Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Najua dada angu na ndio maisha hayo kuna watu wanafanya mishe hatari kuliko iyo just to surviveUjue miezi tisa sio mchezo kuja kumtoa mtoto tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua dada angu na ndio maisha hayo kuna watu wanafanya mishe hatari kuliko iyo just to surviveUjue miezi tisa sio mchezo kuja kumtoa mtoto tu
Unapowaza kumaliza kibada, ukumbuke kuwa mtoto utakaye mnyonyesha baada ya mwaka moja unatakiwa umkabidhi baba aliyekuwa anakutunza sina uhakika ndiye mwenye Mbegu, halafu huruhusiwi kabisa kuja kumwona mtoto....maana yake ameshatolewa kafara mahali...Hiyo hela nikiipata si namalizia kibanda naweka na full furniture...
Bado natafakari
Ningemtafuta niongee nae nijue sababu za kufanya ivyo ni niniWewe ungezaliwa halafu just by mistake siku uje uambiwe mama ako alikuzaa halafu akakuuza ungefurahi sana kwakuwa tu alikuuza kwenye mikono salama???
Unapowaza kumaliza kibada, ukumbuke kuwa mtoto utakaye mnyonyesha baada ya mwaka moja unatakiwa umkabidhi baba aliyekuwa anakutunza sina uhakika ndiye mwenye Mbegu, halafu huruhusiwi kabisa kuja kumwona mtoto....maana yake ameshatolewa kafara mahali...
Kafara ndo Nini mbona mnatoa Mimba kila siku je ? Hiyo siyo kafara?Unapowaza kumaliza kibada, ukumbuke kuwa mtoto utakaye mnyonyesha baada ya mwaka moja unatakiwa umkabidhi baba aliyekuwa anakutunza sina uhakika ndiye mwenye Mbegu, halafu huruhusiwi kabisa kuja kumwona mtoto....maana yake ameshatolewa kafara mahali...
Asante kwa ushauri, ila maziwa ya mama ni muhimu kwa miezi sita ya mwanzoIlitakiwa mtoto akizaliwa tu achukuliwe sasa we unaweka kwa mmoja wakae pamoja
Watu hawazi hyo bond ilivyo ngumu kuivunja ya kunyomyesha mwaka, labda wengine naona mtoto akizaliwa hapewi hata yule mwanamke amuone lkn ulee mwaka une umtoe sio kazi rahisUnapowaza kumaliza kibada, ukumbuke kuwa mtoto utakaye mnyonyesha baada ya mwaka moja unatakiwa umkabidhi baba aliyekuwa anakutunza sina uhakika ndiye mwenye Mbegu, halafu huruhusiwi kabisa kuja kumwona mtoto....maana yake ameshatolewa kafara mahali...
vifaranga vya kuku huwa vinamtambua jogoo kuwa ni baba yao?Walianza kwenye kuku wakisasa vifaranga vinatotolewa havimjui baba yao,Sasa wamekuja kwa wenye tamaa ,naamini watawachukua wengi..
Diva andunje halafu kazidi miaka anayohitaji mleta mada mkuuKUNA DADA MMOJA ANAITWA DIVA... MTAFUTE.
Unaweza tafuta mwingine wa kumnyonyesha kama walivyofanya watu wa zamaniAsante kwa ushauri, ila maziwa ya mama ni muhimu kwa miezi sita ya mwanzo
Kwamba ,yaani nyieIngekuwa milioni 500 ningejilipua...
Asante kwa ushirikianoKwendraaaa 25mil ni kidogo, mimi bado niko fresh sijazaa huwezi nipanua tumbo kw pesa ndogo hivyo.
Ahaaaaaa ati mtoto akizaliwa ndo mwisho kumuona baada ya mwaka? Hakuna mzazi wa vile.
Ahaaaaaa ati kipindi cha mimba awe anaishi kwa baba watoto? Ahaa watafanya tu labda baba huyo kama hana nguvu za kiume.wendo ndo sababu anataka kupandikiza.
Ni kwakuwa ni chai hakuna mbongo wa kukubali kuchukuliwa mtoto.
All the the best dadazi.
Utani mkuuKwamba ,yaani nyie
Kuna haja gani ya povu si uende mkuu...Kafara ndo Nini mbona mnatoa Mimba kila siku je ? Hiyo siyo kafara?
Hata wakikupa access ya mwanao wala usijaribu hii kitu kabisa.....Utani mkuu
Sio serious.
Siwez nasema siwezi
Labda nipewe access ya mwanangu kunijua ndo naweza kwa m500.
Acha watu wajikamatie fursa kuliko kutoa Mimba , Bora Mtu Apate ml25Kuna haja gani ya povu si uende mkuu...
Fanyeni maarifa muwe wajanja kama watoto wa BidenYeah hiyo ndo grade tuliyowekwa wanawake wa tanzania....
So sad kwakweli