Ufatilii mambo kazi yako ni kudandia treni kwa mbele tu.
Mara ya kwanza alivyoenda bandarini alikuwa hana tatizo na bandari....bali alikuwa na ishu na TRA na data zilikuwa za mwezi june hadi novemba.
Leo ameenda kutoa data za mwezi june hadi octoba za mwaka 2014 na zinahusu bandari. Ishu ni kwamba data zinaonyesha makontena yamefika bandarini...ila bandari haina rekodi ya kupokea makontena hayo.
Hivyo unaweza kuona hizo ni cases mbili tofauti na kwa taasisi mbili tofauti.
Gombea basi urais usaidie taifa kwa kutumia hiyo blue print yako. Wewe kalisha tu kalio lako hapo na uache wanaume walio thubutu waongoze nchi. Wewe ambae hata kugombea ujumbe wa nyumba 10 huwezi unakuja kutueleza nini kuhusu taifa!? Bora hata Rungwe alithubutu kugombea urais, anaweza akaongea kitu tukamuelewa. Sio wewe coward.
Ngabu iko very clear hawana 'blue print' ya nini wafanye
kubadili hii nchi iondokane na kero
so wanashiriki ku expose kero na kukaripia on tv
lakini 'what to do to change things permanently' ndio hawajui...
'the blue print' ya ku replace hii failed system hawana
Halafu, hao wote si walikuwa kwenye serikali iliyopita?
Manake wanachofanya sasa ni kama kuivua nguo hiyo serikali.
Ina maana walikuwa wanatumikia serikali iliyokuwa imefeli?
Halafu, hao wote si walikuwa kwenye serikali iliyopita?
Manake wanachofanya sasa ni kama kuivua nguo hiyo serikali.
Ina maana walikuwa wanatumikia serikali iliyokuwa imefeli?
Target ni JK now naona
naona wanataka ashindwe hata kuitisha vikao vya kamati kuu...
mambo yote sio mapya...nini kifanyike ndo hawaji nacho...ni ku expose na ku expose tu...