Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

We huwajui Watz wewe
Wanawake k zao buku tu ndo wakatae mil 25
Tofautisha kulalwa na wewe unapatamo utamu
Na hiyo kuzaa..
hehehe weee unaongea tu.

Kuzaa afu wakubebee mtoto
Unabaki na scars
Dah hata siwezi fanya imagination.

Hapo usijaribu kufananisha na anaezaa kisha mtoto anakuwa bahati mbaya.
 
Kiukweli kabisa kama unahitaji mtoto ama watoto bongo ni rahisi sana kupata wa kukuzalia.. bila hata kutumia hela zote hizo. Milioni 27 nyingi sana kutumia kusaka mtoto mmoja bongo.

Panga appartment kali, weka furniture kalii,, kama huna gari just kodi garii nzuri hata ikiwa vitz ila iwe mpya mpya iwe kama yako.

Then tongoza kawaida tu kwa gia ya kimahusiano..

Demu akija gheto anapoondoka uwe unampa mpa vihela kama 50k kama nauli na matumizi madogo madogo kama vocha usimnyime.

Ndani ya huo mwaka Lazima upate wa kukubebea mimba
Jamaa anataka demu akijifungua baada ya mwaka anachukua mtoto wake kuanzia hapo msijuane tena
 
Huyu kumbuka anataka watt sita watatolewa na sio mmoja ujue
Ndugu acha kupotosha, kwenye tangazo sijaandika nataka watoto sita.
Nimetumia neno mtoto/watoto sababu anaweza kuzaa mtoto mmoja au watoto wawili mapacha
 
Back
Top Bottom