Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seriously?😮
Hata wale warembo wa maeneo flani ya biashara?maana wengine wamejikatia tamaa wako tayari kwa lolote, usiniambie hawajafika PM ku negotiate hata chini ya hapo au labda hawapo jf
Hata Kwa billions noooooo Kwa Mimi,mtoto ni mtoto dearHivi na akili zako ukafanye ivf ya kumbebea mtu mimba ...I mean kuleta kiumbe duniani (with all the risks) na ukikabidhi kwa hela ya bata la mwezi mmoja?
Hahaha ngoja alogwe asahau mkataba unasemajeWanakuzalia fresh kabisa baadae wanakuroga unasahau kuchukua mtoto...
Ogopa sana watanzania
Hela za maandishi ni kubwaKuna jinsia za kiume leo zinatamani zingekuwa za kike 🥱
Hapo niliwatania tuHata Kwa billions noooooo Kwa Mimi,mtoto ni mtoto dear
We huwajui Watz weweKuna jinsia za kiume leo zinatamani zingekuwa za kike 🥱
HahahahaNimewaza mume atavyokua anamshawishi mke , nenda zile milion za mwezi tunaeka kwenye biashara😂😂😂😂 hiz 25/tunajenga, afu 20 za chakula utakula kumi kwa siku na mimi nakula kumi, ntaamia karibu na utakapokuepo ili niwe nakuona ona na ntakua kama kaka, na mimba lazima impende kaka yako ( mume) 😂😂😂
Je ukimshawishi akaanza ifinyia kwa ndani na akanogewa🤔Asante kwa swali zuri ndugu, mwanamke akiwa analea ujauzito hatoruhusiwa kulala pamoja na baba wa watoto au kushiriki tendo la ndoa kwa namna yeyote kisheria.
Huyu kumbuka anataka watt sita watatolewa na sio mmoja ujueMtaani wanawake kibao wanabeba ujauzito kwa chips mayai na wanazaa na mtoto wanamtupa jalalani ama chooni
Tatizo lako unajitangaza kila saa kuwa wewe ni kikongwe sasa itanasa sasa?🤣🤣🤣Glenn na National Anthem mbona huwa hamniiti kwenye fursa kama hizi?
Weee yan ukiniletea first draft tu nakuwasha mabanzi 🤣Shooooga
Em ngoja niendelee kutafakari, nyamaza kwanza usiongee unanidisturb mawazo hapa...
😜😜😜😜😜😜😜😜Kuna jinsia za kiume leo zinatamani zingekuwa za kike 🥱
Kuna mtu anapigwa hapa soonHaya Encubators mjiandae, hesabu ni kama ifuatavyo.
M25 kubaliano
M1 kila mwezi kwa muda wa mimba -M9
20k times miezi 9= kila mwezi laki 6, kwa miezi 9 inakuwa kama 5.4 M
Kunyonyesha 50k per day, mwaka1 so ni 50k *30*12 = inakuwa kama M18
TOTAL PAYMENT = 57,400,000/=
Hahaha halooo
Ila wewe ungekuwa karibu ningekuwasha makofi kidogo. Sema hela Ina trigger emotions brain na kawaida huwa Zina nguvu mnoKuna jinsia za kiume leo zinatamani zingekuwa za kike 🥱
Labda na yeye ni walewale,Hahaha ngoja alogwe asahau mkataba unasemaje
Kwani malipo elekezi ni shikingi ngapi kwa hapa Tanzania?Anyway, malipo ni kawaida
Why mwaka mzima, najua ni mimba tu akizaa mkataba umeisha unachukua mtoto wako
Sitaaa? Yan six?Huyu kumbuka anataka watt sita watatolewa na sio mmoja ujue
Kwenye tangazo nimeeleza kwamba makubaliano yatasainiwa mahakamani na ustawi wa jamii ili kuepusha mtazamo wa aina hiyoUnapowaza kumaliza kibada, ukumbuke kuwa mtoto utakaye mnyonyesha baada ya mwaka moja unatakiwa umkabidhi baba aliyekuwa anakutunza sina uhakika ndiye mwenye Mbegu, halafu huruhusiwi kabisa kuja kumwona mtoto....maana yake ameshatolewa kafara mahali...