Anahitajika msichana/mwanamke kwa ajili ya IVF

Unatumia yai langu means mtoto atakuwa part of me, pia anyonyeshe mwaka mzima watengeneze bond kabisa halafu umchukue mtoto asimwone kabisa maisha yote.....heee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mim huwez nielewesha,utanielewesha nini?

Nimekuuliza mtoto akikuuliza mama yuko wapi utamjibu nini?
Asante kwa maoni,
Nimekujibu kwamba sio watoto wote duniani wamepata malezi kwa baba na mama.
Pia hao watoto wameweza kukua kwa furaha na afya pengine kuliko wale waliolelewa na wazazi wote wawili.
 
Hahaha kwani nyie hamtakua muoe na kuolewa? Hahah kweli kila mtu atumie chake
 
Asante kwa maoni,
Nimekujibu kwamba sio watoto wote duniani wamepata malezi kwa baba na mama.
Pia hao watoto wameweza kukua kwa furaha na afya pengine kuliko wale waliolelewa na wazazi wote wawili.
Huu ni utoto sasa

Endeleeni kujificha ila ukweli tunaujua,mnajua hamwezi kupata watoto sasa mmeibukia kwny ivf ili nanyi muonekane mnawatoto lakini ukweli unafahamika mnakazwa.
 
Huu ni utoto sasa

Endeleeni kujificha ila ukweli tunaujua,mnajua hamwezi kupata watoto sasa mmeibukia kwny ivf ili nanyi muonekane mnawatoto lakini ukweli unafahamia mnakazwa.
Asante kwa maoni ndugu, ila huo ni mtazamo wako.
Kuna vitu vingine viko juu ya uwezo wako, hivyo penda kujifunza vitu usivyofaham.
Pia usipende kushinikiza na kukisema uongo kitu usichokifahamu vizuri.
 
Hahaha kwani nyie hamtakua muoe na kuolewa? Hahah kweli kila mtu atumie chake
Mkuu kwetu hapajawahi kuisha watu nyumba ni ndogo lakn hijawahi kujaa... kuna housgirl maza alimtaftia akakaa miezi miwili akashindwa... lkn alirudi kukaa kwetu pale 2years bila malipo
 
Umekosea kusema akae nae kwa Mwaka mmoja,
Wenzio hua wanawachukua mara baada ya kujifungua yaani wakati mtoto anatoka unatakiwa uwe pembeni unampokea kutoka kwa madaktari na sio yeye ili kuondoa ile bond ya Mama na Mtoto, hiyo ndio maana ya Surrogate Mother.
 
Asante kwa ushauri mzuri ndugu,
Hili jambo bado halijatekelezwa hivyo nitazingatia kila ushauri mzuri ili niweze kufanya jambo lililo bora zaidi.
 
Asante kwa ushauri mzuri ndugu,
Hili jambo bado halijatekelezwa hivyo nitazingatia kila ushauri mzuri ili niweze kufanya jambo lililo bora zaidi.
Naam,
Hapo ni kumwambia Mama awe anakamua maziwa kwa miezi mitatu ili Mtoto apate lishe bora ila hawaonani wala hamnyonyeshi baada ya hapo Mtoto ataendelea na virutubisho vingine,
Lakini kuwakutanisha ni mbaya mnoo haifai.
 
Kuna mwamba anaitwa Dennis kama nsikosee yeye alifanikisha hii njia alitumia around 70M... sabab zake zilikua nyepesi kwa mtazamo wangu.

mkuu mitindo huru hujaweka bayana sababu zako huenda ni usiri kwa mambo binafsi au ni swala la kifamilia ( nikimaanisha makubaliano kati ya wewe na mke wako)

Je umajaribu njia nyingine zote na hii ni chaguo la mwisho kwako ? KAMA NDIO NIKUTAKIE KILA JEMA KUPATA HITAJI LAKO KWANI WATOTO/MTOTO NI SEHEMU YA FURAHA

Kwa ishu ya surrogate yeye pia kua ndo mtoa yai.. ungetafuta mtoa yai mwingine surrogate abebe tu kwani sharti la mama kutengana na mtoto baada ya mwaka ni gumu mno.
 
Asante sana kwa ushauri mzuri ndugu,
Nitazingatia sababu bado sijafanya hitimisho ya hili jambo
 
Naam,
Hapo ni kumwambia Mama awe anakamua maziwa kwa miezi mitatu ili Mtoto apate lishe bora ila hawaonani wala hamnyonyeshi baada ya hapo Mtoto ataendelea na virutubisho vingine,
Lakini kuwakutanisha ni mbaya mnoo haifai.
Asante sana kwa ushauri, nitazingatia pia nikiwashirikisha wataalamu wa afya.
 
Aitwaaaa Surrogate!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…