HATA MOJA HUNA TAARIFA NALO, NITAFUTE ANA KWA ANA NIKUELEZEE. AU WAONE VIONGOZI WAKO WA CDM
Ajira ni "maada" pana sana...Yes, HILI NI TATIZO, HII NI HOJA YA MSINGI.
Tar 20 tulikuwa na mjadala mpana SINGIDA, TATIZO HILI LINAWEZA KUPUNGUA KWA KUWEKEZA KWENYE MODERNIZATION OF PRODUCTION PRICESS MIKOANI KWETU, ILI SHUGHULI ZA UZALISHAJI ZITOE FAIDA ZINAZOLIPA HIVYO ZITENGENEZE AJIRA. HIVYO TULIKUWA NA RCC. TULICHAKATA SANA.
BUT AJIRA NI TATIZO NA NI MAADA PANA SANA, HAINA JIBU MOJA
Halafu anakumabia "hujui kitu njoo nikueleweshe" sasa kama kunakuelewesha si awaeleweshe Watanzania humuhumu, Kazi za kwenye giza huwa ni za shetaniHuna lolote! Maovu yote uliyowafanyia watanzania damu zao zinakulilia popote ulipo ndiyo maana unawayawaya kama mtetea aliyekosa pakutagia.
By the way lini utapeleka ushahidi wako kule mbinguni kama ulivyosema unao??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mambo binafsi.Mwenzako Kangi baada ya kutumbuliwa kaacha kabisa kuvaa nguo zenye mabendera ingawa bendera zenyewe ziliwekwa kwa kugeuzwa vp una maoni gani hapo waziri wa zamani wa mambo ya ndani?
Jibu takatifu hiloSIO KILA WAKATI UNATUMIA PhD rafiki yangu. WAKATI mwingine ishi kama wenzako. Kwani WATANZANIA Wote wanna PhD?
Hongera? Huwa sinywi pombe unanikutaje bar. 😄😄😄😄😄😄Hivi ni kweli wewe ni Lameck Madelu?? Mwigulu Nchemba ni majina ya wasukuma na wewe ni mnyiramba/Mnyaturu... Hebu weka sawa hili suala
Mbona siku hizi sikuoni pande za Hongera Bar pale Sinza?? Ngalawa pale Kunduchi?? Je bado uko karibu na rafiki yako Ngaponda??
Sent using Jamii Forums mobile app
Iramba bado ina kiu ya maji si ndio?URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA
Asante SanaJibu takatifu hilo
Asilimia kubwa ya watanzania wanaingia kwenye ubunge kushibisha matumbo yao tu, siyo uwakilishi si nyie CCM hata wapinzani piaUBUNGE SIO MTAJI NI UWAKILISHI
Weka namba yako ya simu hapaHi Post ina VITU VINGI, VINGINE KWA SASA MIMI SIO MSEMAJI WA MAMBO HAYO.
ILA ANAYEHITAJI KUJUA NINACHOKIJUA ANITAFUTE KWA SIMU NIMFAFANULIE
Mkuu akutafute vipi,wewe SI umesema ana kwa Ana hapa!Kiungwana jibu hivi;Hizo Ni top secret za Nchi zuwezi jibu hapa!
Ila Damu za yule kijana wa Ndago haita kuacha abadani; Ulishindwa hata kumuona Lissu baada ya madhila Yale!
Damu hizi zitakuandama Daima !!!
Sio maji tu, maendeleo hutengeneza changamoto, hivyo kila sekta kiu imeongezeka zaidi. Mfano umeme, mabweni the sameIramba bado ina kiu ya maji si ndio?
Huna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndio uje uandike. Kama kawaida nadhani unatamani niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo
Siku zote mtu anayekunywa pombe ni muelewa, na akili yake Inafanyakazi kifanisi zaidiHongera? Huwa sinywi pombe unanikutaje bar. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mwigulu kaonyesha ukomavu wa hali ya juu.Asante Sana kwa ufafanuzi Mh. Mwigulu.
Endelea kukaa bench ila nina uhakika utarudi kwenye uwaziri.
Mwenzako Kangi yeye anaenda kuozea jela
Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA