Anaesthetist (Mtaalam wa kutoa dawa za usingizi na nusu kabuti) natafuta kazi

Mwajiri gani? Wewe ni mwajiri? Umeshawahi kuajiri?
Nchi gani?

Kuna mazingira ya kutoa hukumu.Hata walimu wanaosahihisha mitihani kuna wakati wanaangalia mwelekeo wa wanafunzi kwenye swali . Lakini mwajiri au lecturer mwenye roho na akili yako huwezi kusaidia. Mkuu leo iko kwa jamaa kesho iko kwa ndugu yako au mtoto wako tutaona kesho kama atakuwa smart kwa kiwango cha 100%.ACHA ROHO MBAYA UENDE MBINGUNI.
 
Siku ikitokea ndo utaelewa zaidi mkuu

Sasa hivi tuendelee kunywa mtori, nyama tutazikuta chini😐
Wewe ni Anaesthesilogist kama mimi tupeane uzoefu, Umewahi kutoa PROPANOLOL kwenye pre ,intra au post operative ? Acha ushamba kama una nafasi mpe kijana acha uchawi.
 
Mkuu hivi ukiona mtoto anasema uongo au kukosea hutamrekebisha kisa na wewe ulishawai kusema uongo?

Hayo makosa hata mimi nayafanya na ndo maana nimemrekebisha hio spelling yake.

Ni ushauri tu nimempa. Akitaka atauchukua akitaka atauacha.
Kuna mazingira ya kurekebisha, unaona kabisa jamaa yuko stressed na ajira ,wewe kwasababu unapata neema unaona nisawa kukejeli. Sikatai kukosoa lakini angalia tena ulicho kiandika na wakati gani? Wewe umeenda shule kukariri siyo kuelimika.
 
Siyo kupanic! Ulivyo jibu hivyo nimekumbuka mbali sana wakati nikiwa nimemaliza shahada ya uzamili nikiwa kwenye harakati za kusaka ajira kuna mpuuzi mwezio aliwahi kunijibu hivyo mimi, Leo mimi ndiye boss wake .
 
Mkuu we unaeza ongea unavoweza ila ukweli unabaki kuwa unaposhindwa kuandika maneno kwa usahihi watu makini hawatakuchulia makini
Declared the Interest, sipo huku kwenye typing error ,Mimi nipo kwenye professional . Nimekuuliza mahusiano ya propofol na Propanolol .Nimekuuliza kwania njema nataka kujua huende miaka 3 ya ANAESTHESIOLOGY haikutosha kwangu
 
Tumia Elimu yako vizuri..Hatujakataa wewe kukosoa lakini umeongeza maneno ya dharau na kejeri kwenye ukosoaji wako. Soma tena ulicho kiandika. Umeongeza ujivuni kwenye ukosoaji wako. Haya na matokeo ya Elimu yako.
 
Unaweza kufanya kazi SOBER HOUSE nikupe deal?
 
Huyu jamaa anakiburi cha kazi, anakiburi cha Elimu analiyo nayo.
 
Tuteleee ujuaji wako , kaa na kazi yako . Nyie ndiyo huwa mnajifanya mnajua sana wakati mmetokea maisha ya chini sana
 
Nimekuuliza mwanzo wewe ni ANAESTHESTIST au ANAESTHESIOLOGIST? Unajua insulin ipo kwenye amp ya aina ? Unajua Bupivacaine plan au heavy zinakuwa kwenye amp ya aina. Hakuna mazingira mtu kuchonywa INSULIN badala ya bupivaine. Acha kutunga visa kuchafua professional za watu. Kama wewe ni medical personel this is ENTHICAL kabisa. STOP THIS PLEASE
 
Sio kiburi mkuu.

Hio ndo hali halisi HR anapoona CV au letter of application imeandikwa kwa makosa huwa ndo wanafanya hivyo

Hio ni reality check mkuu

The world is run by the law of the jungle.

Mtu Ukilifahamu hili inasaidia sana
IDIOT
 
Huyu jamaa ni mpumbavu sana.
 
STOP THIS NONE SENSE , una umri gani wewe? Mbona unaongea utoto? umeshamharibia jamaa bado unacomment utumbo hapa
 
Duh naona umeanza kujibanza kwenye professionalism.

Sawa mkuu yaishe.

Mimi sio anesthesoligist (utanirekebisha kama nimekosea hizo spelling)

Nenda kasome kitabu TO ERR IS HUMAN: Building a safer health system utanielewa.
ANAESTHESIOLOGIST
 
Ukitataka kujua wengi wenye tuna ugonjwa wa akili pita mtandaoni....
 
Mkuu vipi tukijoajiri tutengeneze kiwanda kidogo cha madawa ya kulevya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…