Anachofanya huyu mchumba wa rafiki yangu ni sahihi?

Anachofanya huyu mchumba wa rafiki yangu ni sahihi?

Huyo rafiki yako anajitengenezea bomu la siku za mbeleni. Kama anaweza.kufanya haya wakati wa uchumba jua kuwa ataendelea kuyafanya hata kwenye ndoa. Na akiacha hapo ndo ugomvi utaanzia. Bora amzoezi sasa hivi huyo binti maana sidhani kama ataweza kuendeleza hizo kazi.
Mabinti wenyewe ndio hawa wenye kucha ndefu halafu umwambie akufulie au apige deki?
Usikute demu mwenyewe bado yupo mguu nje mguu ndani, hapo anawaza mume mtarijiwa ndio huyo mwalimu wa sm hana hata nyumba, amepanga chumba na sebule tu. wakati yeye alishajijengea picha kichwani kwake akimaliza chuo ataitwa msomi kitaani halafu ataolewa na manager ambae tayari anamiliki nyumba na gari.
 
Mwambie jamaa kuwa leo amwambie huyo mpenzi Wake kuwa anataka aonje chakula chake hivyo ampikie!!kesho yake amwambie amechoka sana na kazi amsaidie kuosha vyombo na kupika!!
 
Back
Top Bottom