Anadai ana mimba yangu, kutoa hataki, kulipa kodi hataki, kuhama hataki

Braza wakati unaambiwa vaa KONDOMU ukagoma, ukaambiwa MWAGIA NJE, we ukashusha mzigo laNDANI uingereza, ulikuwa unategemea nini [emoji23][emoji1787]
 
Pole mkuu, ulinasuka vipi kwenyw huo mtego broda
 
Kumbe ndio wewe jirani
 
Sio mke wake ajamuoa anaweza kumfukuza mbona simple tu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hiv bujibuji hv vistori unavitoaga wap? Napendaga kuvisoma maana hua Kama real story. Ila Kuna watu hawajakuelewa humu unakuta wako busy kumshaur bujibuji
 
Hiv bujibuji hv vistori unavitoaga wap? Napendaga kuvisoma maana hua Kama real story. Ila Kuna watu hawajakuelewa humu unakuta wako busy kumshaur bujibuji
Nahitaji ushauri wa dhati jamani, msiache kunishauri. Dunia ni mapito na mapito yametofautiana kati ya mtu na mtu, wengine tunatokea kwenye familia nzito, hivyo basi tunakutana na mitihani mizito mizito tu
 
Na kuolewa hataki ?

Zege ukishalikoroga haliwezi rudi kuwa sementi
 
Kuwa mpole.. Huo ujinga uwenda ukaibua mitakataka iliojificha..

Mwisho wa mgegedo mimba...
 
Yamekukuta mtu mzima🤣🤣
 
Reactions: amu
Acha kujilegeza wewe, labda huchomoki peke yako si wote, mbona zee zima ila huna akili wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…