Anaandika Tundu Lissu kuhusu kurudi kwa wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

Anaandika Tundu Lissu kuhusu kurudi kwa wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
3,891
Reaction score
8,448
Anaandika Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti Chadema kuhusu Covid 19

Kama wanaruhusiwa kurudi itakuwa ni kwa sababu hawakuwa na makosa yoyote, ila sisi ndio tuliowakosea. Kama tukiwaruhusu kurudi maana yake ni kwamba sisi viongozi wa chama wote tulikuwa waongo, ila wao ndio walikuwa wa kweli.

Kumbukeni tuliyoyasema hadharani na kwenye vikao vya chama; na waliyoyasema wao hadharani na mahakamani kwa kiapo:

1. Sisi tulisema Kamati Kuu haikuwateua wao, na wala haikuteua Mgombea yeyote wa viti maalum na Katibu Mkuu wetu hakuwahi kujaza fomu za uteuzi zilizokabidhiwa kwake na Tume ya Uchaguzi kama inavyotakiwa na Sheria za Uchaguzi.

2. Wao walidai mahakamani kwa kiapo kwamba walienda kuapa ubunge kwa baraka za chama na walimtaja Katibu Mkuu kuwa alijaza fomu zao za uteuzi.

3. Tulisema hadharani kwamba walikiuka maagizo ya Kamati Kuu kutoutambua uchafuzi mkuu na matokeo yake, huku wengi wao wakiwa wajumbe wa Kamati Kuu na viongozi waandamizi wa chama. Wao walidai hawakufanya kosa lolote kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za chama.

4. Dhana ya wao kuomba msamaha ina matatizo makubwa kimantiki. Baada ya kuwafukuza uanachama walikimbilia mahakamani kwa madai kwamba tumewakosea. Na wameendelea kudai hivyo hata baada ya Mahakama Kuu kuamua kwamba Kamati Kuu haikukosea kuwafukuza, na wamekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu.

5. Wakati wa maridhiano, mojawapo ya madai yetu ilikuwa ni kuondolewa kwao Bungeni na wakati fulani tuliambiwa kwamba Samia amekubali kuwaondoa. Hilo halikutokea. Na halikutokea kwa sababu Samia na CCM haijawahi kukubali kuondolewa kwao Bungeni.

Soma Pia: Halima Mdee kushawishi Covid-19 kurudi CHADEMA, je Wasamehewe na Chama au Wananchi?

6. Kumekuwa na kampeni kubwa ya kichini chini, ndani na nje ya chama, ya kuwarudisha wasaliti hawa kwenye chama. Mimi siamini kwamba kampeni hii ina maslahi yoyote ya chama. Ninaamini kwamba wanataka au wanatakiwa warudi ili waweze au wawezeshwe kugombea Ubunge mwaka ujao. Mark my words.

7. Kama tunataka warudi, haiwezi ikawa ni kwa sababu sio wasaliti na hawakukosea. Itakuwa ni kwa sababu hatuna tena nguvu au ujasiri wa kupambana na watu wa aina hii.
 
Anaandika Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti Chadema kuhusu Covid 19

Kama wanaruhusiwa kurudi itakuwa ni kwa sababu hawakuwa na makosa yoyote, ila sisi ndio tuliowakosea. Kama tukiwaruhusu kurudi maana yake ni kwamba sisi viongozi wa chama wote tulikuwa waongo, ila wao ndio walikuwa wa kweli.

Kumbukeni tuliyoyasema hadharani na kwenye vikao vya chama; na waliyoyasema wao hadharani na mahakamani kwa kiapo:

1. Sisi tulisema Kamati Kuu haikuwateua wao, na wala haikuteua mgombea yeyote wa viti maalum na Katibu Mkuu wetu hakuwahi kujaza fomu za uteuzi zilizokabidhiwa kwake na Tume ya Uchaguzi kama inavyotakiwa na Sheria za Uchaguzi.

2. Wao walidai mahakamani kwa kiapo kwamba walienda kuapa ubunge kwa baraka za chama na walimtaja Katibu Mkuu kuwa alijaza fomu zao za uteuzi.

3. Tulisema hadharani kwamba walikiuka maagizo ya Kamati Kuu kutoutambua uchafuzi mkuu na matokeo yake, huku wengi wao wakiwa wajumbe wa Kamati Kuu na viongozi waandamizi wa chama. Wao walidai hawakufanya kosa lolote kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za chama.

4. Dhana ya wao kuomba msamaha ina matatizo makubwa kimantiki. Baada ya kuwafukuza uanachama walikimbilia mahakamani kwa madai kwamba tumewakosea. Na wameendelea kudai hivyo hata baada ya Mahakama Kuu kuamua kwamba Kamati Kuu haikukosea kuwafukuza, na wamekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu.

5. Wakati wa maridhiano, mojawapo ya madai yetu ilikuwa ni kuondolewa kwao bungeni na wakati fulani tuliambiwa kwamba Samia amekubali kuwaondoa. Hilo halikutokea. Na halikutokea kwa sababu Samia na CCM haijawahi kukubali kuondolewa kwao bungeni.

6. Kumekuwa na kampeni kubwa ya kichini chini, ndani na nje ya chama, ya kuwarudisha wasaliti hawa kwenye chama. Mimi siamini kwamba kampeni hii ina maslahi yoyote ya chama. Ninaamini kwamba wanataka au wanatakiwa warudi ili waweze au wawezeshwe kugombea ubunge mwaka ujao. Mark my words.

7. Kama tunataka warudi, haiwezi ikawa ni kwa sababu sio wasaliti na hawakukosea. Itakuwa ni kwa sababu hatuna tena nguvu au ujasiri wa kupambana na watu wa aina hii.
KAMA KWELI HAYA KAANDIKA TUNDU LISSU NAMPA 100%. Hadithi kutoka kwa Mtume Muhammad (S.A.W): "Semeni ukweli, ingawa utasababisha maumivu." (Sahih Bukhari)
 
Chadema mnajichanganya tu! Kama Lowasa mlimsema maneno mengi ya hovyo na alipokuja kwenu mkamkaribisha kifalme mjue lolote linaweza kutokea. Siasa sio sayansi, siasani lolote linawezekana
 
Mie nataka waombe radhi na chama kiwasamehe harakati ziendelee.
 
Anaandika Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti Chadema kuhusu Covid 19

Kama wanaruhusiwa kurudi itakuwa ni kwa sababu hawakuwa na makosa yoyote, ila sisi ndio tuliowakosea. Kama tukiwaruhusu kurudi maana yake ni kwamba sisi viongozi wa chama wote tulikuwa waongo, ila wao ndio walikuwa wa kweli.

Kumbukeni tuliyoyasema hadharani na kwenye vikao vya chama; na waliyoyasema wao hadharani na mahakamani kwa kiapo:

1. Sisi tulisema Kamati Kuu haikuwateua wao, na wala haikuteua mgombea yeyote wa viti maalum na Katibu Mkuu wetu hakuwahi kujaza fomu za uteuzi zilizokabidhiwa kwake na Tume ya Uchaguzi kama inavyotakiwa na Sheria za Uchaguzi.

2. Wao walidai mahakamani kwa kiapo kwamba walienda kuapa ubunge kwa baraka za chama na walimtaja Katibu Mkuu kuwa alijaza fomu zao za uteuzi.

3. Tulisema hadharani kwamba walikiuka maagizo ya Kamati Kuu kutoutambua uchafuzi mkuu na matokeo yake, huku wengi wao wakiwa wajumbe wa Kamati Kuu na viongozi waandamizi wa chama. Wao walidai hawakufanya kosa lolote kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za chama.

4. Dhana ya wao kuomba msamaha ina matatizo makubwa kimantiki. Baada ya kuwafukuza uanachama walikimbilia mahakamani kwa madai kwamba tumewakosea. Na wameendelea kudai hivyo hata baada ya Mahakama Kuu kuamua kwamba Kamati Kuu haikukosea kuwafukuza, na wamekata rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu.

5. Wakati wa maridhiano, mojawapo ya madai yetu ilikuwa ni kuondolewa kwao bungeni na wakati fulani tuliambiwa kwamba Samia amekubali kuwaondoa. Hilo halikutokea. Na halikutokea kwa sababu Samia na CCM haijawahi kukubali kuondolewa kwao bungeni.

6. Kumekuwa na kampeni kubwa ya kichini chini, ndani na nje ya chama, ya kuwarudisha wasaliti hawa kwenye chama. Mimi siamini kwamba kampeni hii ina maslahi yoyote ya chama. Ninaamini kwamba wanataka au wanatakiwa warudi ili waweze au wawezeshwe kugombea ubunge mwaka ujao. Mark my words.

7. Kama tunataka warudi, haiwezi ikawa ni kwa sababu sio wasaliti na hawakukosea. Itakuwa ni kwa sababu hatuna tena nguvu au ujasiri wa kupambana na watu wa aina hii.
Mjadala umefungwa
 
Tuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.

Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?

Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
Unaachaje kushangilia baraka zilizofika kuliokoa taifa? Kuna watu walishangilia zaidi ya CCM? Hata Bashite hivi sasa anashangilia chinichini, maana JPM alimpiga chini lakini Samia kamrudisha
 
Wanaruhusiwa kurudi endapo wakiomba radhi na kukubali makosa yao....wafuate pia p[rocess za kujiunga na chama maana kwasasa sio wanachama wa CDM.

Lowasa aliomba radhi na kukubali makosa yake alipohamia Chadema wakati yupo kwenye list of shame ya Chadema?
 
Lisu Hana ubavu wa kuwazuia wasirudi Chadema hao wabunge 19 ambao bungeni wanawakilisha Chadema
 
Kweli chadema ni shimo la CHOO.

Kutetea MAFISADI wao..

Kukaribisha MAJIZI wao...

Kushangilia MABEBERU wao....

Kupinga MAENDELEO wao...

Kukumbatia WASALITI wao...

Kutafuna RUZUKU visivyo halali WAO...

NAAGIZA Hiki chama kifutwe mara moja, MBOWE anawalaghai watanganyika.

Umeandika kwa kutumia akili kubwa sana ,nyumbu hawatakuelewa
 
Baada ya Dr Slaa Kwa misimamo, Tundu Lissu anafuatia.

Ama akaanza Tundu Lissu akafata Dr Slaa.

Bahati mbaya tunaishi kwenye Ulimwengu ambao watu aina ya Tundu Lissu hawatakiwi.

Mara zote husimamia anachokiamini, na atasema kweli Daima.

Kama ni nyeusi atasema nyeusi sio nyekundu 🙌
 
Back
Top Bottom