Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
True 25ml hujengi nyumba yakujinafasiIngekuwa milioni 500 ningejilipua...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True 25ml hujengi nyumba yakujinafasiIngekuwa milioni 500 ningejilipua...
Unique jilipue shogaTrue 25ml hujengi nyumba yakujinafasi
Halafu kumbe kuna kigezo cha umri🙆🙆🙆Tatizo lako unajitangaza kila saa kuwa wewe ni kikongwe sasa itanasa sasa?🤣🤣🤣
Hutaki hela? 😂Weee yan ukiniletea first draft tu nakuwasha mabanzi 🤣
Mkataba hauruhusu hilo jambo nduguWanawake wenye vizazi active fursa ni kwenu.
Msije mkafa bila kushika 25M cash mkononi.
Ila mleta mada kweli mama mjamzito ataachwa salama bila kuguswa na lile joto zuri la papuchi?
Funguka aisee mabinti wajue moja kusuka au kunyoa.!!!
RelaxUnapowaza kumaliza kibada, ukumbuke kuwa mtoto utakaye mnyonyesha baada ya mwaka moja unatakiwa umkabidhi baba aliyekuwa anakutunza sina uhakika ndiye mwenye Mbegu, halafu huruhusiwi kabisa kuja kumwona mtoto....maana yake ameshatolewa kafara mahali...
Wacha mawazo mgando. Hiyo ni kama "parking for own risk"Mtaani wanawake kibao wanabeba ujauzito kwa chips mayai na wanazaa na mtoto wanamtupa jalalani ama chooni
Sisi ni mdg lazima tushirikiane kukupa fura love🤣Mie nataka hela sio hizo box zenu. Halafu mnashirikiana kufanya nini? Shenzeee wewe
Huyo achana nae,si hatujawahi fanyaNakuona unavomwombea baba mtoto afe🤣🤣🤣🤣
Mambo yapi muhimu hayapo kwenye tangazo?Wacha mawazo mgando. Hiyo ni kama "parking for own risk"
Huko huoni masharti kibao. Halafu amezingatia uzima tu. Hajui kuna changamoto on the way. Mambo mengi muhimu hayamo kwenye mkataba. Yaani ame assume mambo yote Ni smooth.
Hahahhaa.. mjini bila unafiki utalala njaaHalafu tumejaa inbox ya Mzee wa ivf 😜😜
Kama zipi?Ila nawaza huo mkataba utazingatia na risks zingine zitakazoambatana na mimba? Au ndio unahisi kila kitu kitakwenda sawa tu!!!
Sio , Rahisi Kabisa , hata ukitoa mil 1 mtu Anakubali kwa jinsi navyowajua WabongoMwingine anameza pakiti za unga tumboni ili apite nao airport kwemye nchi za watu uko unajua risk yake ukioasukia tumboni? Alafu akatae m 50+ pesa
Kisheria mkataba unapewa uupitie alafu ukiona kuna vitu vya muhimu vinakosekana kwa upande wako na wewe unatoa mapendekezo yako mkikubaliana mkataba unachapishwa tena kama mlivyokubaliana mnasainiana mnafanya biasharaIla nawaza huo mkataba utazingatia na risks zingine zitakazoambatana na mimba? Au ndio unahisi kila kitu kitakwenda sawa tu!!!
Anayekufa maskini, na anayekufa Tajiri tofauti yao nini baada ya kufa?!Mwanamke akifa masikini ni ujinga wake