Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja

Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi

Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?

Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye

Screenshot_20221222_153744_Chrome.jpg
Screenshot_20221222_153618_Chrome.jpg
 
Ila nawaza huo mkataba utazingatia na risks zingine zitakazoambatana na mimba? Au ndio unahisi kila kitu kitakwenda sawa tu!!!
Risks zingine zitakazoambatana na mimba kama zipi dada?
Ni vyema ukaziainisha ili lifanyike jambo bora zaidi.
Nitasoma kila comment katika hili tangazo ili kufanya kitu bora zaidi
 
Kisheria mkataba unapewa uupitie alafu ukiona kuna vitu vya muhimu vinakosekana kwa upande wako na wewe unatoa mapendekezo yako mkikubaliana mkataba unachapishwa tena kama mlivyokubaliana mnasainiana mnafanya biashara
Asante kwa ufafanuzi ndugu
 
Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja

Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi

Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?

Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye

View attachment 2454774View attachment 2454775
We acha kutuharibia fursa🤣🤣🤣🤣
 
Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja

Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi

Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?

Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye

View attachment 2454774View attachment 2454775
Ila jamani hawa watoto wa hivi sijui itakuaje
 
Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja

Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi

Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?

Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye

View attachment 2454774View attachment 2454775
Technolojia hii ni nzuri ila mimi binafsi sijaipenda sababu inaondoa ubinadamu kidogo, ila ya kupandikiza kwa mwanamke kuna ubinadamu kwa kiumbe atakae zaliwa.
Huo ni mtazamo wangu
 
Back
Top Bottom