google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,623
- 13,759
usimpambe huyu jamaa hana uzalendo wala nn ni mchumia tumbo tu hana loloteKumbe wewe ni mzalendo toka siku nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usimpambe huyu jamaa hana uzalendo wala nn ni mchumia tumbo tu hana loloteKumbe wewe ni mzalendo toka siku nyingi
NAONESHA MSISITIZO [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Asante Sana Mkuu,unajua wewe ni Mtu maaraufu Sana ndani na nje ya Tanzania.Sisi watu wa mtaani,hua tunawaona nyinyi watu wa Level yako Kama sio binadamu wa kawaida.Kwamba hamsikii njaa,kiu,hamuumwi,hamchoki,hamkasiriki nk.Field Marshall, the BEST FIELD OFFICER. Rafiki yangu SHUGHULIKA NA NAFISI YAKO. KWENDA MBINGUNI HAKUNA MPIGA DEBE
Unatumia redio mbao wewe, USIMLISHE MANENO RAIS WANGU. Mhe RAIS wangu anashughulika na mambo MAKUBWA hajawahi KUSEMA hivyo Wala kuniambia binafsi. Hayo ni maneno ya kubuni ya watu kama wewe hivi
Ni kweli. Maana kila akiulizwa maswali nyeti anasema atafutwe. Sasa atatafutwa na wangapi wakati uwanja ndio huu?1. Hili jibu halikusaidii Mheshimiwa, kama hutaki kutujibu hapa ondoka maana hatujakuita umejileta mwenyewe. Tulishazoea ndugu zetu wanauawa mnafurahi, Leo unaulizwa unakwepa eti watu wakutafute pembeni!!? Waambie Watanzania nini kilichotokea?
2. Tupe picha moja ukiwa Ilboru umevaa skafu vinginevyo huo ni uongo kama uongo mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaahahahahahaaaa, acha woga ndugu, Mkuu anataka kukutana na wewe faragha ili akuelimishe,halafu unamtolea maneno ambavyo huna uhakika nayo.Nenda bwana.elimisha wote huku jamvini mkuu maana mtu anapoanza kukutafuta ndo kumpoteza kunapoanza maana nyie kumwaga damu za watu mnaona ni jambo jepesi sana, ndo maana mnapopewa vyeo vya kuteuliwa mnakuwa vituko katika jamii mfano Kngi tu alikuwa kituko japo hata wewe ulikuwa na vituko vyako
Mh.Rejea uzi wako hapo juu umesema tuulize vyote utujibu sasa mbona unatuita pembeni.? Unataka huko tukutane na wasiojulikana.?Nitafute nikufafanulie maana inaonekana HUJUI KABISA
Hata hivyo inaonesha una siri nyingi zenye maumivu moyoni mwako. Nakushauri tena kama nilivyofanya kipindi kile unachana hotuba ya Zitto. Tekeleza yale ulioshauriwa na mmoja kati ya wachungaji wale uliowaita Dodoma baada ya tukio la Ndago. Utapata amani ya rohoni.SIO KILA KITU KINAJIBIWA NA KILA MTU, NA KILA KITU NI PUBLIC
Umeapa kuwaumiza waliokuchagua au?NITAJIBU KILICHO MWAFAKA KUJIBU, HIYO NDIO KANUNI YA VIAPO, MIMI PAMOJA NA KUWA MWANA JF but NI MBUNGE
Mwaminifu kwa kushiriki maovu, kwa kuruhusu kutolewa uhai kwa watu wasio na hatia, kushindwa kukemea waovu, ulichoweza ni kuwa kibaraka wa boss wako ukasahau kanuni na taratibu za kazi ulizo pewa. Kiapo gani ulichoweza kukifuata.NITAJIBU KILICHO MWAFAKA KUJIBU, HIYO NDIO KANUNI YA VIAPO, MIMI PAMOJA NA KUWA MWANA JF but NI MBUNGE
Mheshimiwa, hujaona alichoomba kujua kuhusu Iramba hapo juu ?URAIS SIO NDOTO ZA MTU BALI NI HITAJI LA WAKATI NA HITAJI LA WATU . HIVYO HII SIO AGENDA KWA SASA. NIULIZE KUHUSU IRAMBA