Ana nini huyu Mke wangu?

Ana nini huyu Mke wangu?

hivi wewe uko sawa kweli,au una shida ya afya akili?,jambo hilo ndio la kuleta hapa kweli,yaelekea hata kujamba mkeo umempa idadi ya kujamba kwa siku na asipotimiza utaleta hapa!
Watu kama hawa ndio wanafanya Wanaume tudharaulike,

Issue ndogo kama hii anaileta mitandaoni!
Kwa akili hiyo hata watoto wake hawatamsikiliza tena coz hajakaa kiume.
 
Habari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika, Ni hiv mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hiv mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka sasa huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye mfano likizo hii ta desemba nilimwambia asafiri na watoto tu,tukakubaliana matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa kumuona kwenye bus video call sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu, ushauri tafadhali ana nini huyu?
Wewe nae unanongwaa sasa msaidizi wa kazi si atamsaidia huko anapoenda kha mambo mengine madogo madogo unataka kuyakuzaa yawe hayooo..
Potezea mzee..!
 
Miaka nane ndani ya ndoa kijambo kidogo tu hiki ndo waja kuandika MTANDAONI kweli?
So tukikushauri kuachana nae utamwacha?
Kama mkeo anatokea;
Kaskazini,
Morogoro
Mbeya.
Basi huna Cha kumfanya kwa maana mkeo ana maamuzi kuliko wewe yaani wazungu wanasema UNAKONTROLIWA na mkeo ndo maana umekimbilia kuanika humu.
Jikaze kiume.
 
Huyu beki tatu ni mpya wamekutana dar nilitaka amuache kwa mjomba na kila kitu nilishapanga na alisikia nikimwambia mjomba nia waende Arusha na Morogoro wakirud ndo wampitie waende nyumbani, kafanya tofauti anataka azunguke nae
Acha kujiliza tawala familia yako ama toa namba yake usaidiwe toa maamuzi
 
Habari Zenu, tafadhali somo hapo juu lahusika.

Ni hivi, mimi na mke wangu tuko kwenye ndoa miaka 8 sasa, ila sasa hivi mimi nipo nje ya nchi yapata mwaka. Sas,a huwa tunawasiliana karibu kila siku, tatizo ni kwamba nikimpa maelekezo tunakubaliana vzr ila atafanya alivyoamua yeye.

Mfano, likizo hii ya Desemba nilimwambia asafiri na watoto tu, tukakubaliana… matokeo yake kabeba na beki tatu nimeshangaa kumuona kwenye bus video call.

Sasa nataka nifanye kitu ili ajue nguvu yangu.

Ushauri tafadhali, ana nini huyu?
Utakufa kwa Sukari na presha Wewe, kuna kitu unachotafuta sio bure
 
Beki tatu naye ni part of your family siku mojamoja mtoe out mnunulie na savana kuonyesha upendo.
 
Huyu beki tatu ni mpya wamekutana dar nilitaka amuache kwa mjomba na kila kitu nilishapanga na alisikia nikimwambia mjomba nia waende Arusha na Morogoro wakirud ndo wampitie waende nyumbani, kafanya tofauti anataka azunguke nae
Wewe una matatizo. Mambo ya beki 3 unayaingilia ili iweje? Akienda huko italeta athari gani hujaeleza
 
Back
Top Bottom