Anaesthetist (Mtaalam wa kutoa dawa za usingizi na nusu kabuti) natafuta kazi

Anaesthetist (Mtaalam wa kutoa dawa za usingizi na nusu kabuti) natafuta kazi

Kama huwezi kuita chepe chepe na sio kijiko kikubwa basi hio ndo roho mbaya mkuu

Makosa ya kiuandishi ni big turnoff kwa waajiri

Ndo maana hata ukifatilia makala za kuomba kazi unaambiwa barua yako ya application na cv zikiwa na makosa ya kiuandishi hata email yako haijibiwi

Its a cruel world mkuu and only the strong and smart people take hold of it!
Mwajiri gani? Wewe ni mwajiri? Umeshawahi kuajiri?
Nchi gani?

Kuna mazingira ya kutoa hukumu.Hata walimu wanaosahihisha mitihani kuna wakati wanaangalia mwelekeo wa wanafunzi kwenye swali . Lakini mwajiri au lecturer mwenye roho na akili yako huwezi kusaidia. Mkuu leo iko kwa jamaa kesho iko kwa ndugu yako au mtoto wako tutaona kesho kama atakuwa smart kwa kiwango cha 100%.ACHA ROHO MBAYA UENDE MBINGUNI.
 
Siku ikitokea ndo utaelewa zaidi mkuu

Sasa hivi tuendelee kunywa mtori, nyama tutazikuta chini😐
Wewe ni Anaesthesilogist kama mimi tupeane uzoefu, Umewahi kutoa PROPANOLOL kwenye pre ,intra au post operative ? Acha ushamba kama una nafasi mpe kijana acha uchawi.
 
Mkuu hivi ukiona mtoto anasema uongo au kukosea hutamrekebisha kisa na wewe ulishawai kusema uongo?

Hayo makosa hata mimi nayafanya na ndo maana nimemrekebisha hio spelling yake.

Ni ushauri tu nimempa. Akitaka atauchukua akitaka atauacha.
Kuna mazingira ya kurekebisha, unaona kabisa jamaa yuko stressed na ajira ,wewe kwasababu unapata neema unaona nisawa kukejeli. Sikatai kukosoa lakini angalia tena ulicho kiandika na wakati gani? Wewe umeenda shule kukariri siyo kuelimika.
 
Mkuu ndo maana watanzania hatuendelei maana tunaoeneana aibu

Hii tabia ndo inaenda hadi huku ngazi za juu

Unakuta mali za umma zinaibiwa ila watu wanaonena aibu

Anahamishiwa mkoa mwingine makosa yamaendelea kufanyika


Hapo nimemrekebisha makosa ya kiuandishi na kumtania kidogo

Ila naona umepaniki mkuu!

Kuna kesi ilishwahi kutokea mtu kakosea dawa na kusababisha madhara kwa mwingine

Watu wengi wanakosa kazi na kujilaumu hawaitwi interview nakadhalika

Kwa sababu ya vitu vidogo

Sasa mtu akirekebishwa akishupaza shingo hio ni hasara yake mwenyewe


NB; unajiuliza kwann watz tupo hivyo wakat wewe ndio jibu lake
Siyo kupanic! Ulivyo jibu hivyo nimekumbuka mbali sana wakati nikiwa nimemaliza shahada ya uzamili nikiwa kwenye harakati za kusaka ajira kuna mpuuzi mwezio aliwahi kunijibu hivyo mimi, Leo mimi ndiye boss wake .
 
Mkuu we unaeza ongea unavoweza ila ukweli unabaki kuwa unaposhindwa kuandika maneno kwa usahihi watu makini hawatakuchulia makini
Declared the Interest, sipo huku kwenye typing error ,Mimi nipo kwenye professional . Nimekuuliza mahusiano ya propofol na Propanolol .Nimekuuliza kwania njema nataka kujua huende miaka 3 ya ANAESTHESIOLOGY haikutosha kwangu
 
Sa

Sasa mkuu wewe ukienda kufanya interview wakakuuliza "why should we hire you?" Utasema nipeni kazi nina stress

Kwenye hii dunia watu hawajali hisia zako mkuu watu wanajali utawaletea nini kwenye taasisi yao


Ndo maana nasema hii tabia ya sisi wabongo kuoneana aibu inatupeleka pabaya

Mtu anafanya makosa ofisi ya umma x anahamishwa anapelekwa mkoa mwingine ili kulinda kibarua hapewi onyo au kurekebishwa


Mtu anaandika cv nying anapeleka maofisini haitwi ukija kukagua kaandika vibaya kakosea maneno

Watu wakiangalia tu wanasema huyu hayuko serious.

Cv na letter of application ndio first impression ya mwajiri

Ila kama mnaendelea kubisha sawa ila ukweli ndo huo
Tumia Elimu yako vizuri..Hatujakataa wewe kukosoa lakini umeongeza maneno ya dharau na kejeri kwenye ukosoaji wako. Soma tena ulicho kiandika. Umeongeza ujivuni kwenye ukosoaji wako. Haya na matokeo ya Elimu yako.
 
Mwajiri gani? Wewe ni mwajiri? Umeshawahi kuajiri?
Nchi gani?

Kuna mazingira ya kutoa hukumu.Hata walimu wanaosahihisha mitihani kuna wakati wanaangalia mwelekeo wa wanafunzi kwenye swali . Lakini mwajiri au lecturer mwenye roho na akili yako huwezi kusaidia. Mkuu leo iko kwa jamaa kesho iko kwa ndugu yako au mtoto wako tutaona kesho kama atakuwa smart kwa kiwango cha 100%.ACHA ROHO MBAYA UENDE MBINGUNI.
Huyu jamaa anakiburi cha kazi, anakiburi cha Elimu analiyo nayo.
 
Sa

Sasa mkuu wewe ukienda kufanya interview wakakuuliza "why should we hire you?" Utasema nipeni kazi nina stress

Kwenye hii dunia watu hawajali hisia zako mkuu watu wanajali utawaletea nini kwenye taasisi yao


Ndo maana nasema hii tabia ya sisi wabongo kuoneana aibu inatupeleka pabaya

Mtu anafanya makosa ofisi ya umma x anahamishwa anapelekwa mkoa mwingine ili kulinda kibarua hapewi onyo au kurekebishwa


Mtu anaandika cv nying anapeleka maofisini haitwi ukija kukagua kaandika vibaya kakosea maneno

Watu wakiangalia tu wanasema huyu hayuko serious.

Cv na letter of application ndio first impression ya mwajiri

Ila kama mnaendelea kubisha sawa ila ukweli ndo huo
Tuteleee ujuaji wako , kaa na kazi yako . Nyie ndiyo huwa mnajifanya mnajua sana wakati mmetokea maisha ya chini sana
 
Mkuu kuna case nyingi za dawa ya usingizi ilikosewa

Kuna case moja hii ni ya kweli kabisa

Mtu alimchoma mtu insulin badala ya bupivacaine

Kumrudisha ilikua ni shughuli

Hio propofol na propanolol nimeandika kama utani tu kwa sababu majina yanafanana

Watu tatizo mlikimbia fasihi na literature o level

Ila vitu kama simile nk mngekuwa mnaelewa zaidi

Ujumbe apo ilikua ni kuhusu kuandika maneno kwa usahihi wakati unasaka ajira ni muhimu sana.
Nimekuuliza mwanzo wewe ni ANAESTHESTIST au ANAESTHESIOLOGIST? Unajua insulin ipo kwenye amp ya aina ? Unajua Bupivacaine plan au heavy zinakuwa kwenye amp ya aina. Hakuna mazingira mtu kuchonywa INSULIN badala ya bupivaine. Acha kutunga visa kuchafua professional za watu. Kama wewe ni medical personel this is ENTHICAL kabisa. STOP THIS PLEASE
 
Sio kiburi mkuu.

Hio ndo hali halisi HR anapoona CV au letter of application imeandikwa kwa makosa huwa ndo wanafanya hivyo

Hio ni reality check mkuu

The world is run by the law of the jungle.

Mtu Ukilifahamu hili inasaidia sana
IDIOT
 
Nimekuuliza mwanzo wewe ni ANAESTHESTIST au ANAESTHESIOLOGIST? Unajua insulin ipo kwenye amp ya aina ? Unajua Bupivacaine plan au heavy zinakuwa kwenye amp ya aina. Hakuna mazingira mtu kuchonywa INSULIN badala ya bupivaine. Acha kutunga visa kuchafua professional za watu. Kama wewe ni medical personel this is ENTHICAL kabisa. STOP THIS PLEASE
Huyu jamaa ni mpumbavu sana.
 
Kuhusu swala la kwenda mbinguni
Makanisa mengi sasa hivi hawapendi kusema ukweli watu waache maovu maana wanapenda zile mahubiri za kutekenya masikio watu wahisi raha

Inaitwa prosperity gospel

Hii ni hatari sana kiroho mkuu.

Tusizoee tu kunywa maziwa inabidi tukuwe tueze kutafuna nyama na mahindi ya kuchoma pia.

La sivyo unaeza kwenda na ile njia pana ukiikwepa nyembamba yenye miiba na kubanana.

Over!
STOP THIS NONE SENSE , una umri gani wewe? Mbona unaongea utoto? umeshamharibia jamaa bado unacomment utumbo hapa
 
Duh naona umeanza kujibanza kwenye professionalism.

Sawa mkuu yaishe.

Mimi sio anesthesoligist (utanirekebisha kama nimekosea hizo spelling)

Nenda kasome kitabu TO ERR IS HUMAN: Building a safer health system utanielewa.
ANAESTHESIOLOGIST
 
Wewe jamaa inaonekana una roho mbaya sana. Wewe huwezi kufanikiwa kwenye haya maisha .Yaani badala umsaidie wapi apate kazi wewe umejikita kwenye spelling . Typing error kwenye kwa mgeni ambaye ndo mara ya kwanza kuingia humu na inaonekana ameingia kwa ajili ya kutafuta ajira wewe unaanza ku-undermine. Idiot kabisa. Watanzania kwanini tuko hivyo?
Ukitataka kujua wengi wenye tuna ugonjwa wa akili pita mtandaoni....
 
Mkuu vipi tukijoajiri tutengeneze kiwanda kidogo cha madawa ya kulevya
 
Back
Top Bottom