Anaesthetist (Mtaalam wa kutoa dawa za usingizi na nusu kabuti) natafuta kazi

Anaesthetist (Mtaalam wa kutoa dawa za usingizi na nusu kabuti) natafuta kazi

Bwana mkubwa mbona umeniandama sana mkuu?

Mimi nlichotaka ni kurekebisha tu. Kama ni kosa msamaha ni kitu cha bure. Samahani🙏🏾🙏🏾
Tatizo lako umemrekebisha mtu kwa kejeli mkuu ,sio vizuri kijana anatafuta pakujishikiza halafu wewe unamkejeli hata Mungu hapendi aseeh
 
Mungu anapenda unapoona kosa ulisemee mapema

Na huwa anatumia mifano migumu sana kurekebisha watu (haya tunasoma kwenye vitabu vya dini)

Ukiona kosa ukanyamaza ni kosa pia mkuu

Tuliache hili sasa
Sawa lakini jua haya maneno ya hivi huwa yanakatisha sana tamaa najua wewe unaona niyakawaida
Naliongea hili nikiwa nishakutana na ishu kama hii wakati mtu upo frustrated na kazi halafu mtu akucrush aseeh inaumiza sana
 
Hahaha! Aisee jobless ni jeshi lenye nguvu sana. Kuwa makini unapotaka kumgusa mmoja wao.
 
Back
Top Bottom