Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana!

Ipo siku utajua kuwa Kassim Majaliwa si muislam kama unavyodhani.

Uongozi wa Magufuli uko kiuanaharakatiharakati tu
Leo mpiga debe wa Chadema anaanza kumfagilia Magufuli njia na kumsifu.
Teh teh teh.
Njaa kitu kibaya sana.
Wanamme wasio na msimamo km wewe kuolewa Ni fasta sana.

Halafu we km hujafa mpk sasa basi Ebola na ukimwi ni Uongo mtupu.

Sasa Kina Ben saanane imekula kwao. We nani ataendelea kukulipia kodi ya hicho chumba?
Au umehamia Lumbumba Tayari?
Km nakuona hapo na chupi ya kijani kibichi na mabaka ya njano. Suruali mdebwedo. Makalio hiii haaa!

Teh teh teh.

Cc @Ritz @faby
 
Hili lilitokea kwa Mhe. Majaliwa, jana nimeliona tena likitokea Kwa Magufuli, watu wametumbuliwa very unfairly!.

P
yaani kufanya kazi na serikali hii ni kama upo jobless tu............ muda wowote unatupwa huko hivi wanalipwa kweli stahiki zao ? sheria za kazi zinzsemaje kuhusu mambo haya ya sasa
 
Hili lilitokea kwa Mhe. Majaliwa, jana nimeliona tena likitokea Kwa Magufuli, watu wametumbuliwa very unfairly!.

P
Mwalimu aliwahi kuikemea hii tabia ya mtu kufika kazini asubuhi moja halafu anamkuta nyapara anayemwambia tena kwa ukali kuwa "kuanzia leo huna kazi, hivyo rudi nyumbani", bila kujali kuwa mtu huyo ana mke na watoto wanaomtegemea. Sasa Nyapara wetu anayafanya mbele ya wananchi bila kujali miiko ya utawala bora, halafu wanasema ni mfano wa Nyerere, kweli!!!
 
Hili lilitokea kwa Mhe. Majaliwa, jana nimeliona tena likitokea Kwa Magufuli, watu wametumbuliwa very unfairly!.

P
hivi si alisema hapo hadharani kuwa amewasemehe? Au alitudanganya kuwa amewasamehe?
Mimi niko kwenye kuwasamehe, ni nini kiliendelea baada ya kusema amewasamehe halafu baadae tukaskia wametumbuliwa!
Ni kama amewazuga flani hivi kabla ya kwenda kupewa udhaifu wao.!?
Ok, sory kama sijaeleweka kiaina!
 
Uleandika huu uzi ulikuja kichwa kichwa ,,maana ya kuwa kiongozi mahala na kuwaongoza watu ni kutambua yaliyomo katika eneo lako kwa usahihi ,,,,kama wew ni kiongozi shudu na muongo kwanin usiabishwe ule wakati wa fair ndio umepeleka inchi pabaya acha watu wapambane na hali zao wasifuraie tu kuitwa mkuu katika kitengo ila watendee haki vitengo
 
Pascal kubali yaishe utawala huu ni wamambumbu na washamba. Halafu wewe mwananzengo ujue majuto ni mjuu
 
Sasa wewe ndugu yangu Pascal unataka kiongozi kama anaenda against aitwe kisiri asomewe matatizo yake ,,sasa hapo tutakuwa tunajenga nchi au tunambomoa unajua mtu mnapokutana wawili unaweza ukamsamehe maovu yake
 
Sasa wewe ndugu yangu Pascal unataka kiongozi kama anaenda against aitwe kisiri asomewe matatizo yake ,,sasa hapo tutakuwa tunajenga nchi au tunambomoa unajua mtu mnapokutana wawili unaweza ukamsamehe maovu yake
We hufai hata kwa kutafunwa[emoji90] [emoji196]
 
Sasa wewe ndugu yangu Pascal unataka kiongozi kama anaenda against aitwe kisiri asomewe matatizo yake ,,sasa hapo tutakuwa tunajenga nchi au tunambomoa unajua mtu mnapokutana wawili unaweza ukamsamehe maovu yake
No nataka tufuate principles za good government!, huwezi kuwa reprimand the leaders in front of their subordinates wake, huu ni udhalilishaji wa viongozi!.

Waliobaki wanakuwa demoralized, watatekeleza majukumu yao in fear ya public ridicule, hivyo kujenga nidhamu ya woga!.

Paskali
 
Hili lilitokea kwa Mhe. Majaliwa, jana nimeliona tena likitokea Kwa Magufuli, watu wametumbuliwa very unfairly!.

P
Yes hapo ndio amewasamehe, vinginevyo...
fuatilia hii Je inawezekana huu ndio mwisho wa utumbuaji wa papara na ...
Paskali

Pasikali,Mikingamo.....nidhamu na uwajibikaji kazini bila shuruti..............
Asikudanganye mtu..Viongozi wazalendo they all act the same everywhere. ..siasa za kuonehana haya ati suti na Tai nooooo
 
Pasikali,Mikingamo.....nidhamu na uwajibikaji kazini bila shuruti..............
Asikudanganye mtu..Viongozi wazalendo they all act the same everywhere. ..siasa za kuonehana haya ati suti na Tai nooooo
nimetoka kappa
P
 
kwa nini na wao wanashindwa kumuuliza maswali ya kushtukiza? kwa mfano wamuulize ni utaratibu gani uliotumika kumpata anaejenga uwanja wa ndenge wa Chato? au anampango gani na kurudisha nyumba za serikali?
 
Huyu mayala nayeye sijui haelewi kitu mbona hata Jana kunawatu wametimuliwa kazi kwa kushindwa kujibu huu ndio mfumo was utawala huu sijuwi unamlaumu vp km anza namkuu umlaumu kwanza sisi wenyewe tunafurahia watukufukuzwa tena tunasema kasi ya awamu hii nikali sana mafanikio nimakubwa bidhaa za mkulima kushuka nazamadukani kupanda hayatunaita maendeleo nikiangalia sana naona tumepiga hatua kwakufukuza watu lakini kubadiliaisha bado tukze buti lakini tusishangilie mtu kufukuzwa tushangilie tija yahuyo mtu kufukuzwa
 
Kwa maoni yangu, hiki kinachofanyika, is not right, its not good governance!.
P
 
“Heshima iliyokuzwa ni ya woga
heshima inayotakiwa iwe ya moyoni.
---
Kumbe zile sifa za ooo nchi imerudisha heshima kwenye sehemu za kazi ilikuwa ni nidhamu ya uoga tu.

Magufuli alikuwa anawatishia watu na wakawa wanaonyesha heshima ya uoga.
Mkuu Mmawia , asante kwa hoja hii ya nidhamu ya woga.

Kuna watu humu hili la nidhamu ya woga ndio wamelijua Leo baada ya kusemwa na Mama Samia.

If you have time, angalia tarehe ya bandiko hili na hoja yake muone sisi wengine tulilisema lini.


Kwa wavivu wa kufollow links, hapo niliuliza
Hatukuishia Kwa Number 1 tuu,
ila pia niliendesha somo humu namna ya kutofautisha kuongea Kwa ukali na kufoka foka

hata number 3, yule Kiranja Mkuu wa viranja pia tuliwahi kumshauri

Hata baadhi ya Mawaziri walipokosa utu, akina sisi tuliwasema...

Na hatukuishia viongozi wakuu na Mawaziri pekee, hata ma RC tuliwamulika

Huyu pia

Hivyo hili la nidhamu ya woga lilikuwepo sana kwa JPM, lakini twende nyuma na kurudi mbele,
Kwa hali hii, mfano Mama naye ni binadamu, anaweza kukosea, jee akikosea kibinaadamu, kuna kiongozi yoyote ndani ya serikali anaweza kum correct, au kuna any main stream media that would dare criticize or correct her, or the epitome of cowardice inaendelea?!.

Nasisitiza Mama naye she is a human being, anahitaji kusapotiwa, kusaidiwa, kushauriwa, na akikosea akosolewe kistaarabu kwa lugha ya heshima na staha huku akishauriwa the right thing to do, ushauri wangu wa kwanza, ni Tanzania tunaweza kabisa kusonga mbele na kufanya mazuri bila kunyoosheana vidole and calling names kama "Simba wa Yuda".
Nashauri tufanye tuu mambo tofauti bila kumtaja taja Kwa ubaya!
Aachwe Apumzike!.

Jumapili Njema

Paskali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…