Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Amuua mwanawe wa kiume kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ya kusikitisha mkazi mmoja wa ndola huko Zambia amemua mwanawe wa kiume kwa kumwekea sumu kwenye chakula.

Hiyo ni baada ya mwanawe wa kiume kuja kumtambulisha mpenzi wake wa kiume kwa baba yake, ambaye hakutaka kabisa kukubaliana na ukweli wa mambo hivo aliagiza waandaliwe chakula cha jioni ndipo alipomuwekea sumu kwenye chakula na kupelekea umauti wa mwanawe huyo wa kiume.

Kwa sasa baba mtoto huyo ametorokea nchini Congo ambako anaishi mafichoni.

Hii si haki kabisa na sisi kama watetezi wa haki za kibinaadamu tunalaani vikali kitendo cha huyo baba kumua mwanawe.

Kila mtu ana haki sawa hapa Duniani na tujifunze kuheshimu maamuzi ya mtu hata kama yanatuumiza.

Na haswa upande wa hisia za watu. Kuua mtu sio suluhisho la kutatua tatizo tuangalie njia bora sisi kama walezi na wazazi.
Mzee Kaondolea aibu familia na ukoo🦁
 
Uzuri hii sio Islamic State kama Iran, Saudia au Afghanistan hivyo sheria ya dini yenu mnabaki nayo tu kwenye vitabu vyenu haina utekelezaji.
Sisi kwenye dini yetu ya Kiislamu Shoga na Msagaji hukumu yao ni kuuwawa.

Sababu watu Hawa wanakuwa kama Wanyama au zaidi ya Wanyama, hali ya kuwa wamepewa akili na utashi. Bali wanaleta ufisadi katika Ardhi.

Kuna mambo kujua ubaya wake ni rahisi sana kuliko kitendo cha wewe kupepesa macho. Mfano kujua ya kuwa ushoga ni jambo baya au usagaji ni jambo baya, hakuhitaji akili kubwa.
 
Kumbe Wazungu wote sio Wakristo na wapo wasiokua na Dini sasa unavyoleta maandiko sijui Shoga auwawe sijui Mchawi na anayetembea na Wake za Watu wauwawe ulikua unawapelekea wakina nani hayo maandiko??? Au wewe kwa akili zako za kupigia punyeto unajua Waafrika wote ni Wakristo??

Halafu mimi sio Mdada mwembamba mimi nina Miraba yangu minne a.k.a Shababi [emoji23]

Mimi sina stress za kuwaza mikundu ya watu huku niwaze maji ya mgao. [emoji23]

Wewe ni Mdada mwembamba mweusi uliyechanganywa na ulimbukeni. Hivyo ndivyo maandishi yako yanavyokutambulisha Kwa Sisi wajuvi wa maandishi.

Huyo Baba aliyeua shoga si kaua mtoto wake?
Hicho ndicho Sisi tunachosema humu na ndio mada inavyosema.

Wewe kuwa shoga Mimi hainihusu kwani hata wewe haunihusu.
Ila ningekuwa kiongozi wako kitaifa ungenihusu na ningekuwa na wajibu wa kukupeleka kuzimu endapo ingebainika unafanya hiyo laana kubwa katika Ardhi hii takatifu
 
Kwa nini unawachukia mashoga kiasi hicho?
Walikufanyaje??

Kinachofanya watu wachukie mashoga si ushoga ni tabia yakuweka hadharani na kupigania kua ilo ni swala jema kabisa katika jamii tulisupport ilo ndo tatizo means hata kizazi chetu wawe wa hivyo ndo maana watu tunachukia kama watatafuta kasehemu kao kanchi kao huko wakaweka sheria zao na atayejisikia kuungana nao awafate huko yani iyo mi naona haina shida shida nikukaanao mitaani na wanashawish vizaz vyetu et wawe kama wao au wawasupport ndo maana tunasema kifo ndo stahiki yao.
 
Naona huyo mke wa Mtu alokufanya hadi mumewe akakufira alikua Mwembamba mweusi basi unadhani kila mtu ni mwembamba mweusi, lol

Mashoga wapo na wataendelea kuwepo tu wewe utaondoka watakuja wengine watazaa na katika watakao wazaa na Mashoga watakuwepo,

Pambana uache alama hapa duniani ukumbukwe na kijiji chako sio waseme Marehemu alikua anapenda kunusa mikundu ya Watu [emoji2960]

Wadada wembamba mkichanganyikiwa mnavioja Sana.
Alafu awe mlevi ndio huwaga mnamambo ya hovyo Sana.
 
Mambo ya Walawi 20:13
Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
Nipe Amri 10 za Mungu,

Ukishamaliza kuziandika uende ukachote maji uoge, [emoji851]
 
KO
Anza kumgonga mama ako mzazi ili tujue wewe kweli ni kidume [emoji2]

😂😂😂
Pamoja na kuwa ninyi mnaushetani lakini hampendi kufanyiwa ushetani😂😂

Ungejibu tuu kuwa Mumeo anauwezo wa kukugonga wewe na binti yako na kumgeuza mtoto wako wakiume ndio ningejua kuwa unachokisema kinamantiki, lakini kumbe hata wewe licha ya kuchanganyikiwa lakini bado unaona hakuna logic ya matendo hayo
 
Mtoto akishakuwa mtu mzima wewe mzazi huna mamlaka naye tena. Anafanya vyovyote anavojisikia na anadhibitiwa kwa sheria za nchi tu.

Ni sawa na akafanyie huko na jina langu la pili alitoe akatafte baba yake wakumsupport na kumpenda jinsi alivyo na asirudi abadani yani kwanza na imagine walivyo legelege vile siku nimeondoka duniani ataweza kusimama kama kidume arrange kilakitu na kulibeba jeneza langu na kushika chepe au litakaa linalialia linaishiwa nguvu kama wanawake.
 
Nipe Amri 10 za Mungu,

Ukishamaliza kuziandika uende ukachote maji uoge, [emoji851]

Kasome sheria za nchi ndio utaelewa kuwa wewe ni mjinga.

Amri kuu ni sheria kuu.
Mfano sheria isemayo; usiibe.
Hiyo ndio sheria kuu lakini zipo sheria zinazofafanua sheria hiyo.
Mfano, usisogeze mpaka WA jirani yako. Huo ni wizi.
Usidhulumu, zote hizo ni sheria zilizotolewa kwenye sheria kuu ya usione.

Usizini ni sheria kuu. Ambayo ndani yake kuna sheria nyingi;
Mfano, usilale na binti au kijana wako.
Usilale na Mwanaume Kama ulalavyo na Mwanaume mwenzako.
Usilale na Mwanamke kama ulalavyo na Mwanamke mwenzako.
Usilawiti wala kufira.
Usilale na Mama Mkwe au Baba Mkwe n.k.

Sawa Mdada mwembamba mweusi usiye na Nyama uliyechanganywa na ulimbukeni
 
Wewe ni Mdada mwembamba mweusi uliyechanganywa na ulimbukeni. Hivyo ndivyo maandishi yako yanavyokutambulisha Kwa Sisi wajuvi wa maandishi.

Huyo Baba aliyeua shoga si kaua mtoto wake?
Hicho ndicho Sisi tunachosema humu na ndio mada inavyosema.

Wewe kuwa shoga Mimi hainihusu kwani hata wewe haunihusu.
Ila ningekuwa kiongozi wako kitaifa ungenihusu na ningekuwa na wajibu wa kukupeleka kuzimu endapo ingebainika unafanya hiyo laana kubwa katika Ardhi hii takatifu
Usibadili mada ewe Msomi wa chini ya Mwembe,
Ulisema Wazungu wote na Waarabu hawana hizo Dini,

Nimekuuliza kwa hiyo hayo Maandiko ulimuwekea nani au Waafrika wote ni Wakristo?
 
Mada inatembea hii....inaonekana watu mnapenda mambo haya ya ajabu...
Yani kuna Watu kila Mada ya Ushoga wapo na wanajifanya kuuchukia lakini wanashinda kwenye Mada hizi hizi baadae wanafata watu PM kujitongezesha,

Majina yao tunayo ila tunawastiri tu
 
Kumbe Wazungu wote sio Wakristo na wapo wasiokua na Dini sasa unavyoleta maandiko sijui Shoga auwawe sijui Mchawi na anayetembea na Wake za Watu wauwawe ulikua unawapelekea wakina nani hayo maandiko??? Au wewe kwa akili zako za kupigia punyeto unajua Waafrika wote ni Wakristo??

Halafu mimi sio Mdada mwembamba mimi nina Miraba yangu minne a.k.a Shababi [emoji23]

Mimi sina stress za kuwaza mikundu ya watu huku niwaze maji ya mgao. [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mbona unaweza kuhangaika kukuza mtoto wa kiume akaja kuwa muuza unga, mtu asiyejulikana, askari anayebambika kesi au fisadi wa mali za umma na ukapokea na pesa zake kabisa??!

Akiwa mwizi wahusika wakimkamata waue maana siwez kumchukilia sheria sina ushahidi, akiwa muuza unga wahusika wakimkamata wamfunge akiwa china wanyonge mi waniletee mwili ntazika hamna shida, akiwa askari muhuni wakimkamata wamfunge au vyovyote vile ili ajifunze nidham ya kazi na sio hao tuu hata ingekua mimi binafsi nishaamua kua jambazi eti nijichanganye wananchi waniweke mtu kati kwangu wakiniua sitoona tatizo ila wakijichanganya nalala mbele maana nikosa kula jasho la mtu alietafuta kwa haki na siwezi kumpangia adhabu yakunihukumu ataponikamata. Ila mtoto kua shoga na afanye hadharani na zaidi mbele yangu uyo ni kibra tutakutana siku ya mwisho tujibu maswali.
 
Naona huyo mke wa Mtu alokufanya hadi mumewe akakufira alikua Mwembamba mweusi basi unadhani kila mtu ni mwembamba mweusi, lol

Mashoga wapo na wataendelea kuwepo tu wewe utaondoka watakuja wengine watazaa na katika watakao wazaa na Mashoga watakuwepo,

Pambana uache alama hapa duniani ukumbukwe na kijiji chako sio waseme Marehemu alikua anapenda kunusa mikundu ya Watu [emoji2960]
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kasome sheria za nchi ndio utaelewa kuwa wewe ni mjinga.

Amri kuu ni sheria kuu.
Mfano sheria isemayo; usiibe.
Hiyo ndio sheria kuu lakini zipo sheria zinazofafanua sheria hiyo.
Mfano, usisogeze mpaka WA jirani yako. Huo ni wizi.
Usidhulumu, zote hizo ni sheria zilizotolewa kwenye sheria kuu ya usione.

Usizini ni sheria kuu. Ambayo ndani yake kuna sheria nyingi;
Mfano, usilale na binti au kijana wako.
Usilale na Mwanaume Kama ulalavyo na Mwanaume mwenzako.
Usilale na Mwanamke kama ulalavyo na Mwanamke mwenzako.
Usilawiti wala kufira.
Usilale na Mama Mkwe au Baba Mkwe n.k.

Sawa Mdada mwembamba mweusi usiye na Nyama uliyechanganywa na ulimbukeni
Niweke Amri 10 za Mungu acha mipasho au shahawa za yule Mume wa Mdada Mwembamba Mweusi zimeingia kichwani kwako?
 
Akiwa ni mwanao ndio anakuja na mpenzi wake kukutambulisha utamuua???

Kwanza mwanangu anavyonijua najua hawezi kujaribu kumleta hata pale mtaani maana kabla ya kumuua nitamchuna ngozi ni iweke mbele ya mlango wadogo zake wajifunze kua baba ni myama kwenye ilo swala.
 
Back
Top Bottom