Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Kipengele namba moja ktk masharti ndio kimeleta uelewa wa watoto...!Nimeandika mtoto/watoto sababu inawezekana mtoto akazaliwa mmoja au mapacha wawili
Na kama ni mtoto basi ya lakike nimoja lita rutubishwa hivyo ikiwekwa mtoto/watoto hapa ni mtego kuwa tuna tazamia zaidi watoto na sio mtoto na kama itatokea mtoto basi ni dharura tu...!