Nkomandomondo
Senior Member
- Jun 15, 2015
- 124
- 16
Tumechoka kuwachekea nyani! Tutaambulia mabua hadi lini?? HAPA KAZI TU!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subconsciously, you are caught up arleady! No wonder you spend a lot of energy being their critique.
Mkuu Pasco Nasubiri upropose njia ya kistaarabu ya kupambana na uharamia...
I didn't expect you to accept that, but whoever goes through your comments in JF will agree with me, PLUS blowing your own trumpet is also your thing!Negative!
I don't spend a lot of energy criticizing anybody.
And trust me, I am a very high energy guy.
Anavyofanya sawa sawa. Waache Headmaster (Magufuli) na Academic Master (Majaliwa) wetu wachape kazi.
Tena Bado Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Nendeni na huko. Majengo yote yale waliyojenga lazima Kuna Mafisadi wa majengo hatari.
Fanyeni kazi bila kumuangalia mtu usoni, iwe barabarani, ofisini au korokoroni.
Go Magufuli, Go Majaliwa. Tumbueni MAJIPU.
We are behind you, and we pray for you.
I didn't expect you to accept that, but whoever goes through your comments in JF will agree with me, PLUS blowing your own trumpet is also your thing!
Unataka good governance ila unashindwa tambua hao watu wenyewe wameshindwa kuonyesha kuwa wana uwezo wa kuwa well governed!!Ungekuwa umesomea maswala ya uongozi usingejibu hivi...wanaojua maswala ya good governance,management,leadership wataweza kukosoa kitu kwenye haya.uongozi si kudhalilishana na si busara kumhoji mtu na kumdhalilisha huku anamilikwa na macamera.hata barabara za mwendo kasi dar sasa hivi mvua zikinyesha zinajaa Maji na zina mapungufu mengi.Tukisema tuende na macamera kumhoji wazir husika kwanza atadhalilika sio kwa sababu yeye anahudika direct barabara kuwa vile bali yeye pengine watendaji walioko chini yake walipindisha mambo au katika utekelezaji wa mradi huo alikutana na vipingamizi kama vya kutoruhusiwa kubomoa tanesco (mfano tu).Nadhani kuna namna ya kushughulikia haya mambo na kila mtu akahukimiwa kwa matendo yake na si kwa hivi vinavyofanyika.what if yeye huyo unaemdhalilisha hausiki na sana sana alipata maagizo toka juu na ushahidi anao.tukubali kuwa hii nchi ilikuwa corrupt na ni corrupt mpaka sasa na hamna ambaye hayuko corrupt kwa nafasi aliyoko.
You are not making sense dude.
Enzi za Nyerere ilikuwa ukiitwa mlanguzi unabaguliwa. Unaonekana hufai ktk jamii. Kwa haya yanayofanyika CEO wengine watatia akili na kukaa sawa kwenye nafasi zao.
Then you MUST be somehow dumb!
Wanabodi,
Kwanza naomba kukiri, kuwa ninaunga mkono kwa asilimia 100% juhudi za serikali awamu ya 5 kupambana na rushwa, ufisadi, uzembe na ukwepaji kodi, ili mtindo unaotumiwa na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, sio!.
Baada ya kukisikia kisanga cha TRA kilichomngoa Kamishna Mkuu na maofisa kadhaa kufuatia sakata la makontena, leo amerudi tena bandarini, na nimekishuhudia kitu anachokifanya, japo anashangiliwa na umati wa watu, lakini anachokifanya ni kuviziana, kutishana, kudhalilishana na kunakwenda kinyume cha utawala bora, yaani good governance!.
Waziri Mkuu anafanya ziara za kushtukiza mahali, huki akiwa na karatasi lenye tuhuma specific, lakini amelificha!, anakwenda kumuuliza mhusika wa pale kuhusu utendaji wa mfumo fulani, anaelezwa kuwa mfumo uko perfect, kisha analiibua hilo kaatasi lenye tuhuma na kuanza kumsomea mhusika mbele ya kadamnasi ya watu, abcd!, mhusika anashindwa kujibu, atasimamishwa kazi, na kama yuko juu ya mamlaka yake, atamchongea kwa rais!.
Hata TRA siku hiyo alikwenda na nondo za makomtena, alipomuuliza Bade, akamjibu details ziko kwa maofisa wangu, ndipo akaibua nondo lake na kumsomea kwenye kadamnasi ili aonekane mjinga!, huku ni kuaibishana, kudhalilishana na kinyume cha good governance!.
Baada ya kutoka bandaini, akaenda TRL na kumuuliza mkurugenzi mkuu, mlikopa bilioni 3 TIB za kufanyia nini?!, kwa nini hamkufanya kile mlichokopea?, akaambiwa tumelipia mishahara, nani aliwapa idhini ya kukopa?!, Mkuugenzi hana jibu na naamini kesho atatangazwa hana kazi!.
Top management angekaa nao ofisini na kuulizana kistaarabu ndio good governance!. Mimi hata home, wife alikuwa na tabia ya kuwafokea ma tx home, mbele ya watoto, nikamkataza!, nikamsisitiza if things are not right, muite pembeni ndipo umseme, sio kumdhalilisha mbele ya watoto!.
Anachofanya Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa ni kuviziana, kudhalilishana na kuabishana bila sababu za msingi!, hili la kuitana na kuanza kuhojiana mbele ya waandishi ili watu wamuone alivyo mkali, ni tabia za ma populist leaders!, Leo nimemuona Magufuli akiongea na wafanyabiashara yuko very humble even cracking some jokes!.
Kama kuna watu wako karibu na Waziri Mkuu, wetu, Mhe. Majaliwa, Kasim Majaliwa, wamwambie anavyofanya sio vizuri, Sio Sawa, Sio Haki, Sio Good Governance!, Ni Udhalilishaji na Kuaibishana tuu!. Akumbushwe kuna kitu kinatwa 'karma' kisije kumshukia!.
Au wewe unaonaje?!, toa maoni yako ni sawa au sio sawa!.
Pasco
Unataka good governance ila unashindwa tambua hao watu wenyewe wameshindwa kuonyesha kuwa wana uwezo wa kuwa well governed!!
Watu wazima sisi, tuache kukariri jamani. Kufanya vitu kwa mazoea na hiyo 'good governance' ndo kumetufikisha hapa.
Nafikiri hata polisi hutumia strategy moja ya ku-control fujo ya watu wengi, kama umati ni mkubwa na wanaleta fujo, wanabamiza mmoja na risasi ya moto kama onyo kwa wengine! Ndo afanyacho waziri mkuu. Wengine wataona wenzao 'wanavyodhalilishwa' kwa kutokuwa waadilifu, watajifunza jinsi ya kuwa waadilifu kipitia hawa 'mbuzi wa kafara'!
Paschal Mayallah katika ubora wake