Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Kinadada mnalalama hapa kua hela ndogo, sijui hamuwezi uza mtoto na blah blah kibao wakati mnatoa mimba, mnatupa watoto kwenye matundu ya vyoo, majalalani nk.

Si bora mchukue mpunga huo, lakini na jamaa nae moja ya sharti liwe ni kuhakikisha mtoto anaishi maisha mazuri. Kibongo bongo hii haipo sana hivyo ni kheri kumuondoa hofu mama mtoto.
 
Kwanza huu ni unyanyasaji.
Ujitolee kubeba mimba na usiruhusiwe kuwaona wanao baada ya kuwqkqbidhi.
Pili uhame kwako uje kukaa na mtu usiyempenda na sio mpenzi wako kivyovyote aqqh
Me nliandika tu kwa utani mbona
Kumzalia mtu kwaashart parefuu
 
Wewe mfano mie ni dume tu nitampatia Ila kama akifika 100 ml .
Na anunue gari Mercedes Benz hata toleo lakati mie nitamfikiria Nakadori unasemaje ??
 
Unadhani ni rahisi kubeba mimba miezi 9 kisha usijihusishe na mtoto?
 
Asante kwa maoni ndugu,
Nimeshatolea ufafanuzi jambo la malezi kwa mtoto/watoto kwenye baadhi ya comment kwamba mtoto/watoto watakua damu yangu hivyo malezi bora lazima yazingatiwe
 
May I ask why, kwanini? Whats the logic behind this?
 
Wewe mfano mie ni dume tu nitampatia Ila kama akifika 100 ml .
Na anunue gari Mercedes Benz hata toleo lakati mie nitamfikiria Nakadori unasemaje ??
Kwakuwa ni swala linalohusisha uhai wa mtu na kuhusisha kiumbe chenye muunganiko kihisia na kidamu alitakiwa azingatie hilo na awake hela kubwa ili angalau iwe rahisi kwa wanaoweza kurisk.
Lakini pia atoe room ya second part ku bargain.
Ila mafuta akuwekee kwa miaka 5 na ajira ya kudumu akupatie mbali na hizo hela.
Access ya mtoto nayo upewe angalau ujue proceedings za mwanao...
 
Unatafuta surrogate mother for you child.
 
May I ask why, kwanini? Whats the logic behind this?
Logic ni kupata mtoto/watoto bila mama na baba kukutana kimwili, pili mama kutojihusisha na mtoto/watoto kwa namna yeyote maisha yake yote hapa duniani ikiwemo kutowaona mtoto/watoto na baba yao kisheria baada ya mwaka tangu huyo mama kujifungua
 
Logic ni kupata mtoto/watoto bila mama na baba kukutana kimwili, pili mama kutojihusisha na mtoto/watoto kwa namna yeyote maisha yake yote hapa duniani ikiwemo kutowaona mtoto/watoto na baba yao kisheria baada ya mwaka tangu huyo mama kujifungua
Nlikuwa nauliza kwanini asiruhusiwe kufanya sex pindi ana mimba au akishajifungua.?
 
So utalea mwenyewe bila mama?
Unique Flower
Ndio ndugu, na inawezekana vizuri sana pia kumbuka itakua damu yangu.
Kuna watoto wapo vituo vya watoto yatima wapo chini ya mwaka mmoja na wanalelewa hadi kua watu wazima.
Hivyo kwa watoto wangu inawezekana nikawalea kwa mazingira bora zaidi na kumbuka nitaanza kuwalea baada ya kunyonya kwa mwaka mmoja toka kwa mwanamke atakaewazaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…