Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ID nyingi kamandaUtopoloni nyumba inateketea sema ni vile hawapigi yowe
Wanakufa kimya kimya [emoji38][emoji38]Utopoloni nyumba inateketea sema ni vile hawapigi yowe
Huyu mburungeke yuko kwenye payroll ya Mo anachoandika sishangai.Na Wilson Oruma mchambuzi nguli kufuatia Kocha wa Singida kwenda Yanga alikuwa na haya machache.
"Singida is the Branch of science which deals with the composition and decomposition of Matter"
Wachambuzi uchwara hawa, kwa hiyo wanataka kumaanisha pale ulaya Sporting Lisbon ya Ureno ni tawi la Man UTD????Viongozi wa Singida lazima waende peponi,hamna watu wana upendo wa mshumaa kuliko hawa katika soka kokote pale duniani,ukitaka mchezaji wanakupa ukitaka kocha wanakupa ushindwe wewe tuView attachment 3225549
Michepuko huimarisha yale mahusiano ya nyumba kubwa. Acha yanga iwe na branches nyingi iwezekanavyo. Na nyie mnaruhusiwaNa Wilson Oruma mchambuzi nguli kufuatia Kocha wa Singida kwenda Yanga alikuwa na haya machache.
"Singida is the Branch of science which deals with the composition and decomposition of Matter"
Hilo ni jina la ubatizo never changeUna ID nyingi kamanda
Mbumbumbu fc na wote wa jamii iyo wakumbuke Aish Manula Aliachwa Azam akaenda Singida na Simba wakawaomba Singida wakamsajili.
Habib Kyombo alisajiliwa Singida, Simba wakawaomba Singida na wakapewa mchezaji.
Mbumbumbu fc wapunguze Shobo.
Uambiwe kama nani?Wanatuambia Said Kichwa kauzwa kwa dili nono ila hawatuambii huyo kocha wa Singida y Mwigulu kanunuliwa kwa dili gani?
Kwani mnavyotuambia mambo ya dili nono la waarabu mnatuambia kama nani?Uambiwe kama nani?
Kwahyo unataka kusema nini ndugu zuzuMbumbumbu fc na wote wa jamii iyo wakumbuke Aish Manula Aliachwa Azam akaenda Singida na Simba wakawaomba Singida wakamsajili.
Habib Kyombo alisajiliwa Singida, Simba wakawaomba Singida na wakapewa mchezaji.
Mbumbumbu fc wapunguze Shobo.