Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Wee hutakii hela??huna ndugu mpk uje huku
Mamboo ya kutapika mjusi kanisan mmh
 
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji38] we ni robot nini?

Tangazo litabaki kama lilivyo!

I wish nikuone live
Kama una sifa nilizotaja karibu ndugu,
Pia naomba ujue hili jambo ni serious na lipo kisheria, hivyo sitokujibu maswali yako au ya mtu mwingine kwa utashi wake au mawazo yake binafsi.
Nimeandika hivyo sababu nimeona post nyingi una ni quote kwa kushindwa kunielewa au kwa kutojibu kwa utashi wako au kwa jinsi unavyoona wewe ni sahihi.
 
Mfano dada ana vigezo vyote hapo na maisha yamempiga akijitokeza akakubali ilo dili dada anapata mtaji wa kujiinua kimaisha na jamaa anapata hitaji lake la mtoto sasa ubaya uko wapi hapo?
Kajaribu na wewe ujue ni rahisi au ngumu afuu ulete mrejesho hapa
 
Kwa nini utumie galama yote iyo kama shida ni toto si unaoa tu unazaa zaid ata hako kamoja unako kagalamia mamilioni iyo ni ndagu sio bule yaan apo mama anakufa namwanae tumboni.
 
Utu umekiukwa mkuu kwa kuthaminisha mtu kwa kitu (mtoto kwa pesa)... Ubinafsi pia kwa anaehitaji hivyo ni kwa matakwa binafsi bila kujua mbele watoto watahitaji nini ?(sio utu pia )
 
Utashangaa jf wanakupangia wanavyotakia wao
Hii ni changamoto sana ndugu na nashukuru nawe umeliona hilo jambo , nimeona kuna watu wachache wanataka nijibu maswali wanavyotaka wao, ila nawakumbusha kwamba hili ni jambo serious sana hivyo tangazo lililotolewa limejitosheleza kwa mtu ambaye yupo tayari ingawa ushauri pia nachukua
 
Sawa mkuu...[emoji119][emoji119]
 
Utu umekiukwa mkuu kwa kuthaminisha mtu kwa kitu (mtoto kwa pesa)... Ubinafsi pia kwa anaehitaji hivyo ni kwa matakwa binafsi bila kujua mbele watoto watahitaji nini ?(sio utu pia )
Kuna watu wanaishi maisha ya shida mkuu as long as mtu avunji sheria aachwe tu atumie chochote alichonacho kujikwamua.. masuala ya utu yabaki kuwa personal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…