Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Kosa lako na wananchi wengi wa Tz wanadhani Mbunge au Diwani kazi yake ni kufanya, au kuleta huduma, inayofanya ni serikali unayoilipa kodi, Mbunge na Diwani wao ni visemeo
na inakuuma sana mkuuUnahangaika tu. Mwenzio alishakosa interest na post aliyoanzisha mwenyewe siku nyiiiiiiiiiiingi!
Hautajibiwa!Aisee,Mh mengi yameulizwa,naomba unijuze tu kuhusu ka'timu ketu Singida United umekatelekeza? Maana tunashuka daraja Mkuu dah.....!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwacheni mbunge wetu, kwani hayo unayosema sasa hivi hayapo??? Ametoka kwenye uwaziri na hata sasa watu wanauawa na hata wasiojulikana bado hawajulikani pia. Tumtafute kiini cha tatizo letu.Umetuangusha sana mheshimiwa, ukiwa Waziri wa Mambo ya Ndani kuna mambo ya ajabu sana yalikuwa yanaendelea hapa nchini, natumaini kuna siku watu wote waliouawa wataipata haki yao.
Mkuu member mwenzetu wa JF, Mhe. Mwigulu Nchemba
Na baada ya maelezo hayo, nina maswali matatu yenye a, b na c yanayohusu utata wa majina yako, ambayo yanahitaji majibu mafupi mafupi tuu ili yasikuchukulie muda mrefu
- Kwanza nikupongeze kujitokeza tena humu na kukubali kuulizwa maswali, maana mtu wa calbre yako kurejea humu in person na kukubali kujibu maswali, you really have guts!, na labda ujio wako utawarudisha baadhi ya members wetu humu wa calibre yako ambao humu hawachangii tena akiwemo Nape, Ngeleja, Dr. Kigwa, Makonda, na wengine
- Pili nikupongeze jinsi unavyojibu karibu kila swali, na pia kwa yale maswali ambayo majibu yake sio for public consuption, umewakaribisha waulizaji at personal level.
- Pia nakupongeza kwa uvumilivu wako na ustahimilifu wa kuyavumilia baadhi ya maswali kiukweli ni ya kijinga!. Hapa nawaomba members wenzangu wa jf, kumpata mtu kama huyu kujibu maswali yetu humu ni heshima kubwa kwa mtandao wetu huu wa jf, tumuulize maswali ya maana, kiheshima na kistaarabu ili kuonyesha jf ni mtandao wa watu mature, responsible na wenye objectivity, hiki sio kijiwe, hivyo tuache maswali ya vijiweni.
- Mimi nakiri kukukubali sana tangu ulipotaka kugombea urais ile 2015 Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!
NB: Kwa sababu hayo ni maswali ya public domain, naomba usinijibu kuwa nikutafute
- a. Ulizaliwa wapi, b. mwaka gani na c. ulipozaliwa ulipewa majina matatu yapi?
- a. Ulianza shule wapi, b. mwaka gani na c. uliandikishwa kwa majina matatu yapi?
- a. Ulimaliza shule darasa la saba wapi, b. mwaka gani, na c. ulimaliza kwa majina matatu yapi?.
Asante.
P.
Mkuu Mhe. Mwigulu Nchemba, maadam wewe ni kada mzoefu wa CCM ambaye ni born and breed, unajua fika the determinant ya mgombea wa CCM sio kura za maoni za wana CCM!, huna sababu ya ya kutumia maneno ya mipasho ya kwenye kanga kutishia watu."NI HESABU MBAYA SANA KUPAMBANA NA MAMBA KWENYE KINA KIREFU CHA MAJI"
Duuh, kumbe elimu ya msingi ni muhimu namna hii?? Ngoja nikachukue cheti changu aisee.Mkuu Mhe. Mwigulu Nchemba, maadam wewe ni kada mzoefu wa CCM ambaye ni born and breed, unajua fika the determinant ya mgombea wa CCM sio kura za maoni za wana CCM!, huna sababu ya ya kutumia maneno ya mipasho ya kwenye kanga kutishia watu.
Kitu cha muhimu sana kwako kwa sasa Mhe. Mwigulu, ni kuendelea kujibu hoja kama hizi kule kwenye like bandiko lako hili
Zitakusafishia njia, na sio kujibu kimipasho humu.
Ni ushauri tuu!
P
Mwigulu jimbo tunakutegemea sanaWewe kwisha habari yako, ulinyanyasa na kuwatesa sana watu, ulijivua ubinadamu, ukajivisha ukatili, ukasahau kuwa cheo ni dhamana. Leo upo Unaishi kwa hofu ya kupoteza ubunge. Pole sana. Ndio ujifunze. Wakati mwingine usiwe limbukeni wa cheo. Waambie na wenzako.
Kuna jamaa ni PS wizara flani nasikia ana uhakika wa kukugo'a. Je ataweza?NDIO PANAPO UZIMA
Wana CCM wote ambao wanaonekana ni Presidential material ukiacha wa eneo fulani , wanafanyiwa political assasination ......sio bahati mbaya leo kuwa NAPE NAUYE, JANUARY MAKAMBA , MWIGULU NCHEMBA , EMMANUEL NCHIMBI na wengine wa aina hiyo wako mbali kabisa na pengine hawataibuka kabisa kisiasa .......
Hawa ni vijana wa ccm waliopikwa toka Chipukizi lakini leo wamekua watoto wa kufikia ........paka ukimfungia chumbani ukamchapa bila kumuachia njia ya kutokea anaweza kukudhuru........
Interaction za kisiasa kama hizi zinaendelea kuwaudhi wenye ccm "yao" siku hizi .
Hawa watu uliowaaanda kuja kufanya hiii Kazi ya kukushangilia, wanadai Hela zao, walipeKuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Sidhani kama Ana akili hiyo hivi sasa, subiri akiwa nje ya system ndio atakuelewaMkuu Mhe. Mwigulu Nchemba, maadam wewe ni kada mzoefu wa CCM ambaye ni born and breed, unajua fika the determinant ya mgombea wa CCM sio kura za maoni za wana CCM!, huna sababu ya ya kutumia maneno ya mipasho ya kwenye kanga kutishia watu.
Kitu cha muhimu sana kwako kwa sasa Mhe. Mwigulu, ni kuendelea kujibu hoja kama hizi kule kwenye like bandiko lako hili
Zitakusafishia njia, na sio kujibu kimipasho humu.
Ni ushauri tuu!
P