Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Acha mawazo mgando huyo magufuri amekuwa alikuwa ni Baba wa kila mtu mpaka aweze kutoa laana Kwa kila mtuTuliwaonya kuwa laana ya kushangilia kifo cha Magufuli ni kubwa.
Baada ya miaka 3 mnayo hiyo amani mliyosema mtapata? Hamtekwi tena? Hamshindwi tena kwenye chaguzi? Watu hawakimbii chama chenu tena?
Na laana iwatafune milele nyumbu nyie
Acha mawazo mgando huyo magufuri amekuwa alikuwa ni Baba wa kila mtu mpaka aweze kutoa laana Kwa kila mtu
Ushauri wangu kuhusu suala hili:
1. Ziwekwe hadharani barua za maombi ya msamaha zikiwa na sababu zilizowafanya kufanya walioyafanya pamoja na kukubali masharti yeyote watakayowekewa.
2. Kwa sababu kuomba msamaha ni kukiri kuwa walifanya makosa basi itabidi iongozane na barua ya kujiuzuri kutoka Bungeni.
3. Wapewe nafasi ya kujieleza mbele ya vikao vyote vitakavyoshughulikia maombi yao.
4. Kama watakubaliwa ombi lao wazuiwe nafasi yeyote ya uongozi ndani na nje ya chama kwa miaka mitatu. Uanachama wao uwe provisional ambao utathibitishwa baada ya miaka mitatu.
Amandla.
Jesca Kishoa yule hafai kurudi CDM. Yule alishakuwa sisiem kabisa bado kupewa kadi tu.
Pumba tupu, mafisadi na majizi yapo ccm huku yakilindwa na dolaKweli chadema ni shimo la CHOO.
Kutetea MAFISADI wao..
Kukaribisha MAJIZI wao...
Kushangilia MABEBERU wao....
Kupinga MAENDELEO wao...
Kukumbatia WASALITI wao...
Kutafuna RUZUKU visivyo halali WAO...
NAAGIZA Hiki chama kifutwe mara moja, MBOWE anawalaghai watanganyika.