Danelagen bin Al Maktoum
JF-Expert Member
- Jun 24, 2023
- 354
- 807
ZuberiKuna mtu namchukulia tiketi leo ili aondoke na bus la alfajiri. With much thanks in advance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ZuberiKuna mtu namchukulia tiketi leo ili aondoke na bus la alfajiri. With much thanks in advance
🙏🙏 Shukran kakaEster
Shukran kakaManing nice
Haiendi MwanzaKachek frester
Ungependa yaitwaje?Mabasi ya bara mengi ni majina ya watu [emoji3][emoji28]
Very interesting [emoji3166]
Utasikia Zuberi, Najimunisa, Ally’s, Zakaria, n.k.
Panda basi linaitwa Asante Rabi. Tena upande ambalo sio luxury wameliandika "smart phone".Arusha Mwanza chuma gani zinatembea na zipo unyama. Bei yeyote ile?
Nipate utalii kidogo, sio mambo ya anga tu.
Kwan Toyota / suzuki ni majina ya kina naniMabasi ya bara mengi ni majina ya watu [emoji3][emoji28]
Very interesting [emoji3166]
Utasikia Zuberi, Najimunisa, Ally’s, Zakaria, n.k.
wee ulienajiriwa ndio mjinga.labda kama kwamwezi unaingiza milioni tano+ndio unishauli nifanye kazi kwausmat😁You are such a shithole, baba yako wa kambo mimi, scented mouth, foolish, ndio maana unakesha hadi usiku, because you failed to plan your business, now your business is planning you. Work smart, acha ujinga
120k kwenye Basi halafu upo barabarani masaa almost 20, Si bora Apande ndege....
Hapo ni either apite na Lower semi luxury au hata lori.
Moud, Nacharo, Esther,
Aah mkuu Dar to Mwanza km 1150 !!!? sio kwel aseehAndaa 65 chukua KATARAMA. ukichukua ya bei rahisi huyo ndugu yako hatakusahau, huwezi kuteseka km 1150 kisa kuokoa 15,000
Dodoma to Mwanza ni 45/50 hv mkuu me npo Dom na huwa nkienda Mwanza ndio naul zang hzoHivi nauli kutoka dodoma mpaka mwanza ni kiasi gani?
Mkuu kwani kwenda kwa ndege kutoka Dar had Mwanza au Mwanza had Dar naul ni Tsh ngap!? Nahtaj kujua tafadhal.Ndege raha sana,
1 hr tu umeshafika Mwanza wakati alotoka na basi pale Mbezi Magufuli terminal hata Chalinze hajafika [emoji3][emoji28]
Nikiwaza hivyo najikuta nafanya maamuzi magumu ya kuingia gharama kutumia ndege.
Hata kama sio kweli lakini nitakuwa sipo mbali na ukweli. Tofauti haitazidi km 20Aah mkuu Dar to Mwanza km 1150 !!!? sio kwel aseeh
Hyo ni bei ya VIP ... ordinary ni 35 Hadi 40Dodoma to Mwanza ni 45/50 hv mkuu me npo Dom na huwa nkienda Mwanza ndio naul zang hzo
Napenda kujimwaya mwaya nkiwa safarin ndio sababu nachukuaga VIP mkuu yan huwa nafka Mwanza hata sjachoka.Hyo ni bei ya VIP ... ordinary ni 35 Hadi 40
Napenda kujimwaya mwaya nkiwa safarin ndio sababu nachukuaga VIP mkuu yan huwa nafka Mwanza hata sjachokaHyo ni bei ya VIP ... ordinary ni 35 Hadi 40
Mkuu ntajie basi moja la nauli ya 120,000Nimesafiri juzi na Abood kwa 60. Na bus lilikuwa vyedi tu, ukilinganisha na bei. Ila nasikia yapo ya 120,000 huko, wenyewe wanayaita business class.