Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Maswali yangu.
Nani alimuua ALPHONSo mawazo? Nani alimshambulia tundu lisu? Nani alimteka ben sanane? Nani alimteka anzory gwanda, nani alimuua akwilin? Nani alimuua diwan wa hananasifu?
Ni hayo tu mh.mwigulu nchemba
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alimuua ALPHONSo mawazo? Nani alimshambulia tundu lisu? Nani alimteka ben sanane? Nani alimteka anzory gwanda, nani alimuua akwilin? Nani alimuua diwan wa hananasifu?
Ni hayo tu mh.mwigulu nchemba
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Sent using Jamii Forums mobile app