Anadai ana mimba yangu, kutoa hataki, kulipa kodi hataki, kuhama hataki

Kinehe wang'wise, yakushika mumabhuungulu!!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜‚

Nasubili mrejesho hiyo jmosi ndo ntashauri

BTW pisi kali si uhalalishe tu mjuba! Au ulikuwa humwagiimo.

Ila kama ni mparestina kweli du, eb ngoja nisubili kwanza hiyo jumamosi. Usikose kunitag tafadhari
 
Umeweka upako wa Magufuli kabisa
 
Hii chai, watu tunafukuza wake wa ndoa itakuwa mpangaji mwenye mimba?
 
Kapime DNA mtoto kama ni wako, miesi sita anasikilizia tu, thibitisha
 
Tutisekanagi bhaghosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…