Ana miaka 32 Hana mke Hana mtoto Hana maisha anasema nisioe, kama kuoa ni kutoafanikiwa mbona yeye bado fukara😃

Ana miaka 32 Hana mke Hana mtoto Hana maisha anasema nisioe, kama kuoa ni kutoafanikiwa mbona yeye bado fukara😃

Unakuta mtu anakushauri oya usioe mpaka ufike 30's yeye wakati ana Zaidi ya 30 hajaoa na maisha magumu vibaya

Wakuu hakuna uhusiano wowte wa mafanikio na ndoa kama utapata mtu Sahihi
Upo uhusiano mkubwa wa ndoa na umaskini au mafanikio. Kama wewe ni masikini ukioa familia tajiri uwezekano wa kuagana na umaskini ni mkubwa, kama wewe ni masikini ukioa maskini mwenzako uwezekano wa kuondokana na umaskini unakuwa mdogo sana.
 
Inategemea wewe mwenyewe unatokea familia ya aina gani, kama unatokea familia maskini inayokutegemea halafu ukaoa mtu wa familia masikini kuna uwezekano mkubwa usipate mafanikio.
Fact Nimekuelewa sana
 
Unakuta mtu anakushauri oya usioe mpaka ufike 30's yeye wakati ana Zaidi ya 30 hajaoa na maisha magumu vibaya

Wakuu hakuna uhusiano wowte wa mafanikio na ndoa kama utapata mtu Sahihi
Hakuna uhusiano wowote kati mafanikio na kuoa au kutokuoa.
Suala la kufanikiwa ni mtambuka sana.

Na ndio maana mtu anaweza akashindwa kufanikiwa akiwa bachela lakini baada ya kuoa mafanikio yake yakafunguka.
au mtu anaweza kufanikiwa akiwa bachera lakini baada ya kuoa akafrisika.
Au mtu anaweza kufanikiwa akiwa bachela lakini hata baada ya kuoa mafanikio yake akaendelea kuwa nayo.
Na mtu unaweza kushindwa kufanikiwa ukiwa bachela na bado hata baada ya ukaoa akaendelea kuwa masikini kama ulivyo kuwa kipindi uko bachela.

Mafanikio kwenye maisha huwa yanakuja kwa kutumia akili, juhudi, saa nyingine bahati, mafanikio hayaji kisa umeoa au kwa sababu uko single.
 
Ni ndoto za alinacha kufanikiwa ndani ya miaka 7, tuseme ulianza kujitegemea ukiwa na miaka 23 mpaka ufike 30 ni miaka saba unataka uwe na mafanikio makubwa kuliko waliokutangulia kama biashara bado unajitafuta kama ni kazini mshara wako bado ni mdogo sana, kwa upande wa biashara labda fremu iwe ni ya urithi ndipo unaweza kutusua bila hivyo utaangaika sana, miaka 15 mpaka 20 ukiwa kwenye game pengine ndio panaanza kueleweka.
 
Upo uhusiano mkubwa wa ndoa na umaskini au mafanikio. Kama wewe ni masikini ukioa familia tajiri uwezekano wa kuagana na umaskini ni mkubwa, kama wewe ni masikini ukioa maskini mwenzako uwezekano wa kuondokana na umaskini unakuwa mdogo sana.
Kwahiyo unataka kusema msukuma aliemuoa Deborah ameula?
 
Unatakiwa ujue kwanza unaoa kwasababu gani! Watu wengi wanaoa kwa kufuata utamaduni, imani, na mkumbo. Usioe kwasababu kila mtu anaoa, oa ukiwa unajua ndoa itaongeza nini kwenye maisha yako.
 
Shida mnaoa ili kutunza watoto na si kuwalea...

Lengo la ndoa ni kuendeleza kizazi, kuzaa..

Kama hauoi au kuoa kwa lengo hilo basi achana na kuoa au kuolewa tu.
 
Inategemea unaoa nani. Ndoa kama ndoa ni kitu kizuri shida siku hizi watu hawana vigezo vya kuingia kwenye ndoa wanafosi yanatokea majanga wanaanza kulalamika as if wanauwezo ila Ndoa ndio inamatatizo kumbe wao ndio shida ndoa ni uwanja tu au platform ya kufanyia uhalisia.
 
Hakuna uhusiano wowote kati mafanikio na kuoa au kutokuoa.
Suala la kufanikiwa ni mtambuka sana.

Na ndio maana mtu anaweza akashindwa kufanikiwa akiwa bachela lakini baada ya kuoa mafanikio yake yakafunguka.
au mtu anaweza kufanikiwa akiwa bachera lakini baada ya kuoa akafrisika.
Au mtu anaweza kufanikiwa akiwa bachela lakini hata baada ya kuoa mafanikio yake akaendelea kuwa nayo.
Na mtu unaweza kushindwa kufanikiwa ukiwa bachela na bado hata baada ya ukaoa akaendelea kuwa masikini kama ulivyo kuwa kipindi uko bachela.

Mafanikio kwenye maisha huwa yanakuja kwa kutumia akili, juhudi, saa nyingine bahati, mafanikio hayaji kisa umeoa au kwa sababu uko single.
Kuna mambo kadhaa ukiona mtu ameanza kufanikiwa baada ya kuoa,
1.Ameoa familia tajiri au yenye connections.
2.Huyo mwanaume alikuwa mjinga mjinga kwa hiyo amepata mtu mwenye akili anayeweza kumsaidia na kumtuliza(hapa mara nyingi unakuta mwanamke yuko matured zaidi kuliko mwanaume).
3. Kuna baadhi ya kazi, fursa na deals mtu mwenye familia anaaminiwa zaidi kuliko bachela.
4. Ameoa mwanamke mwenye akili ya mafanikio na mpambanaji mwenye potential ya mafanikio.
 
Upo uhusiano mkubwa wa ndoa na umaskini au mafanikio. Kama wewe ni masikini ukioa familia tajiri uwezekano wa kuagana na umaskini ni mkubwa, kama wewe ni masikini ukioa maskini mwenzako uwezekano wa kuondokana na umaskini unakuwa mdogo sana.
Hata ukioa masikini ambaye Ana rich Mindset?
 
Kuna jamaa aliwahi kusema Usipende kupokea zawadi ya nguo kwa mtu aliye uchi.
 
šŸ“ŒKAMA HUNA HELA,KATAA NDOA!!!
šŸ“ŒKAMA SIO BIKRA,KATAA NDOA!!!


#KATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
 
Hakuna uhusiano wowote kati mafanikio na kuoa au kutokuoa.
Suala la kufanikiwa ni mtambuka sana.

Na ndio maana mtu anaweza akashindwa kufanikiwa akiwa bachela lakini baada ya kuoa mafanikio yake yakafunguka.
au mtu anaweza kufanikiwa akiwa bachera lakini baada ya kuoa akafrisika.
Au mtu anaweza kufanikiwa akiwa bachela lakini hata baada ya kuoa mafanikio yake akaendelea kuwa nayo.
Na mtu unaweza kushindwa kufanikiwa ukiwa bachela na bado hata baada ya ukaoa akaendelea kuwa masikini kama ulivyo kuwa kipindi uko bachela.

Mafanikio kwenye maisha huwa yanakuja kwa kutumia akili, juhudi, saa nyingine bahati, mafanikio hayaji kisa umeoa au kwa sababu uko single.
Naku follow kabisa
 
Back
Top Bottom