Anaejua bus la bei nafuu from Dar to Mwanza

Anaejua bus la bei nafuu from Dar to Mwanza

Mabasi ya bara mengi ni majina ya watu [emoji3][emoji28]

Very interesting [emoji3166]

Utasikia Zuberi, Najimunisa, Ally’s, Zakaria, n.k.
Kwan Toyota / suzuki ni majina ya kina nani
 
You are such a shithole, baba yako wa kambo mimi, scented mouth, foolish, ndio maana unakesha hadi usiku, because you failed to plan your business, now your business is planning you. Work smart, acha ujinga
wee ulienajiriwa ndio mjinga.labda kama kwamwezi unaingiza milioni tano+ndio unishauli nifanye kazi kwausmat😁
 
120k kwenye Basi halafu upo barabarani masaa almost 20, Si bora Apande ndege....
Hapo ni either apite na Lower semi luxury au hata lori.



Ndege raha sana,

1 hr tu umeshafika Mwanza wakati alotoka na basi pale Mbezi Magufuli terminal hata Chalinze hajafika [emoji3][emoji28]

Nikiwaza hivyo najikuta nafanya maamuzi magumu ya kuingia gharama kutumia ndege.
 
Chukua Katarama uingie Mwanza chap ,Katarama saa4 tu lipo Dom hapa kwhy kufka saa 9 uhakka Mwanza afu bei 60 tu.
 
Ndege raha sana,

1 hr tu umeshafika Mwanza wakati alotoka na basi pale Mbezi Magufuli terminal hata Chalinze hajafika [emoji3][emoji28]

Nikiwaza hivyo najikuta nafanya maamuzi magumu ya kuingia gharama kutumia ndege.
Mkuu kwani kwenda kwa ndege kutoka Dar had Mwanza au Mwanza had Dar naul ni Tsh ngap!? Nahtaj kujua tafadhal.
 
Back
Top Bottom