Anaandika Tundu Lissu kuhusu kurudi kwa wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA

Tuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.

Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?

Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
Hata walioko CCM wapo walioshangilia na wanakura mema ya nchi. Nanukuu maneno yafuatayo halafu utajua yalitamkwa na wanaccm au wa Chadema 1. Mungu ameamua kesi 2.Sasa hivi si TUNALAMBA asali? nk.nk.nk.........
 

Lowasa aliomba msamaha kwa maandishi?
 
Tuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.

Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?

Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
Jitu liko motoni litampa nani laana na wewe tuondolee uduwanzi wako kama unampenda mfuate huko Jehannam .
 
Na CCM ni mavi kabisaaaa
 
Nadhani Mh. Lisu kama vile ana ugonjwa wa akili. Kwanini logic ile ile ya kukaribisha fisadi Lowasa (waliyemnadi hivyo mpaka kusema unachoma mwizi wa kuku unaacha kibaka), yaani afumbe mimacho yake aruhusu tu warudi
 
Yule mwehu alikuwa Mhutu
 
Tuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.

Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?

Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
Walioshangilia kifo cha Magufuli ni CCM wenzake. Walikuwa hawamtaki. Hata makamu wake alikuwa hamtaki na amegeuza vitu vyote ambavyo Magufuli alikuwa anaamini na kusimamia. Acha kuleta upumbavu wako hapa.
 
 
Anaandika Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti Chadema kuhusu Covid 19
Umesahau tu kutaja haya Tundu Lissu kayaandika wapi; lakini yaliyo andikwa kama ni kweli kayaandika yeye ni sahihi kabisa.
 
Kaandika wapi ?
 
Lisu ndani ya Chadema Hana nguvu kabisa Hana uwezo wenyewe wakuamua warudi
Atabaki tu anapiga miayo tu na watarudi tuTundu Lisu atake au asitake
Uzuri wa Tundu Lissu anabaki kuwa Mwanasiasa bora kabisa asiye na makona makona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…