The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Mkuu ile ni ripoti ya mkaguz mkuu wa serikal ambayo alipewa jk ila hakuifanyia kaz ndo maana serikal hii imeamua kufanyia kaz ripot zote za CAG.
Narudia uchaguzi umeisha,usiyempenda ndo kashinda.
Maguful kasema ye hajasaidiwa hata na mfanyabiashara mmoja kwahyo hana pakulipa fadhira.kuwen wazalendo na mgombea wenu
Ripoti ya CAG inafanyiwa kazi kwa kuvamia ghafla bandarini?