reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Hamna kawaida TU nilikua nawqza km wewe ila nimetafakari nimejikuta nawaonea huruma mnooAisee ntashangaa sana kwa mtu ataekubaliana na hili jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kawaida TU nilikua nawqza km wewe ila nimetafakari nimejikuta nawaonea huruma mnooAisee ntashangaa sana kwa mtu ataekubaliana na hili jambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile feeling unayoipata kwa kumtizama mtoto na vimacho vyake hasa wakati wa breast feeding, moment za mtoto ukimbusu , mtoto akiwa anakuchekea tabasamu lisilo feki, ayayayaya afu after a year, you let her go huku sheria ikikubana for only 25m hapana kwa kweli ingawaje pesa tunazitaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiisoma 25M ni kubwa Kumbe ni hela ya Subaru Forester moja tu[emoji28]
Kila la kheri kinadada
Kwani vya kienyeji vinamjua Baba Yao?Walianza kwenye kuku wakisasa vifaranga vinatotolewa havimjui baba yao,Sasa wamekuja kwa wenye tamaa ,naamini watawachukua wengi..
Na ndo navojua hata SA wanafanya hivyo, akizaliwa bas kila mtu na chakeeee.Ilitakiwa mtoto akizaliwa tu achukuliwe sasa we unaweka kwa mmoja wakae pamoja
i yetu watu bado wapo very primitive, jambo la IVF mbona limekua kawaida tu duniani nowadays, watu wana sababu zao za kufanya IVF , wengine matatizo ya kibaologia, ama ana sababu flani ambazo zinafanya isiwe rahisi kwake kupata mtoto na kila mtu anatamani kua na mtoto, so ugunduzi wa IVF umekua faraja kwa watu wengi sana.
Wewe kama unaona ni jambo jipya kwako au unaona haifai basi pita tu kuliko kucomment upuuzi na kumtukana ntoa mada, na kikubwa hakuna madhara kwenye IVF ni vile tu imetafutwa namna ya kuwasaidia wasioweza kuzaa kwa njia ya kawaida.
Mfano mtu akiwa na ugonjwa wa vitiligo (sjui kama nimepatia) hua ikifika stage flani hawaruhusiwi kuzaa au kubeba mimba, sasa why asifanye IVF process?
Pia wale wanaosema hela ni ndogo, its ok watu hawalingani uwezo, kuna mwenye anaona hiyo hela ni kubwa na pengine anaihitaji sana , hivyo kuliko kuwakatisha tamaa ni bora muache watu wafanyr maamuzi yao wenyewe. Nilitegemea watu wangeonesha side effect ya IVF au madhara yake kwa ujumla ama njia mbadala ila hakuna, naona tu watu wakiongelea bounds, kiasi cha pesa etc.
Mtoa mada just do whatever you want to do as long as is legal, then go ahead.
Kwani we unaelewaje ugonjwa wa akili! Sio hadi uvue nguoWala haihitaji kua na ugonjwa wa akili, hii kitu Ughaibuni inafanywa sana tu.
Ina faida kuliko kutupa, kutelekeza au kuua watoto kisa maisha magumu na sababu kama hizo.
Pm ya jamaa huenda iko busy kupokea watu.
Tusubiri mrejesho.
Asante kwa maneno ya faraja ndugu,Kaka nimewazaa nimkeuonea huruma ghafla ingekua dini yangu inaruhusu ningekua bure Mtoto na nisingeomba tu niwe namuona tu ningekomaa na Hawa nilionao tu,nimewaza daahh...poleni Saba najua yote haya yumkini mkeo Hana uwezo wa kupata Mtoto na watoto ni faraja mnoo!!
Pole sana Mungu awafanyie wepesi mnoo mtimize Hilo lengo lenu!!
Yaani Kuna watu wanatupa watoto afu Wengine wanatafuta kwa gharama almost 60m..Mungu huyuu
Asante kwa maoni ndugu, ila huo ni mtazamo wako.Unanunua mtoto kwa karibu milioni 60 unamtunza mpaka anafikia miaka 18 let say kwa milioni 60 nyingine halafu unamuuza kwenye black market kwa wanao harvest organs kwa milioni 600. Bonge la faida.. Mjini njoo na akili tu vingine vyote vitakuja vyenyewe
Mimi mlongo honestly nimewazaa nimejikuta navaa viatu vyake nimetumia mnoooo...Lau ningeweza ningemzalia tu!!!inauma jamaniiKwa hizi gharamaa hata mie naweza afford, ngoja nimuambie baba tamu tufanye mpango tupate katoto ketu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaahh ...[emoji3][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unanunua mtoto kwa karibu milioni 60 unamtunza mpaka anafikia miaka 18 let say kwa milioni 60 nyingine halafu unamuuza kwenye black market kwa wanao harvest organs kwa milioni 600. Bonge la faida.. Mjini njoo na akili tu vingine vyote vitakuja vyenyewe
Mmekuelewa broohhhThe point sio IVF lasivyo angebebana na mkewe kimya kimya wakafanya,
The point is mtu atoe mtoto wake (yai lake) tena eti amlee mwaka mzima halafu amuachie,
People just have questions which he refuses to answer so tunabaki na viulizo wengine tumejiundia majibu yetu,
Mfano kakataa kusema kama hata ana huyo mke ndomana me nimewaza labda ni mwana upinde anataka mtoto sa sijui watu wanatoa wapi huruma kwani kasema ana shida!
Ameen naimani weye sio gay Wala lesbian ni mwanandoa kamili unahitaji mtoto Ili mpate faraja kamili ,Mungu awafanyie wepesi mnoooAsante kwa maneno ya faraja ndugu,
Mungu mwema, naamini hili jambo litafanikiwa.
Pia bado naamini kwamba kuna watu wengi wema kama wewe watakaoweza kufanya na kutoa ushirikiano kufanikisha hili jambo bila kuwaza kufanya hila au fitina zozote kabla ya ujauzito na baada ya kujifungua kama tangazo linavyoeleza.
Asante kwa maoni ndugu, ili nikukumbushe kwamba hili ni jambo hiari na sio lazima,The point sio IVF lasivyo angebebana na mkewe kimya kimya wakafanya,
The point is mtu atoe mtoto wake (yai lake) tena eti amlee mwaka mzima halafu amuachie,
People just have questions which he refuses to answer so tunabaki na viulizo wengine tumejiundia majibu yetu,
Mfano kakataa kusema kama hata ana huyo mke ndomana me nimewaza labda ni mwana upinde anataka mtoto sa sijui watu wanatoa wapi huruma kwani kasema ana shida!
Sawasawa Mkuu all the bestAsante kwa maoni ndugu, ili nikukumbushe kwamba hili ni jambo hiari na sio lazima,
tangazo limeeleza malipo, masharti na sifa za huyo mzazi anayehitajika hivyo kwa mtu atakaeweza kufata hayo masharti na anazo sifa ndie anaekaribishwa.
Kuhusu kueleza kwamba nina mke hilo ni jambo binafsi na siwezi kulielezea sababu halihusiani na hilo zoezi pia halitohusiana na huyo mzazi atakaekua tayari kufanya IVF.
Pia kuhusisha hili jambo na mambo ya upinde niseme tu kwamba hayo ni mawazo yako binafsi
Yaan kwa kweliii inaumaa mnooo, doooh poleee yakeee.Mimi mlongo honestly nimewazaa nimejikuta navaa viatu vyake nimetumia mnoooo...Lau ningeweza ningemzalia tu!!!inauma jamanii