😂😂😂😂😂Hahhhh Yani anakupa dawa zq usingizi hata wa wiki tatu kudadekiDuh! Ila kuna taaluma za hatari sana.
Natoa wito kwa Serikali ianze kuajiri nyie kwanza kabla ya wengine.
Hivi mtu wa aina yako akikasirika kwa kukosa ajira akaamua atumie ujuzi alionao kutoa hasira kwa kudhuru watu, sijui itakuwaje!
wizy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahhhh Yani anakupa dawa zq usingizi hata wa wiki tatu kudadeki
AmenMungu awasaidie wote wanaotafuta ajira
Wewe jamaa inaonekana una roho mbaya sana. Wewe huwezi kufanikiwa kwenye haya maisha .Yaani badala umsaidie wapi apate kazi wewe umejikita kwenye spelling . Typing error kwenye kwa mgeni ambaye ndo mara ya kwanza kuingia humu na inaonekana ameingia kwa ajili ya kutafuta ajira wewe unaanza ku-undermine. Idiot kabisa. Watanzania kwanini tuko hivyo?Mkuu ni kabuti au kaputi
Unaanza kutia shaka usije ukatoa propanolol badala ya propofol!
Ahsante chief nililiona kabla yako lakini nilishindwa ku-edit nisameheMkuu ni kabuti au kaputi
Unaanza kutia shaka usije ukatoa propanolol badala ya propo
Wewe pia mshamba tu , ANAESTHETIST NA PROPANOLOL wapi na wapi?Mkuu ni kabuti au kaputi
Unaanza kutia shaka usije ukatoa propanolol badala ya propofol!
roho mbaya hii mzeeMkuu ni kabuti au kaputi
Unaanza kutia shaka usije ukatoa propanolol badala ya propofol!
Kama huwezi kuita chepe chepe na sio kijiko kikubwa basi hio ndo roho mbaya mkuuroho mbaya hii mzee
Wewe pia mshamba tu , ANAESTHETIST NA PROPANOLOL wapi na wapi?
Sawa mzee lakini hatuishi hivyo aseeh kwahiyo tuseme wewe spelling hukoseagi ?Kama huwezi kuita chepe chepe na sio kijiko kikubwa basi hio ndo roho mbaya mkuu
Makosa ya kiuandishi ni big turnoff kwa waajiri
Ndo maana hata ukifatilia makala za kuomba kazi unaambiwa barua yako ya application na cv zikiwa na makosa ya kiuandishi hata email yako haijibiwi
Its a cruel world mkuu and only the strong and smart people take hold of it!