Ufatilii mambo kazi yako ni kudandia treni kwa mbele tu.
Mara ya kwanza alivyoenda bandarini alikuwa hana tatizo na bandari....bali alikuwa na ishu na TRA na data zilikuwa za mwezi june hadi novemba.
Leo ameenda kutoa data za mwezi june hadi octoba za mwaka 2014 na zinahusu bandari. Ishu ni kwamba data zinaonyesha makontena yamefika bandarini...ila bandari haina rekodi ya kupokea makontena hayo.
Hivyo unaweza kuona hizo ni cases mbili tofauti na kwa taasisi mbili tofauti.
mkuu wanaelewa ila wamejitoa fahamu wazi kabisa.