reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna jinsia za kiume leo zinatamani zingekuwa za kike 🥱
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna jinsia za kiume leo zinatamani zingekuwa za kike 🥱
Masharti ya bableee sioLabda na yeye ni walewale,
Mbegu zinabebwa nusu zinazalishwa, nusu zinaenda kwa babu😂
We kuweza?Ingekuwa milioni 500 ningejilipua...
..anapiga kichurachura mpaka zinamwagikaLabda na yeye ni walewale,
Mbegu zinabebwa nusu zinazalishwa, nusu zinaenda kwa babu😂
Inategemea pesa ipi…Ila wewe ungekuwa karibu ningekuwasha makofi kidogo. Sema hela Ina trigger emotions brain na kawaida huwa Zina nguvu mno
Mwingine anameza pakiti za unga tumboni ili apite nao airport kwemye nchi za watu uko unajua risk yake ukioasukia tumboni? Alafu akatae m 50+ pesaWewe itakuwa hujui Maisha ya watz Mtu anatoa Mimba kila mwezi ndo aje akatae mil 57
Najua ila watakaojilipua kazi wanayo!!!Mimi huyuuuHapo niliwatania tu
Nikuzalie kwan me kizalio?
Kwakweli siweziiiiWe kuweza?
Wapo wengiHakuna wa kumfata piem hata 10 hawezi zipata. Hakuna wa kukodisha tumbo lake kwa muda.
Tofautisha kulalwa na wewe unapatamo utamuWe huwajui Watz wewe
Wanawake k zao buku tu ndo wakatae mil 25
Jamaa anataka demu akijifungua baada ya mwaka anachukua mtoto wake kuanzia hapo msijuane tenaKiukweli kabisa kama unahitaji mtoto ama watoto bongo ni rahisi sana kupata wa kukuzalia.. bila hata kutumia hela zote hizo. Milioni 27 nyingi sana kutumia kusaka mtoto mmoja bongo.
Panga appartment kali, weka furniture kalii,, kama huna gari just kodi garii nzuri hata ikiwa vitz ila iwe mpya mpya iwe kama yako.
Then tongoza kawaida tu kwa gia ya kimahusiano..
Demu akija gheto anapoondoka uwe unampa mpa vihela kama 50k kama nauli na matumizi madogo madogo kama vocha usimnyime.
Ndani ya huo mwaka Lazima upate wa kukubebea mimba
Kwa maisha ya sasa, ingekuwa afadhali.Ingekuwa milioni 500 ningejilipua...
Asante kwa ushauriUnaweza tafuta mwingine wa kumnyonyesha kama walivyofanya watu wa zamani
Mayai ninayo mengi sana tena ya kuzaa vidume vya mbegu.Kwa maisha ya sasa, ingekuwa afadhali.
Lakini eti million ishirini na tano, mmhh!🙆
Nakadori; mchongo huo mkuu🤭🏃🏃🏃
Huyo ameamua kupotosha dada, usimzangatieSitaaa? Yan six?
Ameandika wapi hayo?
Halafu tumejaa inbox ya Mzee wa ivf 😜😜Wanawake wote hapa jf wamekataa eti😂😂😂
wote wanaona utu is better than money🥵🥵🥵
Ndugu acha kupotosha, kwenye tangazo sijaandika nataka watoto sita.Huyu kumbuka anataka watt sita watatolewa na sio mmoja ujue