Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Endelea kucheka... ukimaliza sogea sogea upate moja baridi moja Motokwahio unahisi wabongo wote tumelala ndani sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kucheka... ukimaliza sogea sogea upate moja baridi moja Motokwahio unahisi wabongo wote tumelala ndani sio?
silewiEndelea kucheka... ukimaliza sogea sogea upate moja baridi moja Moto
😁😁😁unahisi wote tumeajiriwa?wee kweili bwegee.
nipo ofisini Hadi saa nne usiku kamahujui.
Kwea super najimunisaKuna mtu namchukulia tiketi leo ili aondoke na bus la alfajiri. With much thanks in advance
Andaa 65 chukua KATARAMA. ukichukua ya bei rahisi huyo ndugu yako hatakusahau, huwezi kuteseka km 1150 kisa kuokoa 15,000
Moud, Nacharo, Esther,Mabasi ya bara mengi ni majina ya watu [emoji3][emoji28]
Very interesting [emoji3166]
Utasikia Zuberi, Najimunisa, Ally’s, Zakaria, n.k.
Tungis ilisha kufaTungis,Zuberi,Isamilo.
Maning niceKwa wanaojua dar babati gari gani zuri na nauli sh. ngp?
Asante RabiArusha Mwanza chuma gani zinatembea na zipo unyama. Bei yeyote ile?
Nipate utalii kidogo, sio mambo ya anga tu.
Zanzibar kuna basi za kwenda wapi?Mabasi ya bara mengi ni majina ya watu [emoji3][emoji28]
Very interesting [emoji3166]
Utasikia Zuberi, Najimunisa, Ally’s, Zakaria, n.k.
Hapa hadi anafika mwanza atakuwa ananuka moshi wa viroba vya mkaa na utomvu wa ndizi😂😅😁Apande malori,20k hadi mwanza[emoji28]
Apande it mpaka Tinde hapo atapata hice mpaka mwanzaApande malori,20k hadi mwanza[emoji28]
Duh!.Tungis ilisha kufa
Kwa wanaojua dar babati gari gani zuri na nauli sh. ngp?