Anaandika Tundu Lissu kuhusu kurudi kwa wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

Lisu ndani ya Chadema Hana nguvu kabisa Hana uwezo wenyewe wakuamua warudi
Atabaki tu anapiga miayo tu na watarudi tuTundu Lisu atake au asitake
 
Lissu aache ujinga. Kama anaona Mbowe anakosea ahame chama. Hicho chama ni mali ya mtu binafsi (Mbowe) kwahiyo Lissu aache kuweka pua yake kwenye mali za watu.
 
Tuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.

Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?

Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
Akili gani hizi, kama walifanya makosa kwa Lowasa kwa hiyo waendelee?
 
Tuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.

Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?

Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
Jiwe yule alikuwa jambazi na gaidi mkubwa sana! Yuko wapi Ben Saa8 na wengine?
 
kwa hiyo anapingana na mwenyekiti wake, mwinyimkuu a.k.a mangi.
 
Mbona Lowasa alikuja chadema na direct akagombea urais bila kujali aliyoyasema Lisu hadharani kuhusu Lowasa?
Lowasa aliisaliti CHADEMA? LAowasa aliipeleka CHADEMA Mahakamani? Lowasa unamfananisha na COVID 19?
 
Tuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.

Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?

Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
Hata maccm yalikuwa hamtaki

Nina watu nawajua ni maccm yalisherekea kifo Cha magufuli

Punguza chuki kwa cdm

Ináwezekana cdm Wana .mgogoro Wa ndani lakini mgogoro hao hatuwezi kuhalalisha matendo maovu ya magufuri

Magifufuri alikuwa shetani hakufaa kuitwa mtanzania
 
Kama wataomba msamaha kwa mahandishi na kwa mdomo mbele ya wanachama basi wasamenewe

Lakini wapewe mashariki hawatagombeacheo chochote kwa kipindi Cha miaka 5
Hapo tutawajua ni kina nani walitaka kuiitumia cdm kugombea ubunge

Kusamehe kkunaweza ukakwa kwa aina 2

1. Kutoshitakiwa na chama kwa kutenda jinai
2. Kutokutii maelekezo ya chama

Naunga mkono Kusamehe kwa kuwa tumefindishwa kusamehe kwenye dini zetu
 
Kumleta Lowasa CHADEMA kumewaondolea CHADEMA moral authority ya kusimamia mengi sana.

Japo Lissu ana hoja, Lakini Kama alimpokea na kumnadi Lowasa, mtu ambaye Lissu alimuweka kwenye list of shame kwa makosa mengi (Siyo Richmond tu) anapata wapi moral authority ya kukikemea chama kikiwarudisha akina Mdee?

Ukivunja principle jiandae nayo kukulia denge ikuvunje one day!
 
Mbona Lowasa alikuja chadema na direct akagombea urais bila kujali aliyoyasema Lisu hadharani kuhusu Lowasa?
Hata wewe ulishafanya makosa kwenye familia yako ukasamehewa na hatutakiwi kurudia kosa. Kwahiyo kosa la kumpokea Lowasa pamoja na kuipandisha chati Chadema halitakiwi kurudiwa. Ila kitendo cha akina Halima kwenda tu mahakamani na kukata rufaa kimeshavunja nguvu ya msamaha. Swala lingeishia chamani msamaha ungekuwa na nguvu. Na je ni kweli Mnyika akikubali kuwa alisaini waende bungeni kuapishwa? Basi ndiye aondoke chamani na watu wake Kwa kuwa atakuwa ametenda kosa. Na kama hakuna ushahidi wa wao kiruhusiwa kwenda bungeni washtakiwe na warudishe pesa ya walipakodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…