hakufanya hivyo vitendo hadharani bali ni ndani tena akimtambulisha mpenzi wake. Sasa vp wale wanaofanya uzinzi adhabu yao iwe nini?
 
kwa upande wangu kuuwawa kwake ni sawa kwa sababu mimi naamini katika dini, huwezi kujinasibu kuwa wewe ni mkristo au muislamu halafu ukataka kwenda against na hiyo dini.
Kwahyo ukristo unasema shoga auwawe ambao huo huo ulikemea kuhusu kuwahukumu wengine?
 
Kwahyo kuuwawa kwa huyo mtoto wewe unaona ni sawa mkuu.
Hata wew mkuu ungejitokeza hadharani mbele za watu ndo ukaanza kutetea Kama unavyotetea saizi,watu wangekuwa washakuua mapema Sana!!! Kama unanibishia hebu jaribu kusimama hadharan utetee uone kitakachotokea
 
kama lazima awe shoga basi ayafanyie huko sio kuleta hadi nyumbani kwa baba, kwa kweli bora hata usikie mtoto amekua lijambazi la hovyo huko mjini kuliko uambiwe analiwa nyuma, kama mzazi nitajutia sana na sitokaa nijisamehe, siku zote nitajihukumu kwamba nilikosea step kwenye malezi.
 
Hata wew mkuu ungejitokeza hadharani mbele za watu ndo ukaanza kutetea Kama unavyotetea saizi,watu wangekuwa washakuua mapema Sana!!! Kama unanibishia hebu jaribu kusimama hadharan utetee uone kitakachotokea
Ni kawaida yangu kutetea uhai wa mwanadamu mwenzangu regardless awe na tabia za kifirauni namna gani kwasababu naamini kila mtu hajakamilika ikiwemo wewe.
 
Sio Mungu wetu. Bali Mungu Mkuu the almighty God.

Kwa watu wanaoendekeza ushoga huwaga situmii hoja.

Dini zote Duniani, tamaduni zote Duniani mashoga wanauawa.
Ila huyu Shetani ndio ameleta tamaduni mpya ambazo hata Shetani mwenyewe hawezi kuzifanya.

Wewe ni Dini gani ili nikujibu Kwa hoja za Dini yako?

Kama wewe ni mpagani pia ninaweza kukupa hoja za kipagani Kwa nini shoga anatakiwa kuuawa.

Ni vile bado nchi yetu haijapata viongozi makini
Toa hoja za kikristu naamini ndio dini unayoiamini wewe.
 
Hakuna hukumu ya kifo Tanzania hata huko Zambia. Ni kifungo cha maisha, sasa kwa sheria za Tanzania huyo shoga hakuwa na kosa kwasababu hakufanya hivyo vitendo hadharani bali ni ndani tena akimtambulisha mpenzi wake. Sasa vp wale wanaofanya uzinzi adhabu yao iwe nini?
Hiv wew ni mtu mzma au ni mtu gani?? Maana najaribu kufanya imagination harafu skuelew kabisa!!
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Kwa na wewe unapakuliwa kisamvu sio
 
Ni kawaida yangu kutetea uhai wa mwanadamu mwenzangu regardless awe na tabia za kifirauni namna gani kwasababu naamini kila mtu hajakamilika ikiwemo wewe.
Ungekuwa mtetezi wa uhai wa wanadam ungewakataza kufanya ushoga,lakin wew si mtetez wa kweli
 
😅 imagine ni mtoto wako, we imagine tu achana na hatua we imagine tu, na uzee wako mtoto wako wa kiume analeta mchumba wake wa kiume,... Bora wa kike we imagine tu, usinifokee😂..... Mzee kachukua maamuzi magumu sana, kuondoka hyo aibu✊🏿... Me simhukum Wala nn... Kuna watu wangeua vibaya zaid ya sum wakuu
 
Ni kawaida yangu kutetea uhai wa mwanadamu mwenzangu regardless awe na tabia za kifirauni namna gani kwasababu naamini kila mtu hajakamilika ikiwemo wewe.
Mtetezi wa uhai huwa Yuko mstar wa mbele kukataza maovu,wew ni adui mkubwa Sana wa uhai wa binadam,maana unataka wanadam waangamie
 
Back
Top Bottom