Ndo maana wengine tunaona hizi ni bongo movies tu
manake mtu kama unajua ABC hadi Z ya ku fix tatizo huhitaji media...
watu watajikuta tu bandari inafanya kazi vizuri....
kuna nchi unakuta airport inafanya kazi vizuri,bandari pia,barabara zinsafishwa
na hujawahi kuona hata siku moja kuna waziri 'kaja kutingisha'....
Huyu The Boss atakuwa kila kitu anakipata through a phone call.. Huyu atakuwa si mwenzetu..
Huyu kama ana vitu vyake anataka vishughulikiwe atakuwa anatuma sub-ordinates tu na vinashughulikiwa..
Hajawahi yeye mwenyewe kwenda kufatilia huduma mbalimbali kwenye haya maofisi ya serikali, no discipline kabisa na ubabaishaji mwingi. Hii ndio njia mojawapo ya kurudisha discipline mahala pa kazi.. Hakuna cha Blue print wala cha nini, ni discipline tu.. Na kama ni marekebisho ambayo yeye The Boss anayataka ni madogo madogo sana.. Tatizo kubwa ni discipline na rushwa tu..
Mkuu The Boss kama hotel yako inapika chakula kibovu huitaji kubadili the whole Blue Print, reception, customer care and delivery inaweza kuwa ni safi ila tatizo ni chakula kibovu. Hapo ni kuondoa Chefs leta wapya wenye ujuzi wa kupika chakula safi..
Mkuu sisi ni watanzania, tupunguze kidgo kuiga wananchi wetu sio sawa na waingereza, wachina au wamarekani, Hivi kumuona Meneja anamdanganya Waziri mkuu pale mbele ya watu na media kibao, vip wangekaa kikao ofisini wapo wa5 tu??
Muda mwngine tuache kuiga kila kitu.
Muda utatupatia jibu.
In the meantime I choose to observe.
Wanabodi,
Kwanza naomba kukiri, kuwa ninaunga mkono kwa asilimia 100% juhudi za serikali awamu ya 5 kupambana na rushwa, ufisadi, uzembe na ukwepaji kodi, ili mtindo unaotumiwa na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, sio!.
Baada ya kukisikia kisanga cha TRA kilichomngoa Kamishna Mkuu na maofisa kadhaa kufuatia sakata la makontena, leo amerudi tena bandarini, na nimekishuhudia kitu anachokifanya, japo anashangiliwa na umati wa watu, lakini anachokifanya ni kuviziana, kutishana, kudhalilishana na kunakwenda kinyume cha utawala bora, yaani good governance!.
Waziri Mkuu anafanya ziara za kushtukiza mahali, huki akiwa na karatasi lenye tuhuma specific, lakini amelificha!, anakwenda kumuuliza mhusika wa pale kuhusu utendaji wa mfumo fulani, anaelezwa kuwa mfumo uko perfect, kisha analiibua hilo kaatasi lenye tuhuma na kuanza kumsomea mhusika mbele ya kadamnasi ya watu, abcd!, mhusika anashindwa kujibu, atasimamishwa kazi, na kama yuko juu ya mamlaka yake, atamchongea kwa rais!.
Hata TRA siku hiyo alikwenda na nondo za makomtena, alipomuuliza Bade, akamjibu details ziko kwa maofisa wangu, ndipo akaibua nondo lake na kumsomea kwenye kadamnasi ili aonekane mjinga!, huku ni kuaibishana, kudhalilishana na kinyume cha good governance!.
Baada ya kutoka bandaini, akaenda TRL na kumuuliza mkurugenzi mkuu, mlikopa bilioni 3 TIB za kufanyia nini?!, kwa nini hamkufanya kile mlichokopea?, akaambiwa tumelipia mishahara, nani aliwapa idhini ya kukopa?!, Mkuugenzi hana jibu na naamini kesho atatangazwa hana kazi!.
Top management angekaa nao ofisini na kuulizana kistaarabu ndio good governance!. Mimi hata home, wife alikuwa na tabia ya kuwafokea ma tx home, mbele ya watoto, nikamkataza!, nikamsisitiza if things are not right, muite pembeni ndipo umseme, sio kumdhalilisha mbele ya watoto!.
Anachofanya Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa ni kuviziana, kudhalilishana na kuabishana bila sababu za msingi!, hili la kuitana na kuanza kuhojiana mbele ya waandishi ili watu wamuone alivyo mkali, ni tabia za ma populist leaders!, Leo nimemuona Magufuli akiongea na wafanyabiashara yuko very humble even cracking some jokes!.
Kama kuna watu wako karibu na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, wamwambie anavyofanya sio vizuri, Sio Sawa, Sio Haki, Sio Good Governance!, Ni Udhalilishaji na Kuaibishana tuu!. Akumbushwe kuna kitu kinatwa 'karma' kisije kumshukia!.
Au wewe unaonaje?!, toa maoni yako ni sawa au sio sawa!.
Pasco
Mbona kuna watanzania wanafanya kazi nje vizuri tu?
mbona sekta binafsi ambazo zinafanya vizuri Tanzania zina watanzania wengi tu?
inakuaje mtanzania huyo huyo akiwa nje au akiwa sekta binafsi aweze
lakini akiwa serikalini ashindwe?
Wanabodi,
Kwanza naomba kukiri, kuwa ninaunga mkono kwa asilimia 100% juhudi za serikali awamu ya 5 kupambana na rushwa, ufisadi, uzembe na ukwepaji kodi, ili mtindo unaotumiwa na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, sio!.
Baada ya kukisikia kisanga cha TRA kilichomngoa Kamishna Mkuu na maofisa kadhaa kufuatia sakata la makontena, leo amerudi tena bandarini, na nimekishuhudia kitu anachokifanya, japo anashangiliwa na umati wa watu, lakini anachokifanya ni kuviziana, kutishana, kudhalilishana na kunakwenda kinyume cha utawala bora, yaani good governance!.
Waziri Mkuu anafanya ziara za kushtukiza mahali, huki akiwa na karatasi lenye tuhuma specific, lakini amelificha!, anakwenda kumuuliza mhusika wa pale kuhusu utendaji wa mfumo fulani, anaelezwa kuwa mfumo uko perfect, kisha analiibua hilo kaatasi lenye tuhuma na kuanza kumsomea mhusika mbele ya kadamnasi ya watu, abcd!, mhusika anashindwa kujibu, atasimamishwa kazi, na kama yuko juu ya mamlaka yake, atamchongea kwa rais!.
Hata TRA siku hiyo alikwenda na nondo za makomtena, alipomuuliza Bade, akamjibu details ziko kwa maofisa wangu, ndipo akaibua nondo lake na kumsomea kwenye kadamnasi ili aonekane mjinga!, huku ni kuaibishana, kudhalilishana na kinyume cha good governance!.
Baada ya kutoka bandaini, akaenda TRL na kumuuliza mkurugenzi mkuu, mlikopa bilioni 3 TIB za kufanyia nini?!, kwa nini hamkufanya kile mlichokopea?, akaambiwa tumelipia mishahara, nani aliwapa idhini ya kukopa?!, Mkuugenzi hana jibu na naamini kesho atatangazwa hana kazi!.
Top management angekaa nao ofisini na kuulizana kistaarabu ndio good governance!. Mimi hata home, wife alikuwa na tabia ya kuwafokea ma tx home, mbele ya watoto, nikamkataza!, nikamsisitiza if things are not right, muite pembeni ndipo umseme, sio kumdhalilisha mbele ya watoto!.
Anachofanya Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa ni kuviziana, kudhalilishana na kuabishana bila sababu za msingi!, hili la kuitana na kuanza kuhojiana mbele ya waandishi ili watu wamuone alivyo mkali, ni tabia za ma populist leaders!, Leo nimemuona Magufuli akiongea na wafanyabiashara yuko very humble even cracking some jokes!.
Kama kuna watu wako karibu na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, wamwambie anavyofanya sio vizuri, Sio Sawa, Sio Haki, Sio Good Governance!, Ni Udhalilishaji na Kuaibishana tuu!. Akumbushwe kuna kitu kinatwa 'karma' kisije kumshukia!.
Au wewe unaonaje?!, toa maoni yako ni sawa au sio sawa!.
Pasco
Mbona kuna watanzania wanafanya kazi nje vizuri tu?
mbona sekta binafsi ambazo zinafanya vizuri Tanzania zina watanzania wengi tu?
inakuaje mtanzania huyo huyo akiwa nje au akiwa sekta binafsi aweze
lakini akiwa serikalini ashindwe?
Pasco,
Mimi naunga mkono hoja asilimia mia moja. Ni kweli anachofanya kimantiki siyo sawa ILA, KWA SEHEMU TULIPOFIKIA, TUNAHITAJI WAFANYE HIVYO ILI WATU WAACHE KUFANY KAZI KWA MAZOEA. Nchi hii maadamu tumeshindwa kufanya mapinduzi ya kumwaga damu hata siku moja, basi tulitakiwa kuwa na dikteta hasa kama Idd amin ili system inyooke kwanza.
MIMI NAWAPONGEZA MAGUFULI NA MAJALIWA KWA JUHUDI HIZI ILA SIUNGI MKONO KAZI INAYOANZA KUFANYWA NA WATU WANAOJIPENDEKEZA KAMA MAKONDA NA KULE KILIMANJARO
Mbona kuna watanzania wanafanya kazi nje vizuri tu?
mbona sekta binafsi ambazo zinafanya vizuri Tanzania zina watanzania wengi tu?
inakuaje mtanzania huyo huyo akiwa nje au akiwa sekta binafsi aweze
lakini akiwa serikalini ashindwe?
Wewe ni mchemkaji sana.
Kwanza ulikuja na habari za kwamba mimi naitwa Richard Mugizi [kwa sababu tu eti niliwahi kuitumia hiyo ID na baadaye ikaja kuunganishwa na ya Nyani Ngabu]. Hola.
Ukazusha kwamba nawadanganya watu humu kuwa nina apartments Msasani na Masaki. Nikakwambia nionyeshe nilipowahi kusema hivyo, ukashindwa.
Leo tena umeuendeleza huo uzushi na umeshindwa kunionyesha nilipowahi kudanganya, achilia mbali nani nilimdanganya.
Nimekwambia weka hapa nilipowahi kudanganya hivyo, umeshindwa na umetoa kisingizio huna muda. Mwongo wewe. Ukweli ni kwamba huwezi kunionyesha.
Haya, leo hii umekuja na mpya. Sijui umeenda kuokoteza wapi tu hiyo namba ya simu na kuiweka hapa. Napo hola.
Inavyoelekea unajitahidi sana kutaka kunijua na kama kweli ungekuwa unanijua ungekuwa ushaweka kila ukijuacho.
Kwa kifupi, hakuna anayenijua humu.
Ndo maana nasema sasa hivi tuko kwenye mparaganyiko mkubwa sana.
Tunaenda day by day tu.
Kesho sitashangaa kusikia Samia Suluhu kavamia Tanesco na kuamrisha kamata kamata ya viongozi wake.
Mbona kuna watanzania wanafanya kazi nje vizuri tu?
mbona sekta binafsi ambazo zinafanya vizuri Tanzania zina watanzania wengi tu?
inakuaje mtanzania huyo huyo akiwa nje au akiwa sekta binafsi aweze
lakini akiwa serikalini ashindwe?
Wanaompinga Magufuli wetu wote hawaishi TanZania, wanaishi Ulaya na Marekani hivyo wanataka Magufuli wetu atatue kero kama vile Obama anavyotatua kero za Marekani, wanashinda CNN kuangalia wazungu wanavyoishi na kutaka kuleta hapa Bongo wkt wanasahau kwamba WatanZania na wazungu ni watu wawili tofauti, na ndiyo maana ukiwauliza wazazi wa KitanZania kama watoto wao wapigwe viboko shuleni au la wengi wao watasema wapigwe viboko tena vingi na vya kutosha lkn ukiwauliza wazazi wa Kizungu mtagomabana na watakushitaki!
Sekta binafsi ukiharibu "u are fired"....wakati serikalini mtumishi ukiharibu "unavumiliwa au unahamishwa"....see the difference.