Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Hivi ungekuwa mzazi wa Ben Sanane, Baba wa Alphonce Mawazo, Mzazi wa Azory Gwanda au Ndugu wa Tundu Lissu ungekuwa katika hali gani kwa uliyowafanyia ??
Sent using Jamii Forums mobile app
HATA MOJA HUNA TAARIFA NALO, NITAFUTE ANA KWA ANA NIKUELEZEE. AU WAONE VIONGOZI WAKO WA CDM
Sent using Jamii Forums mobile app