witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mbona hujibu ulichoulizwa?[emoji15][emoji15]Mtoto/watoto watalelewa vizuri ndugu, kumbuka itakua damu yangu hivyo malezi lazima yazingatiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hujibu ulichoulizwa?[emoji15][emoji15]Mtoto/watoto watalelewa vizuri ndugu, kumbuka itakua damu yangu hivyo malezi lazima yazingatiwe
Ulishuhudia tukitupa watoto vyooni?Kinadada mnalalama hapa kua hela ndogo, sijui hamuwezi uza mtoto na blah blah kibao wakati mnatoa mimba, mnatupa watoto kwenye matundu ya vyoo, majalalani nk.
Si bora mchukue mpunga huo, lakini na jamaa nae moja ya sharti liwe ni kuhakikisha mtoto anaishi maisha mazuri. Kibongo bongo hii haipo sana hivyo ni kheri kumuondoa hofu mama mtoto.
Kama upo tayari na una sifa nilizotaja njoo PM ndugu,Unaishi hapa bongo?
Nini kinakufanya utake IVF?
Una mke?hili ndo swali unalokwepa kujibuNimeshamjibu, kwamba ile ni damu yangu sababu mimi ndiye ambaye nimetoa mbegu hivyo lazima malezi bora yazingatiwe
Kama upo tayari na una sifa nilizotaja njoo PM ndugu,Mbona hunibu ulichoulizwa?[emoji15][emoji15]
Anayakwepa sana maswali ya hivi[emoji848]May I ask why, kwanini? Whats the logic behind this?
Jambo la kua na mke ni binafsi zaidi, halihusiani na tangazo nililotoa.Una mke?hili ndo swali unalokwepa kujibu
Yule mbibi alizaa na wacko Jacko alipata hadi kichaa kisa kama hiki hiki cha kuuza watotoKwakuwa ni swala linalohusisha uhai wa mtu na kuhusisha kiumbe chenye muunganiko kihisia na kidamu alitakiwa azingatie hilo na awake hela kubwa ili angalau iwe rahisi kwa wanaoweza kurisk.
Lakini pia atoe room ya second part ku bargain.
Ila mafuta akuwekee kwa miaka 5 na ajira ya kudumu akupatie mbali na hizo hela.
Access ya mtoto nayo upewe angalau ujue proceedings za mwanao...
Acha UZUSHI.Watoto wachanga ni chakula Bora kwa waabudu shetani
Tunauliza hivi sababu iliyokusukuma kutafuta mtoto kwa njia hii ni ninii? Naona unazunguuuka kinyama?Logic ni kupata mtoto/watoto bila mama na baba kukutana kimwili, pili mama kutojihusisha na mtoto/watoto kwa namna yeyote maisha yake yote hapa duniani ikiwemo kutowaona mtoto/watoto na baba yao kisheria baada ya mwaka tangu huyo mama kujifungua
Haya maswali yote nilishajibu ndugu,Anayakwepa sana maswali ya hivi[emoji848]
Huwezi jibiwa abadani[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Nlikuwa nauliza kwanini asiruhusiwe kufanya sex pindi ana mimba au akishajifungua.?
Una tatizo mahali si bure[emoji848][emoji848]Ndio ndugu, na inawezekana vizuri sana pia kumbuka itakua damu yangu.
Kuna watoto wapo vituo vya watoto yatima wapo chini ya mwaka mmoja na wanalelewa hadi kua watu wazima.
Hivyo kwa watoto wangu inawezekana nikawalea kwa mazingira bora zaidi na kumbuka nitaanza kuwalea baada ya kunyonya kwa mwaka mmoja toka kwa mwanamke atakaewazaa
Hayo mambo mengine siwezi kuelezea kwa kirefu sababu ni binafsi zaidi, ila kama upo tayari na una sifa nilizotaja njoo PM ndugu nitakujibu kwa kirefu sanaTunauliza hivi sababu iliyokusukuma kutata mtoto kwa njia hii ni ipi? Naona unazunguuuka kinyama?
Au labda nisitafune maneno " mkuu unaweza kuto.mbana fresh?
Mmmh we utakuwa unajihusisha na demons attachment khaa[emoji15]Sababu mkishafanya sex hio mmeshakua mme na mke, hivyo hakutokua na mkataba tena,
Pili akifanya sex na mtu mwingine kuna hatari ya magonjwa.
Asante kwa maoni yakoUna tatizo mahali si bure[emoji848][emoji848]
Asante kwa maoni yakoMmmh we utakuwa unajihusisha na demons attachment khaa[emoji15]
Mim ninaishi bongo na nimefanya IVFUnaishi hapa bongo?
Nini kinakufanya utake IVF?
Labda wife ana matatizo ya kuzalisha mayai ndo maanaKwanini usifanye kama Surrogate?..ili atleast mtoto awe na Mama atakayemjua?
"Smart" girl atachukua tenda na maadamu anawafahamu wahusika, atamfuatilia tu mtoto akilelewa na kukua siku ya siku mtoto ndo kawa mkubwa ametoboa, anaibuka bila ya kujali mkataba. Na mtoto akimjua mama wake wa damu ndo anaweza kuelekea kwake.Hahahaha i need money lkn after letting the baby go i will sufer mpk niingie kaburini au nipewe back the kid and the 25m will be used kunitibu