Anachokitaka mchawi kutoka kwako sio kingine chochote isipokuwa furaha yako. Sababu hizi hapa

🀣🀣🀣🀣🀭
 
Na mchawi wewe LIKUD unataka nini unavyowahamasisha wazazi waliopeleka watoto wao EM's kuwahamishia kayumba?
Itakuwa anataka afurahi hao wazazi watakapokuwa wanasononeka kwa watoto wao kutojua kingreza baada ya kuhamishiwa huko kayumba!
 
Fanya hivyo hivyo mkuu usipanic wala. Usiogope hawana lolote wanakutia hofu tu hawataki Uwe na furaha
 

Hapa umeiweka vyema. Saikolojia ya wachawi, hapa ni kwa wote wanaowatakia wengine mabaya. Ukiwapuuza kwa kuwa na neutral response kwa kile wanachokufanyia huumia sana. Kama ulivyosema, Wenyewe kama waona una huzuni hufurahi sana. Lkn ukiwa na furaha wanaugua sana. Halafu wanaanza kukuogopa kwamba wewe ni mchawi. Na ni kweli unakuwa mchawi wao, hata utakuwa na uwezo wa kuwatambua. Maana watakuwa wanajistukia ukikutana nao.
Lakini ili ufanikiwe, pia Mungu aweke mkono wake, inabidi uwe na maisha tofauti. Epuka kujichanganya kwenye ulevi, uzinzi/uasherati, uzulumaji, ugomvi, uizi, nk. Utauona utukufu wa Bwana
 
kuna mama mmoja mtaani wanasema ni mwanga nakaurithi uchawi kutoka ka bibi yake, bas ana mtoto wake wa pekee wakike watu pia husema anafundishwa uchawi na mama yake, hii ni kutokana na tabia akipata mwanaume lazma arogwe aoe mwisho wa siku mwanaume hupepea harudi kabisa

sasa kisa changu kinaanza huyu mama alitokea kunichukia from no where tangu nimehamia kwenye mji wangu, yan alianza kwanza ukipika lazima akuulize hujabakisha samaki ukanipa sjui hujabakisha kitu unipe mm mwanzon skua namjua so hata akiwa ananambia hayo mm hua nimemalizasina bas humjibu tu sina wameisha nahisi akaona namnyima but aikua aware naona tu ni jirani nikipita namsalimia naendelea na mishe zangu, akaanza visa tukiwa tupo kwenye shughuli za mtaani kama nipp na mtu anasalimia huyo nutakayekuwanaye kwa majina nikaona huu ufala amenitafuta muda mref sana but i always mantain my silence, yan hua simjibu kitu chochote kile.

siku moja ninelala mchana nikaota kanifwata yeyr na mwanae usingizin wakata kunichangia wanifungie kwenye chumba wanifue, bas sjui nilipata nguvu za wapi nikawakanda vizuri tu, mama mtu akakimbia nikambeba mwanae juu juu nikamtupa chini kama wanavyofanya kwenye wrestling, nikamwambia ukiendelea kunifuatilia nitakuua nikastuka nikajiuliza hiki nn kwa nn hii ndoto kwa nn wao nikamhadithia mama yangu mama akaguna akanambia nanhivo hamuelewani watajua na Mungu wao, nikapuuza hio siku niloota mchana usiku huyo mtoto akakimbizwa hospital analalamika kiuno kinamuuna kalazwa kuja kusikia hiimz habar nilikua kama nimapatwa na bumbuwazi.

najiuliza ni ile ndoto? au nimemkanda kweli?
 
100% Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…