Battor
JF-Expert Member
- Mar 21, 2019
- 1,964
- 3,496
Kujua na ujuaji ni vitu viwili tofauti, tafuta maarifa kwanza na uache ujuaji.Unaijua luxury ww zuberi n kisesa Ndio bus la Bei rahisi na sio luxury
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujua na ujuaji ni vitu viwili tofauti, tafuta maarifa kwanza na uache ujuaji.Unaijua luxury ww zuberi n kisesa Ndio bus la Bei rahisi na sio luxury
Sasa mkuu, wote wakipanda ya luxury, mengine yatapata wapi abiria? Ujue hayo mabasi nayo yana wafanyakazi wanaotarajia kulipwa mishahara, na hao wafanyakazi wana wategemezi wanaowatazama kwa mahitaji yao. Ili wote hao waweze kutimiziwa mahitaji yao, ni lazima hayo mabasi yafanye safari.Sishauri umchukulie la bei nafuu mkuu mwanza to dar ni mbali sana,ni safari inayochosha mno it's better apande luxury tu.. mi naonaga hizi safari ndefu huwa tunazibaka kwanza kusafiri kwa basi au gari lolote ni mtihani,yani safari inakuzodoa..!
Mkuu jipigepige walau umpunguzie machungu ya safari apande luxury.. hayo cheap anaweza kukawia hata kufika shida juu ya shida..😂
Kuongeza ni kama anayo si lazima najua kuhusu bajeti hata mimi sinacho ila lilikuwa ni pendekezo tu!.Sasa mkuu, wote wakipanda ya luxury, mengine yatapata wapi abiria? Ujue hayo mabasi nayo yana wafanyakazi wanaotarajia kulipwa mishahara, na hao wafanyakazi wana wategemezi wanaowatazama kwa mahitaji yao. Ili wote hao waweze kutimiziwa mahitaji yao, ni lazima hayo mabasi yafanye safari.
Lakini kingine, inawezekana mpaka kupata hiyo 50,000/= ametokwa jasho sana, kiasi kwamba hata ukimwambia aongeze elfu moja tu inaweza ikawa ni sawa na umemwambia aongeze milioni moja. Watu "hatulingani" mkuu.
Maadam kataka la bei nafuu, mwache akune mkono wake unakofika.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Lazima ushangae maana huko zanzibar bus utalionea wapi? Humalizi gia 8 unakutana na bahari
🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kishenzi ofisinzima wamenishangaaLazima ushangae maana huko zanzibar bus utalionea wapi? Humalizi gia 8 unakutana na bahari
🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kishenzi ofisinzima wamenishangaa
Hivi nauli kutoka dodoma mpaka mwanza ni kiasi gani?Karibu Mwanza mkuu, ila tumezoea Katarama, Ally's na Happy Nation ambazo gharama zake ni 65,000/= per seat
Na chakula bureApande malori,20k hadi mwanza[emoji28]
😁😁😁unahisi wote tumeajiriwa?wee kweili bwegee.Jpili uko ofisini na watu, umezingua
30000-40000Hivi nauli kutoka dodoma mpaka mwanza ni kiasi gani?
Siyo ajabu! Kuna watu majukumu yao hayatambui Jumapili wala Jumamosi.Jpili uko ofisini na watu, umezingua
Siku nyingine usiulize huu ujinga....Bei zinapangwa na LATRA na kwa Sasa mafuta yamepanda.Kuna mtu namchukulia tiketi leo ili aondoke na bus la alfajiri. With much thanks in advance
Ofisini jumapili?🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kishenzi ofisinzima wamenishangaa
Usiishi kwa kukariri!!Jpili uko ofisini na watu, umezingua
Wakati wwe umekariri kua Jumapili ni siku ya kufuwa nguo zako za week nzima! Dunia imebadilika sana, wakati wwe unatoka.kuwajibika kwenye mishe zako unarudi zako home,unapishana na wengine na wao ndiyo kwanza wanaenda kuwajibika katika mishe zao!!Ofisini jumapili?
kwahio unahisi wabongo wote tumelala ndani sio?Ofisini jumapili?