π€£π€£π€£π€£π€Kuna wajinga wanapigaga ngoma juu ya bati langu huku wwkimwaga michanga ila kila nikitaka kutoka najikuta napuuza sababu ya usingzi.
Inanishangaza sana sababu usiku huo nayapuuza najiachia kabisa ila ikifika mchana najiuliza huo ujasiri wa kupuuza mambo kama haya nautoa wapi
Itakuwa anataka afurahi hao wazazi watakapokuwa wanasononeka kwa watoto wao kutojua kingreza baada ya kuhamishiwa huko kayumba!Na mchawi wewe LIKUD unataka nini unavyowahamasisha wazazi waliopeleka watoto wao EM's kuwahamishia kayumba?
Fanya hivyo hivyo mkuu usipanic wala. Usiogope hawana lolote wanakutia hofu tu hawataki Uwe na furahaKuna wajinga wanapigaga ngoma juu ya bati langu huku wwkimwaga michanga ila kila nikitaka kutoka najikuta napuuza sababu ya usingzi.
Inanishangaza sana sababu usiku huo nayapuuza najiachia kabisa ila ikifika mchana najiuliza huo ujasiri wa kupuuza mambo kama haya nautoa wapi
Mchawi hana shida na wewe kuwa tajiri as long as your not happy with your money ( mfano uugue Maradhi ya kukusosesha furaha: E.g kukufanya ushindwe kusimamisha vizuri, usile baadhi ya vyakula mfano vyakula vyenye chumvi, sukari, usinywe pombe etc)
Mchawi hana shida na wewe mtoto wa kike kuolewa na tajiri as long as hautakuwa na furaha kwenye ndoa.
Hana shida na degree wala masters yako as long as hautakuwa na furaha nayo
Hana shida na kazi yako au biashara yako kufanya vizuri as long as havitakuwa vinakupa furaha.
Anacho kitaka kutoka kwako ni furaha yako.
Kwa nini? πππππ
Kwa sababu the currency in the realm of the spirit is energy. The higher the energy the richer the person. ( The medium of exchange is energy)
Furaha ( happiness) is the most highest and valuable currency in the realm of the spirits.
Katika ulimwengu wa roho, furaha ndio nishati yenye thamani ya juu kuliko kitu chochote kile.
Wachawi hawanaga furaha kwa sababu hawana nafsi yenye uhai. Nafsi zao zimekufa. Ndio maana hazina uwezo wa kupokea taarifa nzuri kuhusu watu wengine.
Mchawi anapokuona hauna furaha hukasirika na hutamani ile furaha uliyo nayo wewe ihamie kwake, so anacho kifanya ni kufanya kitu kitakacho kuondolea furaha yako. Furaha yako ikitoweka na wewe ukawa na huzuni basi yeye ndio hufurahia nafsi yake. ( Hapo anakuwa amefanya energy exchange)
Sasa basi ukitaka kuwakomesha wachawi( watu wote wenye husda na maisha yako whether unawajua au huwajui) basi wewe endelea kuonyesha furaha hata katika kipindi ambacho wana expect utakua na huzuni. . . Hali huwa inakua mbaya sana kwao kwa sababu ile huzuni waliyo itegemea kuja kwako hua inarejea kwao mara saba. ..
Kwa mfano walifurahi binti mzuri wa jirani Yao alipopata mimba shuleni akapata tena mimba nyingine ya pili baba hajulikani.
Then baadae wakasikia anaolewa na tajiri, wakafanya uchawi na fitna ndoa ika hairishwa siku moja kabla Bwana Harusi akaota mbawa. Watategemea binti awe na huzuni ya kwenda.
Kesho yake akionekana binti yupo na furaha as if nothing has happened na aka maintain kuwa na hiyo furaha basibasi, basi ile huzuni waliyo I anticipate kwa huyo binti itarejea kwao maradufu.
# Hakikisha unakuwa na furaha wakati wote no matter what the circumstances.
HahahahaaaaaaaaaItakuwa anataka afurahi hao wazazi watakapokuwa wanasononeka kwa watoto wao kutojua kingreza baada ya kuhamishiwa huko kayumba!
100% FactHapa umeiweka vyema. Saikolojia ya wachawi, hapa ni kwa wote wanaowatakia wengine mabaya. Ukiwapuuza kwa kuwa na neutral response kwa kile wanachokufanyia huumia sana. Kama ulivyosema, Wenyewe kama waona una huzuni hufurahi sana. Lkn ukiwa na furaha wanaugua sana. Halafu wanaanza kukuogopa kwamba wewe ni mchawi. Na ni kweli unakuwa mchawi wao, hata utakuwa na uwezo wa kuwatambua. Maana watakuwa wanajistukia ukikutana nao.
Lakini ili ufanikiwe, pia Mungu aweke mkono wake, inabidi uwe na maisha tofauti. Epuka kujichanganya kwenye ulevi, uzinzi/uasherati, uzulumaji, ugomvi, uizi, nk. Utauona utukufu wa Bwana