Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kwenda huko🤣🤣🤣Sisi ni mdg lazima tushirikiane kukupa fura love🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda huko🤣🤣🤣Sisi ni mdg lazima tushirikiane kukupa fura love🤣
Mimba huwa zinapenda jito LA baba mtoto vip kuhusu hilo?Mkataba hauruhusu hilo jambo ndugu
Ni heri tuprintHutaki hela? 😂
Tutaendaje Dubai sasa
Risks zingine zitakazoambatana na mimba kama zipi dada?Ila nawaza huo mkataba utazingatia na risks zingine zitakazoambatana na mimba? Au ndio unahisi kila kitu kitakwenda sawa tu!!!
Asante kwa ufafanuzi nduguKisheria mkataba unapewa uupitie alafu ukiona kuna vitu vya muhimu vinakosekana kwa upande wako na wewe unatoa mapendekezo yako mkikubaliana mkataba unachapishwa tena kama mlivyokubaliana mnasainiana mnafanya biashara
Shimo lake zege toka chini, apigwi na vumbi😂😂😂😂Anayekufa maskini, na anayekufa Tajiri tofauti yao nini baada ya kufa?!
Nimepitia comments zako kwenye huu uzi, una comment kwa maturity sana, inaonekana maisha yamekufundisha sanaNajua dada angu na ndio maisha hayo kuna watu wanafanya mishe hatari kuliko iyo just to survive
Hahaha wewe ni mkoroficocastic, , dili hili
Hilo halitowezekana ndugu, hata mkataba hauruhusu hilo jambo.Mimba huwa zinapenda jito LA baba mtoto vip kuhusu hilo?
We acha kutuharibia fursa🤣🤣🤣🤣Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja
Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi
Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?
Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye
View attachment 2454774View attachment 2454775
Kwahiyo shoga angu umekata😂😂Ni heri tuprint
Kama tutakutana na bahari, tutaogelea chap
My nakupa likes zako hapa shoga anguUnique jilipue shoga
Au mayai huna shogare?
Ila jamani hawa watoto wa hivi sijui itakuajeEctolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja
Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi
Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?
Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye
View attachment 2454774View attachment 2454775
Mbona itakuwa mimba ya matesoHilo halitowezekana ndugu, hata mkataba hauruhusu hilo jambo.
Technolojia hii ni nzuri ila mimi binafsi sijaipenda sababu inaondoa ubinadamu kidogo, ila ya kupandikiza kwa mwanamke kuna ubinadamu kwa kiumbe atakae zaliwa.Ectolife ndio unahitaji wala usihangaike na mwanamke akuzalie bali subiri kuna artificial womb na wanafyatua watoto 30,000 kwa mwaka kwenye laboratory moja
Wanasema watu hawaongezeki sana na itafika kipindi tutakosa wafanyakazi
Sijui China atatengeneza machine cheap kidogo na mimi ninunue?
Elon Musk mwenyewe ana lea watoto 9 ambao hajawazaa yeye
View attachment 2454774View attachment 2454775
🤣🤣🤣🤣My nakupa likes zako hapa shoga angu
Mtoa mbegu ndio wewe?Technolojia hii ni nzuri ila mimi binafsi sijaipenda sababu inaondoa ubinadamu kidogo, ila ya kupandikiza kwa mwanamke kuna ubinadamu kwa kiumbe atakae zaliwa.
Huo ni mtazamo wangu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Nakadori wewe ni mwanamke mwenye kupendwa na wengi hasa Mimi hapa Unique Flower