Anachofanya huyu mchumba wa rafiki yangu ni sahihi?

Mabinti wenyewe ndio hawa wenye kucha ndefu halafu umwambie akufulie au apige deki?
Usikute demu mwenyewe bado yupo mguu nje mguu ndani, hapo anawaza mume mtarijiwa ndio huyo mwalimu wa sm hana hata nyumba, amepanga chumba na sebule tu. wakati yeye alishajijengea picha kichwani kwake akimaliza chuo ataitwa msomi kitaani halafu ataolewa na manager ambae tayari anamiliki nyumba na gari.
 
Mwambie jamaa kuwa leo amwambie huyo mpenzi Wake kuwa anataka aonje chakula chake hivyo ampikie!!kesho yake amwambie amechoka sana na kazi amsaidie kuosha vyombo na kupika!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…